Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
leo katika hali ya kushangaza na ambayo haijawahi kutokea tanzania chama cha demokrasia na maendeleo kupitia kamanda asiyechoka ndesa pesa kimefanya kufuru kwa kuchukua kata nzima ya kimochi kuanzia mwenyekiti wa ccm kata ndg Fransis M Ringo na wananchi wa kijiji kizima cha mdawi.
wananchi hao walichukizwa na kitendo cha aliyekuwa naibu meya ndg stewart lyatuu kuondoa mradi wa sh bil 3 wa maji uliokuwa umeletwa na wafadhili.
baada ya kushindwa uchaguzi wa udiwani katika kata na kuchukuliwa na diwani wa chadema ndg macha na mwenyekiti wa kijiji kupitia chadema ndg kinyaha ccm kupitia bw lyatuu na kundi lake waliwafungulia mashtaka diwani na mwenyekiti na kuandaaa mashahidi wa uongo.
leo kupitia mkutano ambao umehudhuriwa na meya wa moshi mh jafary michael,ndesamburo,lusy owenya,mh koyi,mh kiwelu,mh macha na madiwani wa viti maalum ccm imeondolewa rasmi katika kata ya kimochi kwa habari zaidi fuatilieni itv taarifa kesho.
picha pia zipo nitawarushieni kesho.
wananchi hao walichukizwa na kitendo cha aliyekuwa naibu meya ndg stewart lyatuu kuondoa mradi wa sh bil 3 wa maji uliokuwa umeletwa na wafadhili.
baada ya kushindwa uchaguzi wa udiwani katika kata na kuchukuliwa na diwani wa chadema ndg macha na mwenyekiti wa kijiji kupitia chadema ndg kinyaha ccm kupitia bw lyatuu na kundi lake waliwafungulia mashtaka diwani na mwenyekiti na kuandaaa mashahidi wa uongo.
leo kupitia mkutano ambao umehudhuriwa na meya wa moshi mh jafary michael,ndesamburo,lusy owenya,mh koyi,mh kiwelu,mh macha na madiwani wa viti maalum ccm imeondolewa rasmi katika kata ya kimochi kwa habari zaidi fuatilieni itv taarifa kesho.
picha pia zipo nitawarushieni kesho.