CHADEMA wazuru Kaburi la Baba wa Taifa Butiama

Regia Mtema

R I P
Nov 21, 2009
2,970
864
Wakuu,

Baada ya kuingia Musoma na kufanikiwa kufanya maandamano kwa amani na utulivu mkubwa leo vikosi vitatembelea Wilaya za Mkoa huu. Lakini kabla ya kwenda kwenye wilaya, Viongozi wote tukiongozwa na Kamanda Mbowe tutaelekea kuzuru kaburi la baba wa taifa hayati Mwalimu Nyerere na kuweka mashada ya maua.

Vikosi leo vitaelekea Tarime, Rorya, Bunda, Serengeti, Mwibara na Musoma Vijijini.

Hauna Kulala Mpaka Kieleweke.

Aluta Continua

Kutoka Musoma

Regia E Mtema
Waziri Kivuli-Kazi na Ajira
 
nakutakieni kazi njema.Mungu awasaidie watanzania wote kutambua haki zao kupitia wanaharakati wa CDM.
 
Good work CDM, CCM wamewakumbatia mafisadi wataokwenda nao kuzimu.
 
Dada Regia tunawategemea sana Cdm ktk kulikomboa taifa ili. Tuizunguke tanzania mpaka kieleweke. Msisahau kagera pita bukoba mjini,kamachumu,buganguzi ,nshamba,muleba,karagwe na biaharamulo,kuna wanaharakati wa kutosha. Pia dar msiiweke mbali,liunganishe taifa tupate mabadiliko. Msisahau kubeba kadi za chama,maana huwa nashindwa kuelewa ambapo watu wanasaka kadi za cdm kama almasi wakati za chama tawala zipo hadi majalalani! Ongezeni na panua chama ili siku ya ukombozi wa mlalahoi tuwe wengi. Si kuwa na wapambe wengi na wanachama wachache. Pia iunganishe pemba na ugunja katika 'gridi' ya taifa! Fikisha salam zangu kwa mama maria Nyerere. Pia ukiweka shahada kwenye kaburi la mwalimu,weka na sala yako kuliombea taifa auheni ya ugumu wa maisha,mifumuko bei,maradhi,na ufisadi. Tunashukuru kwa taarifa yako,"...nendeni kwa amani.."
 
Endeleeni.
Mi nasema maandamano haya yaendelee kwa amani siku ambayo polisi watatumwa kuja kupiga watu, mapinduzi yataanzia hapo tuendelee kuungana
 
Dada Regia naomba sana mfanye ziara kanda ya kati bado wamelala hasa Singida na Dodoma mwaka Jana wakati kampeni nilikuwa Singida kule bado kabisa wamefungwa macho upinzani hauna nguvu sana isipokuwa tu kwa Tundu Lissu.
Niliona Chadema wakichekwa.
 
Toka amekufa ndo leo chadema inaenda?
12 years?oh my God

1999 chadema haikuwepo?
why now?

Asume umefiwa afu mtu anakuja kuhani after 12 years lol
Au ndo kutembelea museum?

Anyway,all the best!
 
viva cdm !!! msisahau kutembelea mikoa ya kusini coz huko ndo bado wa2 hawajaelewa umuhimu wa mabadiliko!!!
 
Wakuu,

Baada ya kuingia Musoma na kufanikiwa kufanya maandamano kwa amani na utulivu mkubwa leo vikosi vitatembelea Wilaya za Mkoa huu. Lakini kabla ya kwenda kwenye wilaya, Viongozi wote tukiongozwa na Kamanda Mbowe tutaelekea kuzuru kaburi la baba wa taifa hayati Mwalimu Nyerere na kuweka mashada ya maua.

Vikosi leo vitaelekea Tarime, Rorya, Bunda, Serengeti, Mwibara na Musoma Vijijini.

Hauna Kulala Mpaka Kieleweke.

Aluta Continua

Kutoka Musoma

Regia E Mtema
Waziri Kivuli-Kazi na Ajira
Tupo pamoja
 
Toka amekufa ndo leo chadema inaenda?
12 years?oh my God

1999 chadema haikuwepo?
why now?

Asume umefiwa afu mtu anakuja kuhani after 12 years lol
Au ndo kutembelea museum?

Anyway,all the best!

mkuu,nategemea una tv au redio kwako,iweje uwaze eti cdm hawajawi kwenda Musoma,wafuatiliaji makini watakushangaa!
 
Wakuu,

Baada ya kuingia Musoma na kufanikiwa kufanya maandamano kwa amani na utulivu mkubwa leo vikosi vitatembelea Wilaya za Mkoa huu. Lakini kabla ya kwenda kwenye wilaya, Viongozi wote tukiongozwa na Kamanda Mbowe tutaelekea kuzuru kaburi la baba wa taifa hayati Mwalimu Nyerere na kuweka mashada ya maua.

Vikosi leo vitaelekea Tarime, Rorya, Bunda, Serengeti, Mwibara na Musoma Vijijini.

Hauna Kulala Mpaka Kieleweke.

Aluta Continua

Kutoka Musoma

Regia E Mtema
Waziri Kivuli-Kazi na Ajira
Tunawatakia mafanikio mema, maana nikiona hivi najua chama kiko serious si vile vinavyoishia Ubungo mataa na kuanza kulalamika.
 
Toka amekufa ndo leo chadema inaenda?
12 years?oh my God

1999 chadema haikuwepo?
why now?

Asume umefiwa afu mtu anakuja kuhani after 12 years lol
Au ndo kutembelea museum?

Anyway,all the best!
Nafikiri Speaker unaumia sana kuona CDM inafanikiwa kwenye maandamano ila unajikaza kisabuni kujifanya unayapongeza (anyway all the best) msemo huu ni wa mtu aliyekata tamaa. Jana ukazua eti mbona huwaona Zitto na Mnyika ukajibiwa kazi waliyopangiwa leo unazua jingine eti Chadema haijatembelea kaburi kwa miaka 12 unauhakika?
 
mkuu,nategemea una tv au redio kwako,iweje uwaze eti cdm hawajawi kwenda Musoma,wafuatiliaji makini watakushangaa!
Ajabu ina maana hata Mbunge wa Musoma Mjini Vincent Nyerere hajawahi kutembelea kaburi vichwa vingine basi tu mradi aonekane amepost.
 
Toka amekufa ndo leo chadema inaenda?
12 years?oh my God

1999 chadema haikuwepo?
why now?

Asume umefiwa afu mtu anakuja kuhani after 12 years lol
Au ndo kutembelea museum?

Anyway,all the best!
inawezekana huku bahatika kufatilia vyombo vya habari...Kwa tamaduni zetu mfano tunakawaida ya kutembelea makaburi ya wapendwa wetu...naamini hata wewe huwa huwa unafanya hivyo kila unapopata nafsi...
 
Fikisha salam zangu kwa mama maria Nyerere. Pia ukiweka shahada kwenye kaburi la mwalimu,weka na sala yako kuliombea taifa auheni ya ugumu wa maisha,mifumuko bei,maradhi,na ufisadi. Tunashukuru kwa taarifa yako,"...nendeni kwa amani.."

You bring tears to my old ,tired eyes.

God bless you all.
 
Back
Top Bottom