Naona mmekosa chakuandika.Unajua cdm wanatapata sana hivi unafikiri ccm imeanza jana?subiri muone maana sasa hivi hiyo Kata unayosema ndio kwanza wamepata viongozi wa CCM SHINA,CCM TAWI NA wanaelekea kwenye chaguzi za Kata,Wilaya,Mkoa na Taifa.Sasa wewe unayesema Kata nzima imehamia cdm si unawadanya wenzako? Safari hii msio kipenda CCM mtapata ugonjwa wa moyo bure.CCM tumejipanga kukamilisha mipango ya kulikomboa jimbo la Moshi Mjini ili mkose pa kuegemea.
KIDUMU CHAMA TAWALA CHA CCM.
:israel:Naona unakuwa kama Al Sahaf yule msemaji wa jeshi la Saddam Hussein,so funny!!!