Pale mnapo jaribu kula matapishi yenu.Mmejaribu kwa kila mbinu kuyahusisha Maandamano ya Mange kuwa ya CHADEMA, mmeshindwa! Poleni Sana kwa Gwaride mlililopigishwa na Mange, sikuwa kudhani Kuna WANAUME wanaotishwa na kimwanamke ambacho upepo unaopiga Mita 100/PH kinamrusha hewani na kumtupa mbali! Kuna mwanaume kasifiwa juzi na gumegume Moja kule Bungeni, kumbe muoga Kama Nini, Hadi anaingia kwenye sherehe kwa kujificha! Poleni kwa sekeseke la Mange!
Ha ha ha, unauliza chumvi jikoni?Kwani Chadema walitangaza maandamano?
Kwisha kazi yao.Hahahahahaha makamanda wa chama mfu
Hahahaha nimecheka mpaka basi, na huo ndo ukweli wenyeweNi kweli unayosema lakini mimi nadhani ile kauli ya "kipigo cha mbwa koko " ndio iliyoipandisha hadhi mkoa wa Dodoma na kuwa Jiji
Kama ule Ukuta?Kama mange yupo usa anawapelekesha kiasi hiki. Je hawa viongozi wa chadema waliopo hapa nchi wangepanga haya mambo si mngechanganyikiwa zaidi.
Shame on you!Mmejaribu kwa kila mbinu kuyahusisha Maandamano ya Mange kuwa ya CHADEMA, mmeshindwa! Poleni Sana kwa Gwaride mlililopigishwa na Mange, sikuwa kudhani Kuna WANAUME wanaotishwa na kimwanamke ambacho upepo unaopiga Mita 100/PH kinamrusha hewani na kumtupa mbali! Kuna mwanaume kasifiwa juzi na gumegume Moja kule Bungeni, kumbe muoga Kama Nini, Hadi anaingia kwenye sherehe kwa kujificha! Poleni kwa sekeseke la Mange!
Chadema = Mange
Mkimbizi mange=chama cha demokrasia ya matusi mitandaoniMmejaribu kwa kila mbinu kuyahusisha Maandamano ya Mange kuwa ya CHADEMA, mmeshindwa! Poleni Sana kwa Gwaride mlililopigishwa na Mange, sikuwa kudhani Kuna WANAUME wanaotishwa na kimwanamke ambacho upepo unaopiga Mita 100/PH kinamrusha hewani na kumtupa mbali! Kuna mwanaume kasifiwa juzi na gumegume Moja kule Bungeni, kumbe muoga Kama Nini, Hadi anaingia kwenye sherehe kwa kujificha! Poleni kwa sekeseke la Mange!
Mmejaribu kwa kila mbinu kuyahusisha Maandamano ya Mange kuwa ya CHADEMA, mmeshindwa! Poleni Sana kwa Gwaride mlililopigishwa na Mange, sikuwa kudhani Kuna WANAUME wanaotishwa na kimwanamke ambacho upepo unaopiga Mita 100/PH kinamrusha hewani na kumtupa mbali! Kuna mwanaume kasifiwa juzi na gumegume Moja kule Bungeni, kumbe muoga Kama Nini, Hadi anaingia kwenye sherehe kwa kujificha! Poleni kwa sekeseke la Mange!
Wote!
Ulitaka watangaze redioni?Kwani Chadema walitangaza maandamano?
Inakuwaje Lowassa ni Chadema wakati amezaliwa, amekulia na kutunzwa na Tanu/CCM?!
Swali zuri hili.Kama ule Ukuta?