Mbepo yamba
JF-Expert Member
- Aug 5, 2012
- 1,110
- 1,475
Mtoa Mada utanipa ban ya bure mjinga wewe. Hivi cuf kupata viti 1000+ kutoka 500 ni kufanya vibaya? Mwana wa shetani wewe
Zuzu ni yule anayeshabikia Chama kichovu kama chako! Maescrow bhanaaaa!!!!!
samahani kwa kuquote li uzi lote but huu uzi si mahala pake hapa peleka jukwaa la siasa, pili fitna zenu zinajulikana
Fitina hizi haziwezi kuzaa matunda! Hangaikeni na yale ya wazee wa Dar Es Salaam jinsi walivyomzomea Mwenyekiti wa Chama chenu na kumfanya aseme, "Napata kikohozi!"