CHADEMA wapelekana kortini

hilo linaweza kufanyika kama hasara za kumpuuza hazirudishi nyuma kasi ya mabadiriko na kama haumizi chama vinginevyo bora kumkosa na kuanza upya kwa sababu anakuwa mzigo wa misumari hamuwezi kubeba
 
hapo hawajachukua dola!! ugomvi moja kwa moja, je wakichukua??

wrong platfom staged, and wrong foodstuff chewed, you will soon puke! poor Koffie.
 
Last edited by a moderator:
Tatizo apo ni umeya tu chagulani alipigwa chini ndani ya vikao vya ndani akapewa manyerere asa amejenga bifu na meya
 

Kwamba Arusha walitumia Mil. 250 sasa na CDM watumie kama wenzao CCM HAPANA, kiukweli CDM kubalini kuwa hapo kwenye hiyo Manispaa ya Moshi mlitaka kuingizwa mkenge na hiyo naamni ilipangwa makusudi mazima na watendaji wa hiyo manispaa ili wahakikishe CDM hiyo kashifa inaangukia kwenu. Jiulize kwanini hilo katazo hadi Gama (Kada wa CCM na Mkuu wa Mkoa ndiyo ache kutoa katazo hilo mbele ya wanahabari?)
Ni fedha kiasi gani zinazopote kwenye H/wilaya ambazo zinasimamiwa na CCM na akuu wa mikoa wapo lakini hakuna kinachotokea kama hicho. CDM kuweni makini sana hasa kwenye halmashauri mnazoongoza ambazo kiukweli bado zinasimamiwa na watendaji wakuu ambao wengi wao wako pale kwa ajili ya maslahi ya CCM, mf. ni Mkurugenzi gani ambaye hana maslahi na CCM ukizingatia namna wanavyopata hizo nafasi.

Chondechonde CDM kuweni makini sana na mitego kama hiyo vinginevyo umma utaaminishwa kuwa na ninyi hamna tofauti na magamba
 

lipi bora kwako watu 3000 wakose hicho unacho dai haki .wa kata ya diwani matata au watu laki moja wa ilemele ,iwapo matata angeingia kuwa meya kwa mgogo wa mafisadi fulani wasio zidi 20 wa gamba .nakufanya ufisadi ambao utawanyima haki watu laki moja ,eti we gamba ?? Think big boy .or otherwise ur in a green bottle .try hard to cum out of it .and meet the great thinkers ,just out here
 

Hapo kwenye red, This is very low kwa Chagulani kutoa maneno na hoja kama hizo. Anafikiri bado ana hadhi ya udiwani kuweza kuitisha mkutano?Kama nani? Kama Gazeti letu la Serikali I mean Habari Leo linaandika upuuzi kama huu basi limefikia hadhi ya toilet paper, before mtu ungeweza hata kulifungia maandazi.
 
Bado nakitafakari kiswahili....ni lugha yangu ila bado najifunza. Ingawa naongea lugha za wenzetu zaid ya nne ila najivunia kiswahili. Tatizo ni pale kinavyoanza kutafsiriwa,,,yaani matumizi yake hapo ndio utajua lugha hii ni pana mfano ni majibu ya polisi baada ya kuua kwa makusudi wanajitetea kuwa kilichomuua ni kitu kizito, halafu chenye ncha kali....kwani RPG si kitu kizito na tena si kina ncha kali lakini ni bomu? Kwani RISASI si kitu kizito pia na tena si kina ncha kali?

Sasa swali langu ni kwamba hiki kitu kizito kilitokea wapi? polisi hawajakiona? mbona sote tunaona ni risasi iweje wao wasione?

Nimechefukwa na roho.
 

Ni afadhali watu ishirini wamekaa kuliko anavyofanya maamuzi baba mwana asha, huwa ni yeye na familia yake ha ha ha. wewe humjui matata, kama ungekuwa unamjua ungekaa kimya ingependeza zaidi, hata hao watu 3000 unaowasema walimpa kwa kuwa alitokea chama cha chadema hawakuwa na jinsi nyingine, na ndo maana akashinda,
 


Wakuu tuache dogma, tujaribu kuwa realistic, CDM kinajinasibu kama chama cha Democrasia, na democrasia inatoa madaraka makubwa kwa wananchi kuamua. Pamoja na hilo kulingana na maelezo kwenye habari hiyo kabla ya kamati kuu haijawanyang'anya uanachama Matata haikupata baraka ya kamati ya siasa ya wilaya ya Illemela. Labda niulize katiba yenu inasemaje kuhusu hilo? ......Mkuu Morenja, unaeleza kwamba uamuzi huu umefanyika ili kumzuia Matata asiwe Meya, kwa hiyo hapo tatizo ni Umeya?......Mkuu Kitenuly, Matata mwenyewe ameshalalamika kwamba maamuzi yaliyofanyika ni kutokana na shinikizo la Baba Junior hatuna uhakika kama hakumshirikisha mama junior kwani Kuna Manug'uniko kwamba mama Junior anaki-dictate CDM hadi imepelekea Mwigamba kuhamishwa.
 
habari leo gazeti mama la udaku nchini hizi ndizo habari mlizoona mbona huyu chagulani au matata hamkuwahi kuwasifia kabla ya msuguano ndani ya chama kwa taarifa yenu chadema hailei ugonjwa
 
nilishasema siku nyingi tu cdm ni wasanii
WASANII KIVIPI?kwa nao wamepiga picha na jezi ya barcelona kama kikwete?na wametoa ahadi ya kuileta real madrid kama kikwete?tayari nao wamesema liwalo na liwe kama pinda?Nao wamesema umaskini wa nchi hii haujulikani sababu, kama kikwete?after all umepost mchango wako ulisoma course gani ya chuo cha sanaa na wapi? lini? mwaka gani?je rizmoko aliposema yeye sio tajiri na siku 7 kwa slaa athibitishe sio usanii?jamani tuweke uzalendo na utaifa mbele tusikurupuke ,hii ni nchi yetu na bila mabadiliko ya kweli watu wa mataifa mbalimbali wanatushangaa.Tutaishia kupakia twiga kwenye ndege za jeshi.welediiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hauuzwi kama degree za c.h.u.p.i.korogwe hiyo
 
Kwa nini ang'aninie CDM wakati kuna vyama vingine? Hivi CCK na chenyewe si kipo Tanzania? WHY ONLY CDM?
 
Huyu si aende chama kingine ..hatumtaki bana
 
hapo hawajachukua dola!! ugomvi moja kwa moja, je wakichukua??

Nadhani ni vizuri kutoa magugu kabla hawajachukua dola, kwani ccm wamethibitisha kwamba ukishachukua dola hata gamba chafu kama la karamagi linakua gumu kutoka
 
si muondoke tunyinyimmeona chadema ni chama cha kubaatisha ,ONDOKENI NA TAMAA ZETU,CHADEMA CHAMA KINACHOONGOZWA NA MISINGI YA KISHERIA ILIYOJIWEKEA KATIKA KATIBA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…