CHADEMA wanuna Zitto kwenda CUF

CHADEMA wanuna Zitto kwenda CUF

IQ yako ni ya mende na kichwa kinasoma kutoka ndani mwa choo cha stand
Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Zuber KABWE (CHADEMA) ameitia msukosuko na kuelekea kupasuka Kambi ya Umoja wa Katiba ya Wanachi(UKAWA) baada ya kupanda katika jukwaa la Mkutano wa hadhara ulioandaliwa na Chama cha Wananchi (CUF) mkoani Mtwara , chini ya Mwenyekiti wa CHAMA hicho, Prof. Ibrahim Harouna LIPUMBA. LIPUMBA anashutumiwa na CHADEMA kukiuka makubaliano ya UKAWA na kutaka kukigombanisha CHADEMA na wanachama wake kwani Kamati kuu ya CHDEMA ilishatoa maazimio yake kuwa ZITTO asipewe ushirikiano wowote ndani ya CHADEMA na mshirika yeyote wa CHADEMA vikiwemo vyama vya upinzani vinavyounda UKAWA. CHADEMA wanahoji kama itawapendeza CUF kuona FREEMAN MBOWE akizunguka na HAMAD RASHID kwenye majukwaa ya kisiasa.

Katika mkutano huo wa hadhara, ZITTO alimwamgia sifa Prof.Lipumba na kuonesha kuwa ni kiongozi anayefaa kuwatumikia Watanzania ikiwa watampa ridhaa.

Mytake: CHADEMA na CUF wanawatambua ZITTO KABWE na HAMAD RASHID kuwa ni wabunge wa MAHAKAMA kwa maana nyingine vyama hivyo haviwatabui kama wanachama wao na kwa maana hiyo wako huru kufanya siasa popote ilimradi tu hawafanyi hivyo kwa tiketi ya vyama vyao. Nini sasa sababu ya kauli hizi kutoka kwa CHADEMA? Ni uoga , ni wivu au ni nini?

attachment.php

 
kwani hapo tatizo ni liko wapi zito ni MP opposition hata kama wana kesi mahakamani. lipumba hakufanya kosa kumwalika na aliamini kumsaidia to clarify some issues ili watu waelewe. mimi nawashauri CDM musihesabu makosa mnayo ona zitto kafanya. kumbukeni wakati wa buzwagi scandal jinsi zitto alivyo fanya kazi ya kujenga chama na marq ngapi zitto aloweka rehani uhai wake kwa maslahi ya chama. Namwamini sana mbowe kuwa ni mtu mwenye hekima sana na ndo maana CDM mmefika hapo mlipo namshauri mbowe atafute namna yq kimaliza mgogoro huu kumfukuza zitto siyo solution hata kidogo

Zitto akihania cuf itakuwa poa sana lkn ajikague asije akaleta mgogoro; si unaona toka zitto aondoke chadema akuna migogoro?
 
Kwa nini ukasirike mke uliyemtaliki akichukuliwa na mwanamme mwingine?
 
Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Zuber KABWE (CHADEMA) ameitia msukosuko na kuelekea kupasuka Kambi ya Umoja wa Katiba ya Wanachi(UKAWA) baada ya kupanda katika jukwaa la Mkutano wa hadhara ulioandaliwa na Chama cha Wananchi (CUF) mkoani Mtwara , chini ya Mwenyekiti wa CHAMA hicho, Prof. Ibrahim Harouna LIPUMBA. LIPUMBA anashutumiwa na CHADEMA kukiuka makubaliano ya UKAWA na kutaka kukigombanisha CHADEMA na wanachama wake kwani Kamati kuu ya CHDEMA ilishatoa maazimio yake kuwa ZITTO asipewe ushirikiano wowote ndani ya CHADEMA na mshirika yeyote wa CHADEMA vikiwemo vyama vya upinzani vinavyounda UKAWA. CHADEMA wanahoji kama itawapendeza CUF kuona FREEMAN MBOWE akizunguka na HAMAD RASHID kwenye majukwaa ya kisiasa.

Katika mkutano huo wa hadhara, ZITTO alimwamgia sifa Prof.Lipumba na kuonesha kuwa ni kiongozi anayefaa kuwatumikia Watanzania ikiwa watampa ridhaa.

Mytake: CHADEMA na CUF wanawatambua ZITTO KABWE na HAMAD RASHID kuwa ni wabunge wa MAHAKAMA kwa maana nyingine vyama hivyo haviwatabui kama wanachama wao na kwa maana hiyo wako huru kufanya siasa popote ilimradi tu hawafanyi hivyo kwa tiketi ya vyama vyao. Nini sasa sababu ya kauli hizi kutoka kwa CHADEMA? Ni uoga , ni wivu au ni nini?
attachment.php


Gazethi lenyewe
View attachment 216668
 
Kumbe habari yenyewe imetoka kwenye gazeti la kufungia vitumbua!
 
Back
Top Bottom