nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
Hizo habari za kuunga hazina ukweli wowote!
Source ni UMMA tanzania.
CUF wapo ndani ya UKAWA tunajenga nyumba moja hizi porojo za wivu zipo ccm.Wanachokifanya chadema ni kama mwanaume aliyemwacha mkewe then anaanza kumuonea wivu baada ya kuolewa na mume mwingine. Pia inaweza kuwa kinyume chake
linamilikiwa na makada wa ccmHe! kumbe kuna gazeti linaitwa UMMA?
ccm ndo wivu wa kike mnashindwa kuelewa Zitto akienda CUF bado yupo ndani ya UKAWA kazi ya FUTA DELETE CCM NCHI NZIMA inaendelea.CHADEMA wana wivu wa kike.
bora marehemu anayetembea kuliko wewe marehemu unayesubiriwa kuzikwa muda wowote .chadema ni marehemu anayetembea
chadema ni marehemu anayetembea
Hapo ulipoweka karatasi umeficha habari gani?
Wanachokifanya chadema ni kama mwanaume aliyemwacha mkewe then anaanza kumuonea wivu baada ya kuolewa na mume mwingine. Pia inaweza kuwa kinyume chake
kwani hapo tatizo ni liko wapi zito ni MP opposition hata kama wana kesi mahakamani. lipumba hakufanya kosa kumwalika na aliamini kumsaidia to clarify some issues ili watu waelewe. mimi nawashauri CDM musihesabu makosa mnayo ona zitto kafanya. kumbukeni wakati wa buzwagi scandal jinsi zitto alivyo fanya kazi ya kujenga chama na marq ngapi zitto aloweka rehani uhai wake kwa maslahi ya chama. Namwamini sana mbowe kuwa ni mtu mwenye hekima sana na ndo maana CDM mmefika hapo mlipo namshauri mbowe atafute namna yq kimaliza mgogoro huu kumfukuza zitto siyo solution hata kidogo