Chadema watumieni makamanda wenu machachari kuipeleka chadema ikulu.

Molemo

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
14,534
13,225
Wadau,
Chadema ina bahati ya kuwa na vijana madhubuti wenye uwezo mkubwa na ushawishi mkubwa katika jamii.Miongoni mwao ni wale waliokuwa wagombea ubunge sehemu mbalimbali nchini.Ninatoa wito kwa viongozi kuwafuatilia wapambanaji hawa na kuchagua baadhi yao na kuwapa majukumu maalum ya kuongoza operesheni ya kuisimika chadema vijijini.Hakika ili kukamata dola chadema inatakiwa kuhakikisha ina matawi na mashina vijijini kote nchini.Kwa uchache ninaweza kutoa mfano kwa mgombea ubunge aliyekuwa tishio kwa CCM ndugu Nassari Joshua aliyekuwa anagombea ubunge Arumeru Mashariki.Hakika huyu ni kijana mdogo lakini mwenye ushawishi mkubwa wa hali ya juu.Ulimi wake ni silaha tosha ya kueneza sera na itikadi ya chadema.Wakati wa uchaguzi mwaka jana mgombea huyu mdogo alikuwa ni gumzo Arusha nzima na mikoa jirani kwa jinsi alivyo machachari...Viongozi tumieni silaha hizi.......
 
Sio huyo tu,kuna Mtera Mwampamba,Habib Mchange,yaani timu ya Cdm imekamilika kama Real Madrid!
 
Sio huyo tu,kuna Mtera Mwampamba,Habib Mchange,yaani timu ya Cdm imekamilika kama Real Madrid!

Ukweli mtupu! Chadema msimwache huyu Kamanda Nassary apumzike! Ana nafasi kubwa sana ya ushawishi kwa watu wa rika zote,ukianzia na vijana, wasomi, mtaani hata kwenye taasisi mbalimbali, ninamfahamu vizuri misimamo yake toka akiwa mdogo, siyo mtu anayeogopa na wala hanunuliki, ni wakati mzuri Chadema wajipange kumtumia kuimarisha chama na kufungua matawi mapya، akiwezeshwa anaweza zaidi huyu. Hamtajuta kuwa naye
 
Lazima waanzishe mkakati wa kuwarudia wote walioshiriki vyema katika mapambano ya kuleta ukombozi wa taifa hili na wengi wao wameshindwa si kwa upungufu wa kura bali kwa kwa upungufu wa katiba na wasimamizi wa chaguzi kupendelea chama tawala kwa kuhofia kupoteza vibarua vyao
 
CDM bado sana mnatakiwa mjipange upya, pamoja na ukweli ya kwamba uchaguzi uliopita milifurukuta , ila kutokana na jazba zenu kisiasa naamini watanzania wanaona na sio siri msingagae mwaka 2015 mambo yakawa mabaya kwenu kuliko mnavotarajia. Embu jiulizeni haya maandamano ya kuhusu maisha kuwa magumu hamjui ya kwamba baathi ya sababu ni nje ya uwezo wa serikali.Mfano swala la bei ya mafuta ni kutotakana soko la dunia kuwa na mafuta kwa uchache kuliko mahitaji . Haitaji elimu ya juu kujua hili, acheni kudanganya watanzania maskini ya kuwa cdm mna uwezo wa kuondoa kero ya ku[anda bei ya mafuta.
 
CDM bado sana mnatakiwa mjipange upya, pamoja na ukweli ya kwamba uchaguzi uliopita milifurukuta , ila kutokana na jazba zenu kisiasa naamini watanzania wanaona na sio siri msingagae mwaka 2015 mambo yakawa mabaya kwenu kuliko mnavotarajia. Embu jiulizeni haya maandamano ya kuhusu maisha kuwa magumu hamjui ya kwamba baathi ya sababu ni nje ya uwezo wa serikali.Mfano swala la bei ya mafuta ni kutotakana soko la dunia kuwa na mafuta kwa uchache kuliko mahitaji . Haitaji elimu ya juu kujua hili, acheni kudanganya watanzania maskini ya kuwa cdm mna uwezo wa kuondoa kero ya ku[anda bei ya mafuta.

Fikiri zaidi Kabla ya Kuandika, yaani wewe umeona hivyo tu basi. fikiri ndugu yangu!
 
Fikiri zaidi Kabla ya Kuandika, yaani wewe umeona hivyo tu basi. fikiri ndugu yangu!

Wewe ndio unatakiwa kufikiri kwa maana pindi mnapoelezwa ukweli hamtaki. Sio siri mnachopigania kuwa maisha ni magumu hata nyie wana CDM hamjui chanzo zaidi ya kukurupuka .
 
CDM bado sana mnatakiwa mjipange upya, pamoja na ukweli ya kwamba uchaguzi uliopita milifurukuta , ila kutokana na jazba zenu kisiasa naamini watanzania wanaona na sio siri msingagae mwaka 2015 mambo yakawa mabaya kwenu kuliko mnavotarajia. Embu jiulizeni haya maandamano ya kuhusu maisha kuwa magumu hamjui ya kwamba baathi ya sababu ni nje ya uwezo wa serikali.Mfano swala la bei ya mafuta ni kutotakana soko la dunia kuwa na mafuta kwa uchache kuliko mahitaji . Haitaji elimu ya juu kujua hili, acheni kudanganya watanzania maskini ya kuwa cdm mna uwezo wa kuondoa kero ya ku[anda bei ya mafuta.

Kweli Ukiwa Muongo usiwe Msahaulifu! Si ni wewe ulikuja hapa jana na Kujitambulisha kama Kijana wa CDM uliyeshindwa kuchukua Fomu au. Kweli CCM wameamua kutuma Viwavi Jeshi hapa Jamvini ila kwa Mwendo huu Mtakimbia tena
 
Siku zote ukweli unauma , na msipokubali maelezo ya upande mwingine hamtafika popote.
 
CDM bado sana mnatakiwa mjipange upya, pamoja na ukweli ya kwamba uchaguzi uliopita milifurukuta , ila kutokana na jazba zenu kisiasa naamini watanzania wanaona na sio siri msingagae mwaka 2015 mambo yakawa mabaya kwenu kuliko mnavotarajia. Embu jiulizeni haya maandamano ya kuhusu maisha kuwa magumu hamjui ya kwamba baathi ya sababu ni nje ya uwezo wa serikali.Mfano swala la bei ya mafuta ni kutotakana soko la dunia kuwa na mafuta kwa uchache kuliko mahitaji . Haitaji elimu ya juu kujua hili, acheni kudanganya watanzania maskini ya kuwa cdm mna uwezo wa kuondoa kero ya ku[anda bei ya mafuta.
Ni Kweli uliyosema hayaitaji elimu ya chuo, lakini haitaji elimu hata ya vidudu kujua kwamba ukubwa wa baraza la mawaziri,watumishi hewa,uchakachuaji wa mafuta,hela za epa,IPTL,Dowans na wizi wa fedha za miradi na kadhalika zinaweza kuinusuru TZ kwenye wingu la umaskini ambao hata leo hii serikali ingekuwa na uwezo wa kusema wanashusha kodi ya mafuta ili kunusuru ugumu huu wa maisha.
-Narudia Dr Slaa amekuwa akisimamia eneo rahisi sana kwa cdm kwamba hii nchi tunaitaji UADILIFU na misingi ya haki. Hakika hata wewe utakombolewa kutoka utumwa wa mawazo ulionao
 
UADILIFU ni muhimu sana kwa maisha ya binadamu yoyote. KUMBUKA ya kwamba Dr Slaa alikuwa CCM kabla ya kutimiliwa na kujiunga na CDM, wakati akiwa mwanachama mtiifu wa CCM MBONA hatakuwahi kumskia, pili UADILIFU mnaongelea huanzia katika family level, DR wa ukweli yamemshinda ,hivyo tunachawaomba mjaribu kuwa wa kweli ya kwamaba UADILIFU mnaonglea hata hapo CDM HAUPO.
 
Wewe ndio unatakiwa kufikiri kwa maana pindi mnapoelezwa ukweli hamtaki. Sio siri mnachopigania kuwa maisha ni magumu hata nyie wana CDM hamjui chanzo zaidi ya kukurupuka .

Kama Rais wako na Waziri mkuu wanasema hata wao hawajui kwanini maisha ni magumu, wewe ni nani ambaye unashindwa kuwauliza vioongozi wa chama chako tawala hadi unataka kuuliza CDM ambayo haijashiika dola? Au unataka wakupe siri umpelekee rais na waziri mkuu? Unashangaza ndg. Kawashauri wabunge wako kwa ushabiki wa kuzomea bungeni na kuunga mkono kila mswada unaoletwa na ccm hata kama ni wa kunyonga wananchi. Hamjui na mnajua kuwa hamjui ula hamtaki kubadilika kwa kuogopa aibu.
 
UADILIFU ni muhimu sana kwa maisha ya binadamu yoyote. KUMBUKA ya kwamba Dr Slaa alikuwa CCM kabla ya kutimiliwa na kujiunga na CDM, wakati akiwa mwanachama mtiifu wa CCM MBONA hatakuwahi kumskia, pili UADILIFU mnaongelea huanzia katika family level, DR wa ukweli yamemshinda ,hivyo tunachawaomba mjaribu kuwa wa kweli ya kwamaba UADILIFU mnaonglea hata hapo CDM HAUPO.

Wewe sasa unamwaibisha hata aliyekutuma, hivi Dr Slaa alitimuliwa au aliondoka mwenyewe? Na kama alitimuliwa ilikuwa kwa tuhuma gani? Inaonyesha ni jinsi gani waliokutuma hawajakupa data za kutosha kwa unayoyasema huku. Au nisikulaumu sana watakuwa wamekupa kiasi kidogo mno cha malipo. Haifiki 100,000/:
 
UADILIFU ni muhimu sana kwa maisha ya binadamu yoyote. KUMBUKA ya kwamba Dr Slaa alikuwa CCM kabla ya kutimiliwa na kujiunga na CDM, wakati akiwa mwanachama mtiifu wa CCM MBONA hatakuwahi kumskia, pili UADILIFU mnaongelea huanzia katika family level, DR wa ukweli yamemshinda ,hivyo tunachawaomba mjaribu kuwa wa kweli ya kwamaba UADILIFU mnaonglea hata hapo CDM HAUPO.
Kwa mtazamo wako NI SAWA KUKOSA UADILIFU CCM KWA VILE CDM HAUPO..........???? Hivi hayo magamba mnayoyavua leo hii si mlipinga mara baada ya kutolewa pale mwembeyanga.................. hayo magamba ya leo si ndo mliyashika mikono na kuyainua juu wakati wa kampeni kwamba ni maadilifu.............????
 
Mngekuwa na uchung wa ukweli kwa wananchi taifa hili wabunge wenu wote wangesusui posho zote ili kuthibitisha mnasimamia mnachopigia porojo.
Kama Rais wako na Waziri mkuu wanasema hata wao hawajui kwanini maisha ni magumu, wewe ni nani ambaye unashindwa kuwauliza vioongozi wa chama chako tawala hadi unataka kuuliza CDM ambayo haijashiika dola? Au unataka wakupe siri umpelekee rais na waziri mkuu? Unashangaza ndg. Kawashauri wabunge wako kwa ushabiki wa kuzomea bungeni na kuunga mkono kila mswada unaoletwa na ccm hata kama ni wa kunyonga wananchi. Hamjui na mnajua kuwa hamjui ula hamtaki kubadilika kwa kuogopa aibu.
 
Alitimuliwa na uongozi wa ccm wilaya hakuondoka kwa hiari yake
wewe sasa unamwaibisha hata aliyekutuma, hivi dr slaa alitimuliwa au aliondoka mwenyewe? Na kama alitimuliwa ilikuwa kwa tuhuma gani? Inaonyesha ni jinsi gani waliokutuma hawajakupa data za kutosha kwa unayoyasema huku. Au nisikulaumu sana watakuwa wamekupa kiasi kidogo mno cha malipo. Haifiki 100,000/:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom