CHADEMA wanavyowapumbaza Watanzania

CHADEMA wanavyowapumbaza Watanzania

hameez

Member
Joined
Mar 8, 2011
Posts
39
Reaction score
25
Ukiwa ni mchambuzi au hata mfatiliaji wa siasa utagundua CHADEMA hawana jipya kwa sasa.mission yao iliishia 2010 sasa wamebakia kutapatapa na kuwapumbaza watanzania kwa hoja na matukioa yasio na maana kama tuhuma za kuuwawa kwa Dr. Slaa.

Wengi wa wafuasi wa CHADEMA shule yao ndogo na hata waliooenda shule upeo wao wa kutafakari ni finyu sana wapo kishabiki zaidi ndo maan lolote atakalosema slaa,mbowe au lissu ulichukua kama lilivo bila kuhoji.

CHADEMA inatembelea nyota ya UKAWA kwa sasa hawana jipya wanahitaji hisani ya wananchi kwa kuzusha mambo ambayo hayapo kabisa.

CHADEMA ya Bob Makani na Chacha Wangwe ishakufa iliyopo sasa n CHADEMA ya walafi na wasaka dola kwa mbinu za ovyo ovyo.
 
Siasa kitu kigumu sana mkuu. Kila mtu huvutia kwake
 
Umeandika uchafu mtupu.
Muziki wa CHADEMA umewafanya hata viongozi matahira wa CCM washtuke na kuogopa sana. Wewe ujiulizi kwanini JK awaambie makada wa CCM wajiandae kisaikolojia kushindwa pia maana muziki mnene wa CHADEMA unatisha sana?
 
Sina chama chochote mkuu maana hakuna chama chenye lengo thabiti la kuleta mabadiliko kwa mwananchi wa kawaida.
 
Sina chama chochote mkuu maana hakuna chama chenye lengo thabiti la kuleta mabadiliko kwa mwananchi wa kawaida.

Inawezekana isiwe chama bali kutakuwa na wananchama wenye lengo la kuleta mabadiliko kwa waTZ. Na hapo ndipo penye shughuli kati ya wasaka tonge na wapiganaji wa kweli ndani ya chama. CCM walikuja na vua gamba baadae wakagonga mwamba. Mafisadi na walioanzisha chama ndani ya chama ndio wakapewa nafasi ya kutunga katiba mpya lo cha moto tutakipata.
 
Sio kila mwenye mlengo tofauti na mnavotaka CDM mnamuita magamba.hapo ndo mnapothibitisha kwamba uwezo wenu wa kuchambua na kutafakari aidha n mdogo au mmekua washabiki@pesambili
 
Ukiwa ni mchambuzi au hata mfatiliaji wa siasa utagundua CHADEMA hawana jipya kwa sasa.mission yao iliishia 2010 sasa wamebakia kutapatapa na kuwapumbaza watanzania kwa hoja na matukioa yasio na maana kama tuhuma za kuuwawa kwa Dr. Slaa.

Wengi wa wafuasi wa CHADEMA shule yao ndogo na hata waliooenda shule upeo wao wa kutafakari ni finyu sana wapo kishabiki zaidi ndo maan lolote atakalosema slaa,mbowe au lissu ulichukua kama lilivo bila kuhoji.

CHADEMA inatembelea nyota ya UKAWA kwa sasa hawana jipya wanahitaji hisani ya wananchi kwa kuzusha mambo ambayo hayapo kabisa.

CHADEMA ya Bob Makani na Chacha Wangwe ishakufa iliyopo sasa n CHADEMA ya walafi na wasaka dola kwa mbinu za ovyo ovyo.


Wenyeakili tumemuele ahsante sana
mtoa mada BAWACHA wengi wao ni
MAJUHARA. Page 13 of 1
 
Wewe ndiwe mchambuzi mwenye akili za kutosha????

Ptuuuuuuhhhh......!!!!

BACK TANGANYIKA
 
ndio umemaliza hapa kufikiri wewe mwenye kujiita una akili? kama una familia nahisi umeshindwa kuiongoza kwa hizi akili zako kama nzi.
 
Sasa kama wanawapumbaza watanzania si wewe uende ukawapumbazue?
 
Kuna watu wengine wapo kwajili ya kuijaza dunia na kubalance eco system basi
 
Ukiwa ni mchambuzi au hata mfatiliaji wa siasa utagundua CHADEMA hawana jipya kwa sasa.mission yao iliishia 2010 sasa wamebakia kutapatapa na kuwapumbaza watanzania kwa hoja na matukioa yasio na maana kama tuhuma za kuuwawa kwa Dr. Slaa.

Wengi wa wafuasi wa CHADEMA shule yao ndogo na hata waliooenda shule upeo wao wa kutafakari ni finyu sana wapo kishabiki zaidi ndo maan lolote atakalosema slaa,mbowe au lissu ulichukua kama lilivo bila kuhoji.

CHADEMA inatembelea nyota ya UKAWA kwa sasa hawana jipya wanahitaji hisani ya wananchi kwa kuzusha mambo ambayo hayapo kabisa.

CHADEMA ya Bob Makani na Chacha Wangwe ishakufa iliyopo sasa n CHADEMA ya walafi na wasaka dola kwa mbinu za ovyo ovyo.
CHADEMA tangu kuzaliwa kwake haijawahi kushinda vitongoji,mitaa na vijiji vingi na kuongoza halmashauri nyingi kama walivyoshinda katika uchaguzi uliopita.Ina maana kuwa nalo hilo ni lazamani siyo jipya?.
 
tatizo mbowe hana elimu anaringia chama cha baba mkwe wake tu
 
ukiwa ni mchambuzi au hata mfatiliaji wa siasa utagundua chadema hawana jipya kwa sasa.mission yao iliishia 2010 sasa wamebakia kutapatapa na kuwapumbaza watanzania kwa hoja na matukioa yasio na maana kama tuhuma za kuuwawa kwa dr. Slaa.

Wengi wa wafuasi wa chadema shule yao ndogo na hata waliooenda shule upeo wao wa kutafakari ni finyu sana wapo kishabiki zaidi ndo maan lolote atakalosema slaa,mbowe au lissu ulichukua kama lilivo bila kuhoji.

Chadema inatembelea nyota ya ukawa kwa sasa hawana jipya wanahitaji hisani ya wananchi kwa kuzusha mambo ambayo hayapo kabisa.

Chadema ya bob makani na chacha wangwe ishakufa iliyopo sasa n chadema ya walafi na wasaka dola kwa mbinu za ovyo ovyo.
ukweli ni kwamba
chadema ni waajiriwa wa ccm
kumbuka mageuzi yalilazimishwa tanzania
ili dunia iamini yapo
na tuendelee kuheshimika.
Sasa vyama pinzani vimepewa ajira
na chadema kikiwapo.
 
Back
Top Bottom