Nyamtalakyono
JF-Expert Member
- Dec 17, 2015
- 795
- 479
Chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) kimefutika kabisa kwenye Ramani ya Wilaya ya Serengeti baada ya Mbunge na madiwani takribani saba akiwemo Mwenyekiti wao wa Halmashauri kuhamia CCM.
Hata hivyo licha ya viongozi hao pia kumeripotiwa maeneo mbalimbali wenyeviti wa vijiji kupitia Chadema hapa Serengeti wameendelea kukihama chama chao na kutimkia CCM.
Nawapongeza sana.Mwisho naawabia viongozi wa Tarime mliochaguliwa kupitia Chadema njooni nyumbani kumenoga. Viva Serengeti.
Hata hivyo licha ya viongozi hao pia kumeripotiwa maeneo mbalimbali wenyeviti wa vijiji kupitia Chadema hapa Serengeti wameendelea kukihama chama chao na kutimkia CCM.
Nawapongeza sana.Mwisho naawabia viongozi wa Tarime mliochaguliwa kupitia Chadema njooni nyumbani kumenoga. Viva Serengeti.