assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,904
- 4,050
CHADEMA nimeona mnalalamikia suala la mawakala wenu kufanyiwa figisu na kuambiwa hawawezi kuingia vituoni.
Badala ya kulalamika mtandaoni, msichelewe chukueni irregularities zote muwahi Mahakama Kuu leo leo.
Mnyika fanya press conference haraka kuiambia dunia juu ya hujuma kwa Mawakala wenu.
Badala ya kulalamika mtandaoni, msichelewe chukueni irregularities zote muwahi Mahakama Kuu leo leo.
Mnyika fanya press conference haraka kuiambia dunia juu ya hujuma kwa Mawakala wenu.