Mmsapali
Senior Member
- Apr 1, 2012
- 183
- 29
Unaujua uhuru wewe? nani ameshayapata matunda ya uhuru kama sio mafisadi wachache wa ccm? unadhani hizo buku 7 mnazopewa hapo lumumba ndio matunda ya uhuru yaliyopiganiwa na wazee wetu? pambafu mara mia!
Naomba ifahamike kuwa pamoja na kuzaliwa kwenye familia ya wanasiasa na viongozi, SIJAWAHI KUWA MWANACHAMA WA CHAMA CHOCHOTE CHA SIASA.
Hivyo basi ninakushangaa unaponiita wa lumumba.