Katika Mazingira ya kutatanisha, Chadema wamekuwa wazito kutoa tamko pale maswara nyeti yanapokuwa yanawahusu.
Madiwani wa Chadema walipanga njama za kwenda kujirusha Rwanda, kwa matumizi makubwa ya pesa za walipa kodi. Kwali hiyo Viongozi wamekuwa kimya hadi sasa au ni kwa kuwa ni nyumbani!. Hapa Wapinzani wao waliwaotea na kuwanasa kwa kukwamisha njama hizo. Je bado wanatafakari jinsi ya kujiosha?.
Tume za kuchunguza mauwaji ya Mwandishi wa habari ziliundwa huku wanaojiita wasomi kuliko wenzao wakawa wanaziponda kwa kutoziamini, lakini zote zimetoa majibu ya awali ya uchunguzi wao na mbili kati ya tatu zikionyesha kuwapa kipaumbele Chadema. Lakini hadi leo hakuna Bunduki (Slaa) wala Mbowe na hata Tundu Lisu aliyesema lolote juu ya hili. Au bado hawaamini matokeo? Kama hapa mnakuwa wazito kiasi hicho je mkipewa Nchi tamko si litachua mwaka?. Endeleeni kujipanga huku matukio mapya yanatokea lenu litakuwa onekana la kawaida, kuliko mtakalolikuta wakati huo.
Bora kwenda kw wakati kuliko kusubilia wakati.
Madiwani wa Chadema walipanga njama za kwenda kujirusha Rwanda, kwa matumizi makubwa ya pesa za walipa kodi. Kwali hiyo Viongozi wamekuwa kimya hadi sasa au ni kwa kuwa ni nyumbani!. Hapa Wapinzani wao waliwaotea na kuwanasa kwa kukwamisha njama hizo. Je bado wanatafakari jinsi ya kujiosha?.
Tume za kuchunguza mauwaji ya Mwandishi wa habari ziliundwa huku wanaojiita wasomi kuliko wenzao wakawa wanaziponda kwa kutoziamini, lakini zote zimetoa majibu ya awali ya uchunguzi wao na mbili kati ya tatu zikionyesha kuwapa kipaumbele Chadema. Lakini hadi leo hakuna Bunduki (Slaa) wala Mbowe na hata Tundu Lisu aliyesema lolote juu ya hili. Au bado hawaamini matokeo? Kama hapa mnakuwa wazito kiasi hicho je mkipewa Nchi tamko si litachua mwaka?. Endeleeni kujipanga huku matukio mapya yanatokea lenu litakuwa onekana la kawaida, kuliko mtakalolikuta wakati huo.
Bora kwenda kw wakati kuliko kusubilia wakati.