CHADEMA wapunguze migogoro na serikali


Nashukuru ndugu, Maana mimi nimetoa mawazobaadhi ya Watz humu nao ni siasa tu kila kitu tufike mahali tujaribu kuangalia. Ili tuitoe CCM madarakani tuhitaji strategy na kupata katiba mpya. Mimi binafsi nasema umeniunga mkono nami niko nawe kabisa kimawazo. Mimi ni CDM kabisa na nina kadi yangu. So haya mawazo viongozi wetu wayafanyie Kazi. Mh Dr Slaa hebu tusaidie, Tutumie mbinu mbadala kutatua matatizo. Lini Arusha watafuatilia hata miradi ya Maendeleo kama Kila siku Lema yupo Polisi. Najua CCM wanatumia nguvu sana lakini kama wananchi tayari wanakipenda CDM kilichobaki ni kupata wana CDM wengi huko vijijini na mijini, Wasomi na wasiowasomi ili 2015 tushike nchi.

Ni hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…