Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
Rejao
Chadema leo wanaweza wakafanya kitu kizuri ukaapreciate ambacho kweli kimapose threat kwa serikali,especilly Zitto na Mnyika but baada ya muda wanaharibu completely.
Rejao
Wangewatumia wananchi kuwaelezea hayo mapungufu na wananchi wafanye maamuzi cuz wao ndio waajiri wao. Kitendo cha kwenda Ikulu kimefanya serikali kurelax.
Hapa umenena kweli, naona misimamo yako imeanza kupungua ahsante sana