CHADEMA yaigaragaza CCM Vunjo

CHADEMA yaigaragaza CCM Vunjo

Mungi
Nilikuwa bado nalisanifisha bandiko langu, hapa ndio nimekamilisha kilichokuwa kichwani mwangu


:nono:
Jakaya-Kikwete-na.jpg
:nono:
I trust you young guys all the time,
how come we loose ballots?


images
Whatsgoing on?
images


Looks like we are in wrong direction! :ranger: How can we pull back Chadema?
😛layball: Mhh! Hard Ball! 😛layball:

CC, nngu007

kikwete anatakiwa kuelewa kuwa kuna maisha mengine baada ya siasa.
 
Maccm kwisha kazi duu...

wana roho ngumu sana.
hii ni sawa na wakenye kuwa prove wrong ICC na kusema Uhuru na Ruto ni wasafi kwa njia ya kura.
ccm wamebaki wanawabambikia kesi chadema huku wananchi wakiendelea kuwaprove wrong ccm kwa njia ya kura!!!??

peopleeeezzzzzz!!!!!
 
Back
Top Bottom