Chadema washindwa kutoa tamko

tata mura

JF-Expert Member
Sep 27, 2012
275
49
Katika Mazingira ya kutatanisha, Chadema wamekuwa wazito kutoa tamko pale maswara nyeti yanapokuwa yanawahusu.

Madiwani wa Chadema walipanga njama za kwenda kujirusha Rwanda, kwa matumizi makubwa ya pesa za walipa kodi. Kwali hiyo Viongozi wamekuwa kimya hadi sasa au ni kwa kuwa ni nyumbani!. Hapa Wapinzani wao waliwaotea na kuwanasa kwa kukwamisha njama hizo. Je bado wanatafakari jinsi ya kujiosha?.


Tume za kuchunguza mauwaji ya Mwandishi wa habari ziliundwa huku wanaojiita wasomi kuliko wenzao wakawa wanaziponda kwa kutoziamini, lakini zote zimetoa majibu ya awali ya uchunguzi wao na mbili kati ya tatu zikionyesha kuwapa kipaumbele Chadema. Lakini hadi leo hakuna Bunduki (Slaa) wala Mbowe na hata Tundu Lisu aliyesema lolote juu ya hili. Au bado hawaamini matokeo? Kama hapa mnakuwa wazito kiasi hicho je mkipewa Nchi tamko si litachua mwaka?. Endeleeni kujipanga huku matukio mapya yanatokea lenu litakuwa onekana la kawaida, kuliko mtakalolikuta wakati huo.


Bora kwenda kw wakati kuliko kusubilia wakati.
 
Hivi wewe kweli una jua kinacho endelea nchini? Kwani vicent nyerere aliongea nini jana? Kwani mpaka umsikie mbowe au Tundulissu?

Ni bora uka kaa chini ukachunguza kwanza kabla ya kuandika mkuu!
 
Hivi wewe kweli una jua kinacho endelea nchini? Kwani vicent nyerere aliongea nini jana? Kwani mpaka umsikie mbowe au Tundulissu?

Ni bora uka kaa chini ukachunguza kwanza kabla ya kuandika mkuu!

Ruttashobolwa

Tusichoke kuwapatia elimu watu wa namna hii. Kuna watu wengine hawako in touch kabisa na chochote anachotaka kuandika, lakini wana ujasiri wa ajabu kukianzishia thread hicho hicho ambacho hawana uhakika nacho au hawakijui kabisa.
 
Watoe tamko kwani ni suala la ufisadi manake sera yao ni ufisadi tu
 
Kuhusu ile trip ya Rwanda wameonesha kwamba nao ni ccm remix hawana jipya
 
kuhusu suala la madiwani Moshi lilishatolewa ufafanuzi, inaonyesha wewe si mfuatiliaji wa vyombo vya habari.
Kuhusu Riport ya uchunguzi wa Kifo cha Mwangosi kasome gazeti la leo la MTANZANIA DAIMA.

ACHA KUROPOKA USIVYOVIJUA.
 
ziara ya madiwani moshi iko palepale kwa sababu ni kwa maendeleo ya manispaa ya moshi.
na ni mpango uliobarikiwa na kikao halali na hilo hata ccm wanalijua.
 
Ruttashobolwa

Tusichoke kuwapatia elimu watu wa namna hii. Kuna watu wengine hawako in touch kabisa na chochote anachotaka kuandika, lakini wana ujasiri wa ajabu kukianzishia thread hicho hicho ambacho hawana uhakika nacho au hawakijui kabisa.

Jibu swadakta kbs.
 
ziara ya madiwani moshi iko palepale kwa sababu ni kwa maendeleo ya manispaa ya moshi.
Na ni mpango uliobarikiwa na kikao halali na hilo hata ccm wanalijua.

Na vilevile wanao kwenda huko si madiwani wa CHADEMA pekee bali hata hao magamba wanakwenda wakiongozwa na Mkurugenzi wa manispaa ambaye ni gamba mwenzao.
 
Hivi wewe kweli una jua kinacho endelea nchini? Kwani vicent nyerere aliongea nini jana? Kwani mpaka umsikie mbowe au Tundulissu?

Ni bora uka kaa chini ukachunguza kwanza kabla ya kuandika mkuu!
ukibishana na magamba unapoteza muda wako kama una muda pumzika kitandani upate afya achana na magamba ndugu yangu!!
 
Katika

Tume za kuchunguza mauwaji ya Mwandishi wa habari ziliundwa huku wanaojiita wasomi kuliko wenzao wakawa wanaziponda kwa kutoziamini, lakini zote zimetoa majibu ya awali ya uchunguzi wao na mbili kati ya tatu zikionyesha kuwapa kipaumbele Chadema. Lakini hadi leo hakuna Bunduki (Slaa) wala Mbowe na hata Tundu Lisu aliyesema lolote juu ya hili. Au bado hawaamini matokeo? Kama hapa mnakuwa wazito kiasi hicho je mkipewa Nchi tamko si litachua mwaka?. Endeleeni kujipanga huku matukio mapya yanatokea lenu litakuwa onekana la kawaida, kuliko mtakalolikuta wakati huo.

.

Hivi ziliundwa Tume au kamati?
 
Kwa hiyo penye tamko mnataoa ufafanuzi, au hujui maana ya ufafanuzi ni kama njia ya kujitetea?. Moshi vijijini nasikia tena tumeshindwa umeya, na kuamua kuwapa ccm.
 
Katika Mazingira ya kutatanisha, Chadema wamekuwa wazito kutoa tamko pale maswara nyeti yanapokuwa yanawahusu.

Madiwani wa Chadema walipanga njama za kwenda kujirusha Rwanda, kwa matumizi makubwa ya pesa za walipa kodi. Kwali hiyo Viongozi wamekuwa kimya hadi sasa au ni kwa kuwa ni nyumbani!. Hapa Wapinzani wao waliwaotea na kuwanasa kwa kukwamisha njama hizo. Je bado wanatafakari jinsi ya kujiosha?.


Tume za kuchunguza mauwaji ya Mwandishi wa habari ziliundwa huku wanaojiita wasomi kuliko wenzao wakawa wanaziponda kwa kutoziamini, lakini zote zimetoa majibu ya awali ya uchunguzi wao na mbili kati ya tatu zikionyesha kuwapa kipaumbele Chadema. Lakini hadi leo hakuna Bunduki (Slaa) wala Mbowe na hata Tundu Lisu aliyesema lolote juu ya hili. Au bado hawaamini matokeo? Kama hapa mnakuwa wazito kiasi hicho je mkipewa Nchi tamko si litachua mwaka?. Endeleeni kujipanga huku matukio mapya yanatokea lenu litakuwa onekana la kawaida, kuliko mtakalolikuta wakati huo.


Bora kwenda kw wakati kuliko kusubilia wakati.

Kuhusu kuzama meli au mauaji ya raia? Karudishe akili pahala pake.
 
Katika Mazingira ya kutatanisha, Chadema wamekuwa wazito kutoa tamko pale maswara nyeti yanapokuwa yanawahusu.

Madiwani wa Chadema walipanga njama za kwenda kujirusha Rwanda, kwa matumizi makubwa ya pesa za walipa kodi. Kwali hiyo Viongozi wamekuwa kimya hadi sasa au ni kwa kuwa ni nyumbani!. Hapa Wapinzani wao waliwaotea na kuwanasa kwa kukwamisha njama hizo. Je bado wanatafakari jinsi ya kujiosha?.


Tume za kuchunguza mauwaji ya Mwandishi wa habari ziliundwa huku wanaojiita wasomi kuliko wenzao wakawa wanaziponda kwa kutoziamini, lakini zote zimetoa majibu ya awali ya uchunguzi wao na mbili kati ya tatu zikionyesha kuwapa kipaumbele Chadema. Lakini hadi leo hakuna Bunduki (Slaa) wala Mbowe na hata Tundu Lisu aliyesema lolote juu ya hili. Au bado hawaamini matokeo? Kama hapa mnakuwa wazito kiasi hicho je mkipewa Nchi tamko si litachua mwaka?. Endeleeni kujipanga huku matukio mapya yanatokea lenu litakuwa onekana la kawaida, kuliko mtakalolikuta wakati huo.


Bora kwenda kw wakati kuliko kusubilia wakati.
Ziara ya Rwanda itatumia Tshs 200 Ml unataka CDM watoe tamko kwa nini usiulize serikali yako imetoa tamko gani kuhusu zaidi ya Tshs 300 Bln zilizohifadhiwa Uswiss au shida yako ni chokochoko kwa vitu vidogo unaacha vikubwa.
 
Kama ndivyo kwa nini ukimbilie vikubwa huku vidogo vinakushinda, au ndo kauli ya vijicent?. Je hujui kuna kiongozi wa Chadema yupo huko nje anakula pesa za chama kwa mgongo wa wachache kwa ziara mbalimbali na kujua nchi kwa rambi rambi yako, akirudi nani wa kumhoji alicho kujanacho kipya?. Watanzania waliopo nje ya Nchi si tegemeo la maendeleo, wenzetu wanahangaika na maendeleo nyine mnaenda kutafuta wanachama ambao leo wapo kwenye chama hiki kesho kile kulingana na upepo unavyo vuma. Au anatafuta wafadhiri?
 
huyu atakuwa kama si demu basi ni mke wa riz1 anahofia cdm ikichukua nchi basi yeye huenda akaachwa
 
Back
Top Bottom