CHADEMA wazomewa Mwanza

CHADEMA wazomewa Mwanza

Hahaha hahaha hizi picha za magamba zinachekesha.
 
hujaelewa. ni kwamba baada ya kuzomewa pale stand, akaamua kujikosha kwa kumsifia mbunge wa ccm

Mkuu nahisi wewe ndio hujaielewa vizuri, hebu ipitie upya hiyo habari. Anasema 'baada ya kuona anatumia mda mwingi kumsifu.................' kwa maana hiyo zomea ilikuja baada ya kuona diwani hana sera mpya. Na acha azomewe na mimi nasema wazomeeni tu!
 
CCM naona wamemchukua huyu balozi kwa "mkopo"

IMG_2864.JPG
Mpenda Ngono utamjua Tazama mkono wakushoto alivyo kunja ngumi yake kafanya nini??kidole gumba kakiweka wapi!!!:glasses-nerdy:
 
Cccm chama cha kichina, kama ilivyo ina wanachama wa kichina ndio maana uzi zao nazo za kichina kama bidhaa za kichina.
 
katika hali ya kawaida chadema haiwezi kuzomewa mwanza.nimetembea sana nchi hii kwa sasa chadema ni mkombozi wa watu na ukileta upuuzi unaondolewa na wananchi wenyewe.

Ni kweli mkuu, nimetembea sehem kubwa sana mkoa wa mwanza sidhani kama kuna sehem wanawezaizomea cdm kwa jinsi inavyokubalika. Ila wananchi wa sasa ni waelewa wakiona unatumika na magamba lazima wakuzomee!
 
All my Ladies, All my Ladies, Pu**y, Pu**y..... Kukere Kukere......

IMG_6059.jpg
Wamekazana kweli kweli.... Sitta upo?

Zilipanda wakamwaga RADHI......
 
Labda kama unamaanisha MUWANZA ya Zambia lakini sio MWANZA ya Tanganyika tunayoifahamu!

CCM Mwanza Tanganyika ilishazikwa siku nyingi.
mkuu mimi nilikuwepo kwenye mkutano huo. Huyu jamaa ana haki roho imuume kwani CCM iliingia gharama kubwa sana kununulia watu pombe na kuwatisha kwa kutumia mabalozi wao ili watu wasiende kwenye mkutano huu ,Lakini watu walikunywa pombe na fedha walichukua na mkutanoni wakahudhuria kwa wingi. Wewe huwezi kuona alivyojichanganya kwa kuchanganya Wilaya ya misungwi katika matukio ya Wilaya nyingine. Hata ukiwa mwongo hata jiografia hujui??!!?
 
Ingekuwa ni ajabu kama Mwanza yote wangekosekana magamba 10 yanayoweza kuzomea!! Ni jambo la kawaida ila CDM iko juu Mwanza!
 
VIONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wa Wilaya za Misungwi, Nyamagana, Geita na wafuasi wao, jana walionja joto ya jiwe, baada ya wananchi wa eneo la Senta kuwazomea na kuambulia watu wachache kwenye mkutano wa hadhara.

Mkutano huo, ulinusurika kuvunjika kwa kupata watu hao kidogo, baada ya Diwani wa Kata ya Buselesele wilayani Geita, aliyetajwa kwa jina moja la Kagoma, kutumia muda mwingi wa hotuba yake kumfagilia Mbunge wa Misungwi, Charles Kitwanga kwa kuchapa kazi za maendeleo na kupambana na ubadhirifu kwenye halmashauri hiyo.

Hatua hiyo, ilionekana kuwakera wananchi waliotaka kujua mkutano huo ulikuwa na lengo la kuwaeleza nini, kutokana na madai kuwa wamekuwa wakifanya mikutano na kuishia kutoa lugha za matusi.

Dalili za kukosa watu katika mkutano huo, uliotakiwa uanze saa 9:00 alasiri, zilianza kuonekana wakati gari la matangazo na lile la M4C lilipowasili kwenye kituo cha daladala cha Misasi kwa mbwembwe na kujikuta wakizomewa na wapiga debe na baadhi ya wananchi waliokuwepo maeneo hayo.

Akihutubia mkutano huo kwa kusoma alama za nyakati, Diwani Kagoma aliishia kumfagilia Kitwanga “Mawe Matatu”, akidai kuwa anapambana na ubadhirifu kwa sababu anataka wananchi wapate huduma bora za jamii, lakini baadhi ya viongozi wa chama chake (CCM) wanampiga vita kwa sababu ya maslahi yao binafsi.
Kajipange upya na uongo wako.

Wewe unazungumzia kuwa gari la M4C kuzomewa kwenye kituo cha daladala halafu unaunganishia as if ilitokea kwenye mkutano na kudai eti "mkutano ulinusurika kuvunjika".

Kwani mkutano ulifanyika kwenye kituo cha daladala?
 
Nenda Lumumba kadai mgawo wako.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Labda kama unamaanisha MUWANZA ya Zambia lakini sio MWANZA ya Tanganyika tunayoifahamu!

CCM Mwanza Tanganyika ilishazikwa siku nyingi.

mkuu nimecheka sana jamaa anazani mwanza ipo malawi, mwaka huu mnatoa povu sana M4c 4 life! We want 2 change tz nw we are tired with ccm!
 
VIONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wa Wilaya za Misungwi, Nyamagana, Geita na wafuasi wao, jana walionja joto ya jiwe, baada ya wananchi wa eneo la Senta kuwazomea na kuambulia watu wachache kwenye mkutano wa hadhara.

Mkutano huo, ulinusurika kuvunjika kwa kupata watu hao kidogo, baada ya Diwani wa Kata ya Buselesele wilayani Geita, aliyetajwa kwa jina moja la Kagoma, kutumia muda mwingi wa hotuba yake kumfagilia Mbunge wa Misungwi, Charles Kitwanga kwa kuchapa kazi za maendeleo na kupambana na ubadhirifu kwenye halmashauri hiyo.

Hatua hiyo, ilionekana kuwakera wananchi waliotaka kujua mkutano huo ulikuwa na lengo la kuwaeleza nini, kutokana na madai kuwa wamekuwa wakifanya mikutano na kuishia kutoa lugha za matusi.

Dalili za kukosa watu katika mkutano huo, uliotakiwa uanze saa 9:00 alasiri, zilianza kuonekana wakati gari la matangazo na lile la M4C lilipowasili kwenye kituo cha daladala cha Misasi kwa mbwembwe na kujikuta wakizomewa na wapiga debe na baadhi ya wananchi waliokuwepo maeneo hayo.

Akihutubia mkutano huo kwa kusoma alama za nyakati, Diwani Kagoma aliishia kumfagilia Kitwanga “Mawe Matatu”, akidai kuwa anapambana na ubadhirifu kwa sababu anataka wananchi wapate huduma bora za jamii, lakini baadhi ya viongozi wa chama chake (CCM) wanampiga vita kwa sababu ya maslahi yao binafsi.
Kaka huruma!!... Sina cha kusema vipi dada huruma na mama huruma wako karibu nawe?
 
VIONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wa Wilaya za Misungwi, Nyamagana, Geita na wafuasi wao, jana walionja joto ya jiwe, baada ya wananchi wa eneo la Senta kuwazomea na kuambulia watu wachache kwenye mkutano wa hadhara.

Mkutano huo, ulinusurika kuvunjika kwa kupata watu hao kidogo, baada ya Diwani wa Kata ya Buselesele wilayani Geita, aliyetajwa kwa jina moja la Kagoma, kutumia muda mwingi wa hotuba yake kumfagilia Mbunge wa Misungwi, Charles Kitwanga kwa kuchapa kazi za maendeleo na kupambana na ubadhirifu kwenye halmashauri hiyo.

Hatua hiyo, ilionekana kuwakera wananchi waliotaka kujua mkutano huo ulikuwa na lengo la kuwaeleza nini, kutokana na madai kuwa wamekuwa wakifanya mikutano na kuishia kutoa lugha za matusi.

Dalili za kukosa watu katika mkutano huo, uliotakiwa uanze saa 9:00 alasiri, zilianza kuonekana wakati gari la matangazo na lile la M4C lilipowasili kwenye kituo cha daladala cha Misasi kwa mbwembwe na kujikuta wakizomewa na wapiga debe na baadhi ya wananchi waliokuwepo maeneo hayo.

Akihutubia mkutano huo kwa kusoma alama za nyakati, Diwani Kagoma aliishia kumfagilia Kitwanga “Mawe Matatu”, akidai kuwa anapambana na ubadhirifu kwa sababu anataka wananchi wapate huduma bora za jamii, lakini baadhi ya viongozi wa chama chake (CCM) wanampiga vita kwa sababu ya maslahi yao binafsi.
Kaka huruma!!... Sina cha kusema vipi dada huruma na mama huruma wako karibu nawe?
 
All my Ladies, All my Ladies, Pu**y, Pu**y..... Kukere Kukere......

IMG_6059.jpg
Wamekazana kweli kweli.... Sitta upo?

Zilipanda wakamwaga RADHI......

Hivi CCM wana ugonjwa gani jamani? Mbona kila mahali wanacheza nhoma za ajabu ajabu?

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom