rallphryder
JF-Expert Member
- Jan 24, 2015
- 3,630
- 1,444
Maskini hujitambui!
Mwenyekiti kabira mchaga
Katibu mkuu kabira muilaki
Mwenyekiti bawacha mpale
Mwenyekiti bavicha Msukuma
Mwenyekit wazee Msukuma
makamo Mwenyekit bara mnyamwezi
naibu Katibu mkuu bara kabira mdigo
naibu Katibu mkuu visiwani muunguja.
mtunza fedha mumburu
Usipende kuwa MPU-MBAVU sababu ya kutofikiri nje ya box.Kwani walikoenda huko UNO hao watu wa KIlimanjaro si ndiyo wengi wao walimchangia hiyo nauli?
We ndiyo unamfyongo kichwani,,,,Sababu unachofikiri wewe unataka wote tufikiri........Sina sababu ya kushikiwa kichwa changu. Ninachofikiri ndicho ninachokisema...........
Hayao mambo ya USALITI nenda kwa hao waliogombana uulize kilitokea nini.Usiwe unapenda kutukana watu kwa sababu tu hatuendani na mawazo yako.Acha ubaguzi wote tupo sawa haijalishi dini wala kabila..
Kama kupasuka subiri hiyo ATM itakapokwisha mshiko ndipo utakuwa na akili.Sasa hivi endelea kubeba viatu vya waliokuweka mjini.............
Kama unafikiri tutabaki histaoria basi anza kujichimbia kaburi kabisa maana tutakuzika mapema mno............Pole sana ,ila acha............UPU...........MBA..................VU
Kigoma wanaelewa sema mtoa uzi ndio haelewi. Utalinganisha kigoma na Tanga, Dodoma au Pwani?Kigoma iko siku wataelewa tu!
operation majimaji
mimi ni mzawa kabisa wa kanda ya ziwa chadema haiwezi kufa kanda ya ziwa hata siku 1 sisi huku wote ni wakristo wakulya, wasukuma na wahaya adui yetu wa kwanza ni mkwere na muha mwislam lakini si mkristo hilo halina mjadala
Mkutano wa chadema uliofanyika Kigoma baada ya kuona wananchi hawataki kusikiliza habari zao za kikanda na kidikteta.
Wakaja na mbinu mpya ya kuwasafirisha watu kwenye magari ili waende kwenye mkutano .
LA KUVUNDA HALINA UBANI
Anguko la ACT litadhihirika siku ambayo Supreme leader, ZZK atakaposhindwa Ubunge Kigoma mjini.
Mkutano wa chadema uliofanyika Kigoma baada ya kuona wananchi hawataki kusikiliza habari zao za kikanda na kidikteta.
Wakaja na mbinu mpya ya kuwasafirisha watu kwenye magari ili waende kwenye mkutano .
LA KUVUNDA HALINA UBANI
kama chadema hakuna ukabila hebu nipangie list ya top 10 ya viongozi wa juu wa chagadema halafu uone ni namna gani wana uhusiano wa kikanda,kabila, ukoo na hata kuoleana. Panga sasa hivi ukianza na
1.Mwenyekiti
2.katibu mkuu
3.Muweka hazina
4.bavicha
5.bawacha
na kuendelea, hebu weka mlolongo huo tuone kama ukabila upo au la.
kama chadema hakuna ukabila hebu nipangie list ya top 10 ya viongozi wa juu wa chagadema halafu uone ni namna gani wana uhusiano wa kikanda,kabila, ukoo na hata kuoleana. Panga sasa hivi ukianza na
1.Mwenyekiti
2.katibu mkuu
3.Muweka hazina
4.bavicha
5.bawacha
na kuendelea, hebu weka mlolongo huo tuone kama ukabila upo au la.
jitathmini upya! hizo sio sera za chadema ila ni mtazamo wako binafsi halafu dhana hiyo si utanzania huo ni unyani!
Sishangai matusi yenu, jengeni hoja.
Na bado vibaraka wa Zitto mtaiota sana chadema mwaka huuMkutano wa chadema uliofanyika Kigoma baada ya kuona wananchi hawataki kusikiliza habari zao za kikanda na kidikteta.
Wakaja na mbinu mpya ya kuwasafirisha watu kwenye magari ili waende kwenye mkutano .
LA KUVUNDA HALINA UBANI