Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
hilo liko wazi. Kama wanaweza hujumiana wenyewe ndio watashindwa kufikiri namna ya kuhujumu upinzani?
Mkuu jifunze kufikiri kwa kutumia ubongo na sio kuropokaropoka tu hapa.View attachment 69478 labda CAROLITE ndio itumikayo kuwhujumu kama atumiayo huyo aliyekuwa mke mtu....ambaye amesababisha mumewe wa awali kuogopa kupigwa na kitu kizito chenye ncha kali na BABU
ww hujui chadema chama cha kidini kikabila unaona wanavyomhujumu zito kisa iz muslam and not from north
"Washenzi hawa wametusumbua sana safari hii, wamemsumbua sana mheshimiwa na nasema hu ndiyo mwisho wao. Hatutawapa fursa nyingine tena ya kutusumbua kama walivyofanya safari hii. Kwani wao CHADEMA ni nani haswa, mbona wenzao NCCR tuliwamaliza kianina? Nakwambia 2015 hakutakuwa na CHADEMA wala huyo mnayemwita Dr. Slaa kwani serikali ina mikono mirefu na tumeshajipanga kuhakikisha kunakuwa hakuna usumbufu tena 2015. Nakwambieni huyo Dr. Slaa na hata Mbowe watausikia ugombea urais kwenye bomba tu na tutahakikisha vyombo vyetu vinawavuruga kabisa na huenda hata wasiwepo ifikapo 2015"
Kazi kwenu ma-great thinkers kutafakari kama mihemko inayoitwa "migogoro" ndani ya CHADEMA ina uhusiano na remarks za kiongozi huyu mwandamizi.
View attachment 69478 labda CAROLITE ndio itumikayo kuwhujumu kama atumiayo huyo aliyekuwa mke mtu....ambaye amesababisha mumewe wa awali kuogopa kupigwa na kitu kizito chenye ncha kali na BABU