Acheni kushangilia chadema wanaohamasisha vurugu.
You have granted me one mkuu!!!well.. tangu jana mmeona nikiripoti lolote toka ARumeru? don't doubt it. Kama ulikuwa na mpango wa kwenda kusherehekea you have my permission.
Nakuamini sana mzee Mwanakijiji; naanza kusherehekea ushindi:smile-big:!!! Asante kwa taarifa.
Ni siku ya baraka kwa mageuzi nchini kwani hata huko songea kata ya Lizaboni CDM kidedea ccm wa pili, mwendo mzuri na tunawakumbusha kwamba hata mbuyu ulianza kama mchicha na haya matokeo sio ya kubeza na kikweli yanaeleza kituu kuhusu 2012.Confirmed:CHADEMA wamechukua udiwani kata ya Kirumba. Mshindi ameshatangazwa CCM No.2 CUF no.3 ni hekaheka mtaani vijana wanaimba chadema!chadema! peoples power!!!
Matokeo vituo 80 wkt vituo vk 300 unawapa watu majibu hewa bado ndo kwaaanzaaa mimba imetungwa subiri upepeo utakaovuma nyambaaaaafffff