ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Chadema vigeugeu kweli. Wa kwanza kusema wananchi wana maisha magumu, haohao wanakwenda kuwanyang'anya hata kile kidogo walichonacho kwa kuwatembezea bakuli. si usanii huo, ila ndiyo laana yao, walifanya hivyo uchaguzi mkuu, Igunda, Busanda lakini mwishoe chali.
IGUNGA CCM nasikia waliuwa askari mmoja wa polisi kwa kuwa alikataa kuchakachua matokeo.
kwani maskini huwa mwiko kusaidiana?