Inamanisha CUF hawana uhakika na wapiga kura wao ndo maana wanawaza mambo ya kugawana kura, Chadema tuna kura zetu za wananchi wenye uchungu wa kupata maendeleo, hatuna wa kugawana nae hizi kura kwa kuwa mtazamo na utendaji wa chama chetu ni wa kipekee
<a href="https://www.jamiiforums.com/members/julius-mtatiro.html" target="_blank"> <img src="https://www.jamiiforums.com/images/misc/unknown.gif" border="0" alt="" /> </a> Junior Member &
DAH! ASHAKACHUA! magamba-B nao washakopi mchakachuo technique!
<br />cdm haipo tena wafuasi wake waliokipa kura wamerudi kwenye chama chao ccm, na siku za chadema katika ramani ya siasa za tanzania zinahesabika.
<br />cdm haipo tena wafuasi wake waliokipa kura wamerudi kwenye chama chao ccm, na siku za chadema katika ramani ya siasa za tanzania zinahesabika.
<br />
<br />
haya kalale sasa!
Mratibu wa kampeni wa cuf Julius Mtatiro ameishtumu vikali chadema kwamba kiimeenda Igunga kwa lengo la kugawa kura za Cuf.Mtatiro amesema chadema wanajua wazi hawana nguvu yoyote Igunga lakini wameamua kwenda huko ili ccm ishinde.Mtatiro amemueleza mwandishi wa habari hizi kwamba chadema wasijidanganye kuambulia hata nafasi ya pili bali watakuwa namba 3 nyuma ya ccm na cuf.Mtatiro amesema cuf wamejipanga kuwaeleza wananchi wa igunga ukweli wote kuhusu chadema ili waamue wenyewe.
<br /><br />Mtatiro amejibu hoja za wengi. Sasa mleta hoja hii aliipata wapi? Nini chanzo chake?
Mratibu wa kampeni wa cuf Julius Mtatiro ameishtumu vikali chadema kwamba kiimeenda Igunga kwa lengo la kugawa kura za Cuf.Mtatiro amesema chadema wanajua wazi hawana nguvu yoyote Igunga lakini wameamua kwenda huko ili ccm ishinde.Mtatiro amemueleza mwandishi wa habari hizi kwamba chadema wasijidanganye kuambulia hata nafasi ya pili bali watakuwa namba 3 nyuma ya ccm na cuf.Mtatiro amesema cuf wamejipanga kuwaeleza wananchi wa igunga ukweli wote kuhusu chadema ili waamue wenyewe.
Nakupongeza sana kwa kujitokeza kwako na kutoa msimamo wako kuhusu kujiunga kwako na CUF. Nakuomba sana ukipata nafasi fanya ziara wilayani Kilwa ambako CUF mna wanachama wengi sana na mmefaanikiwa kuwa na mbunge. Wanachama wenu kule kilwa inaonekana hawajazielewa sera za chama chenu kwani wanaamini kuwa mwana CUF ni kuwa adui wa watumishi wa serikali na kwamba hawatakiwi kufanya shughuri yoyote ya maendeleo hata kama nikusafisha mazingira yao. Ajabu hawataki hata kuchimba vyoo kwa ajili ya shule zao. Uungwana uko wapi walimu katika shule kutojengewa vyoo na hivyo kuchangia choo kimoja na wanafunzi wao? Maelezo yanayotolewa eti CUF mnatangaza kuwa jukumu la kujenga vyoo shuleni ni la serikali. Sasa mchango wa wananchi ni upi? kwani mlipuko wa maradhi ukitokea watakaoathirika ninani?Tafadharini waelimisheni wana chama wenu umhimu wa kuchangia maendeleo yao.
mbona yeye alijua hashindi lakini alienda UBUNGO badala ya kwenda MUSOMA VIJIJINI
mbona TARIME CUF waliharibia CHADEMA kwa kugawa kura zaidi ya 7000
mbona hazungumzii KIGAMBONI jinsi wapinzani walivyogawana kura
au MTATIRO naye ameanza kutumia akili za kwwnye MASABURI
Bora tuwe wakweli Vyama vya siasa havitafika mbali kama havitokuwa na tabia ya kuachiana majimbo. Kama kweli CUF ina nguvu zaidi ya CDM basi CDM waiachie CUF Igunga vinginevyo ni kuwapa CCM ubwete wa kushinda.