Tychob
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 3,756
- 4,791
Ndo nakuambia kama hakina impact kiache wewe fanya ambayo yana impact. Acha wafanye mkuu kwani wamekuzuia kuendelea na majukumu yako?Civics ya form 2 kabisa imetufunza kwamba main goal ya any opposition party ni kushinda uchaguzi mbele ya Main party ila kwa haya wanayofanya Chadomo saivi, hata kukaa muelekeo wa ushindani hawapo kwa hayo maandamano.