CHADEMA wataifilisi hii Serikali

CHADEMA wataifilisi hii Serikali

"If you can't defeat them, then join them". Ccm haiwezi kuishinda chadema hata siku oa moja. Na ndio maana chadema wakitema dini wao hukimbilia polisi kwa sababu walishakosa sera. Acha hata hayo maandamano mimi natamani icc ije iwachukue hata bila kuwafungulia mashtaka. Ila ipo siku.
 
Hii serikali Kila kukicha inawaza tu namna ya kuikomoa Chadema. Sasa Chadema nao ni Wajànja kuwapiku wote walioko serikalini. Matamko Yao Free Tundu Lissu na Kàtiba mpya ni Sasa ni pasua kichwa serikalini.
Hivi ni kweli Kuna maandamano hiyo 7 7 au ni kumtia tu mtu hasara? Kule nje wamekaza kuhusu ICC na bado serikali haijakaa sawa maandamano ya 7 7. Mimi wakati mwingine nawaza tu ni kwa nini hii serikali isikubali hivi vichwa vyenye madini makubwa kuingizwa serikalini wakaisaidia nchi! Ukianza na Lissu, Heche, Mnyika, Brenda, Mahinyila, Lema nabii na wengine wengi utaona Hawa ndio wanaipeleka nchi mchamchaka. Tamko la mmoja asubuhi utakuta wale jamaa wa saluti Kila Kona.
Ila ni kwa ñini wasiseme poo Líssu akakaa pale kati wengine wapokee utàratibu namna ya kuishi bila kudokoa hazina!!
Hasara ni kubwa mno na kuna watu ndani y Mfumo wananufaika na hizi nginja nginja
 
"If you can't defeat them, then join them". Ccm haiwezi kuishinda chadema hata siku oa moja. Na ndio maana chadema wakitema dini wao hukimbilia polisi kwa sababu walishakosa sera. Acha hata hayo maandamano mimi natamani icc ije iwachukue hata bila kuwafungulia mashtaka. Ila ipo siku.
Hahaha we jamaa
 
Kuwaingiza serikali itakuwa ni kuiua nchi.INATAJIWA SERIKALI NZIMA IJIUZULU ILI UCHAGUZI HURU NA HAKI UFANYIKE NA KUPATA VIONGOZI WANAOTAKIWA NA WANANCHI.7/7 TUNAKINUKISHA HADI KIELEWEKE NA WAKITUSHINDA TUTAKINUKISHA TENA AFCON HADI TUIKOMBOE NCH
 
Kuwaingiza serikali itakuwa ni kuiua nchi.INATAJIWA SERIKALI NZIMA IJIUZULU ILI UCHAGUZI HURU NA HAKI UFANYIKE NA KUPATA VIONGOZI WANAOTAKIWA NA WANANCHI.7/7 TUNAKINUKISHA HADI KIELEWEKE NA WAKITUSHINDA TUTAKINUKISHA TENA AFCON HADI TUIKOMBOE NCH
Mtapigwa nyiee
 
Hii serikali Kila kukicha inawaza tu namna ya kuikomoa CHADEMA. Sasa Chadema nao ni Wajànja kuwapiku wote walioko serikalini. Matamko Yao Free Tundu Lissu na Kàtiba mpya ni Sasa ni pasua kichwa serikalini.

Hivi ni kweli Kuna maandamano hiyo 7 7 au ni kumtia tu mtu hasara? Kule nje wamekaza kuhusu ICC na bado serikali haijakaa sawa maandamano ya 7 7.

Mimi wakati mwingine nawaza tu ni kwa nini hii serikali isikubali hivi vichwa vyenye madini makubwa kuingizwa serikalini wakaisaidia nchi! Ukianza na Lissu, Heche, Mnyika, Brenda, Mahinyila, Lema nabii na wengine wengi utaona Hawa ndio wanaipeleka nchi mchamchaka. Tamko la mmoja asubuhi utakuta wale jamaa wa saluti Kila Kona.

Ila ni kwa ñini wasiseme poo Líssu akakaa pale kati wengine wapokee utàratibu namna ya kuishi bila kudokoa hazina!!
Unawaingizaje hao kweny system ambayo inaongozwa kwa katiba ya kifalme? Issue ya kwanz kbs ni kuondoa katiba iliyopo na kuweka katiba mpya.
 
Dogo wanaofanya hizo vurugu wapo hhumo humo serikalini, hao chadema wanatumika kama kivuli ili wahusika wasionekane. Ila wavuruga wapo ndani na wanakomoana wenyewe kwa wenyewe, hata hio 7 saba waanzilishi ni hao hao.
Something like that 🤔
 
Ukweli ni kwamba, wapo hata wanaccm wengi tu hawamkubali. Hivyo shughuli ni pevu haswa, ni kama wanalinda bahari.
 
Back
Top Bottom