Kuna msemo wa kufa kisabuni. Ndo hali inayoikumba chadema. Kwa wakazi wa arusha hapana shaka ni mashuhuda wa mkutano wa kufa mtu wa cuf hapo arusha ambavyo uliwatia aubu wana chadema kwa makombora ya professor lipumba na kejeli za vijana kupewa nkonyagi na bwana lema banada ya kuwatafutia maendeleo. Jumapili liliyopita wasomi udsm walikiponda kama chama kinachoweza kuchukua nchi kwa madai kuwa kimejaa siasa za kitoto, unafiki na na kukumbatia fedha za walipa kodi wa nchi za mabeberu saana chadjumapili iliyopiya wasomi waliipondalakininkikubwa ni chaguzi za nec ambazo zimeingiza majabali katika kila wilaya. Chadema ijiandae safari ya kuwasalimia tlp na nccr