Wadau,
Chadema ina bahati ya kuwa na vijana madhubuti wenye uwezo mkubwa na ushawishi mkubwa katika jamii.Miongoni mwao ni wale waliokuwa wagombea ubunge sehemu mbalimbali nchini.Ninatoa wito kwa viongozi kuwafuatilia wapambanaji hawa na kuchagua baadhi yao na kuwapa majukumu maalum ya kuongoza operesheni ya kuisimika chadema vijijini.Hakika ili kukamata dola chadema inatakiwa kuhakikisha ina matawi na mashina vijijini kote nchini.Kwa uchache ninaweza kutoa mfano kwa mgombea ubunge aliyekuwa tishio kwa CCM ndugu Nassari Joshua aliyekuwa anagombea ubunge Arumeru Mashariki.Hakika huyu ni kijana mdogo lakini mwenye ushawishi mkubwa wa hali ya juu.Ulimi wake ni silaha tosha ya kueneza sera na itikadi ya chadema.Wakati wa uchaguzi mwaka jana mgombea huyu mdogo alikuwa ni gumzo Arusha nzima na mikoa jirani kwa jinsi alivyo machachari...Viongozi tumieni silaha hizi.......
Chadema ina bahati ya kuwa na vijana madhubuti wenye uwezo mkubwa na ushawishi mkubwa katika jamii.Miongoni mwao ni wale waliokuwa wagombea ubunge sehemu mbalimbali nchini.Ninatoa wito kwa viongozi kuwafuatilia wapambanaji hawa na kuchagua baadhi yao na kuwapa majukumu maalum ya kuongoza operesheni ya kuisimika chadema vijijini.Hakika ili kukamata dola chadema inatakiwa kuhakikisha ina matawi na mashina vijijini kote nchini.Kwa uchache ninaweza kutoa mfano kwa mgombea ubunge aliyekuwa tishio kwa CCM ndugu Nassari Joshua aliyekuwa anagombea ubunge Arumeru Mashariki.Hakika huyu ni kijana mdogo lakini mwenye ushawishi mkubwa wa hali ya juu.Ulimi wake ni silaha tosha ya kueneza sera na itikadi ya chadema.Wakati wa uchaguzi mwaka jana mgombea huyu mdogo alikuwa ni gumzo Arusha nzima na mikoa jirani kwa jinsi alivyo machachari...Viongozi tumieni silaha hizi.......