CHADEMA wanavyowapumbaza Watanzania

CHADEMA wanavyowapumbaza Watanzania

Duuh hii kali kweli!!

Kwa hiyo wewe kwa andiko lako hili ndiyo ume justify kwamba wewe una akili na ufahamu kuwazidi CHADEMA na sisi wengine wooote humu jukwaani tulio kinyume na kutofautiana na wewe/nanyi siyo??

Mimi sijakupata kabisa kusudi la hoja yako katika bandiko lako, kwamba ni kutetea upande wako au kutukana ambao "unadhani" wamepumbazwa na CHADEMA na kwa hiyo wajinga na uwezo wao wa kufikiri ni mdogo!!??.

Halafu ili iweje sasa? Na tukifanana wote namna ya kufikiri tutakwenda kweli? Mm nafikiri acha wengine tuwe wajinga na nyie werevu, tutafika tu kila mmoja kwa wakati wake ktk hali yoyote. Hata Zito Kabwe naye atafika anakotaka kwenda awe mfu au mzima!!
 
Sina chama chochote mkuu maana hakuna chama chenye lengo thabiti la kuleta mabadiliko kwa mwananchi wa kawaida.

Ok mkuu, basi ungesimama katikati na kufanya uchambuzi wa kisiasa usioegemea upande wowote lakini kwa hivi ulivyofanya kwa kukishambulia CHADEMA moja kwa moja, hoja zako zinarandana na hoja za watu wa rangi fulani pasi na shaka yoyote.
 
Watanzania utadhani mmepigwa sindano za GANZI maana yote yamo mbele yenu lakini hatuhisi kitu kwa GANZI.Acheni wengine wajaribu uwezo waliokuwa nao anglau waje kuondoa GANZI mwilini ili watanana waanze kuhisi mabadliko muhimu yanayohitajika:juggle:
 
Ukiwa ni mchambuzi au hata mfatiliaji wa siasa utagundua CHADEMA hawana jipya kwa sasa.mission yao iliishia 2010 sasa wamebakia kutapatapa na kuwapumbaza watanzania kwa hoja na matukioa yasio na maana kama tuhuma za kuuwawa kwa Dr. Slaa.

Wengi wa wafuasi wa CHADEMA shule yao ndogo na hata waliooenda shule upeo wao wa kutafakari ni finyu sana wapo kishabiki zaidi ndo maan lolote atakalosema slaa,mbowe au lissu ulichukua kama lilivo bila kuhoji.

CHADEMA inatembelea nyota ya UKAWA kwa sasa hawana jipya wanahitaji hisani ya wananchi kwa kuzusha mambo ambayo hayapo kabisa.

CHADEMA ya Bob Makani na Chacha Wangwe ishakufa iliyopo sasa n CHADEMA ya walafi na wasaka dola kwa mbinu za ovyo ovyo.

Mkuu , Dr. Slaa alishapotea kwenye anga za siasa. Hiyo sinema ya Bongo Movie waliyoigiza ni kutafuta kumpa-KICK ili aonekane Tena!
 
Sina chama chochote mkuu maana hakuna chama chenye lengo thabiti la kuleta mabadiliko kwa mwananchi wa kawaida.

Kama huna chama chochote na kama katika vyama vilivyopo hakuna chenye lengo thabiti la kuleta mabadiliko kwa wananchi wa kawaida; basi una mambo mawili tu ya kufanya:
1. Fumba mdomo wako na unyamaze
2. Anzisha chama chako ambacho unadhani kitaleta mabadiliko kwa wananchi wa kawaida.
 
Ukiwa ni mchambuzi au hata mfatiliaji wa siasa utagundua CHADEMA hawana jipya kwa sasa.mission yao iliishia 2010 sasa wamebakia kutapatapa na kuwapumbaza watanzania kwa hoja na matukioa yasio na maana kama tuhuma za kuuwawa kwa Dr. Slaa.

Wengi wa wafuasi wa CHADEMA shule yao ndogo na hata waliooenda shule upeo wao wa kutafakari ni finyu sana wapo kishabiki zaidi ndo maan lolote atakalosema slaa,mbowe au lissu ulichukua kama lilivo bila kuhoji.

CHADEMA inatembelea nyota ya UKAWA kwa sasa hawana jipya wanahitaji hisani ya wananchi kwa kuzusha mambo ambayo hayapo kabisa.

CHADEMA ya Bob Makani na Chacha Wangwe ishakufa iliyopo sasa n CHADEMA ya walafi na wasaka dola kwa mbinu za ovyo ovyo.
kuna wenye uwezo mdogo kama hawa ?
 

Attachments

  • attachment-4.jpeg
    attachment-4.jpeg
    10.7 KB · Views: 195
  • attachment.jpeg
    attachment.jpeg
    11.3 KB · Views: 194
CHADEMA tangu kuzaliwa kwake haijawahi kushinda vitongoji,mitaa na vijiji vingi na kuongoza halmashauri nyingi kama walivyoshinda katika uchaguzi uliopita.Ina maana kuwa nalo hilo ni lazamani siyo jipya?.

Ulitaka kisishinde ili kife,ni halali yao kushinda miaka 20's sio haba
 
Ukiwa ni mchambuzi au hata mfatiliaji wa siasa utagundua CHADEMA hawana jipya kwa sasa.mission yao iliishia 2010 sasa wamebakia kutapatapa na kuwapumbaza watanzania kwa hoja na matukioa yasio na maana kama tuhuma za kuuwawa kwa Dr. Slaa.

Wengi wa wafuasi wa CHADEMA shule yao ndogo na hata waliooenda shule upeo wao wa kutafakari ni finyu sana wapo kishabiki zaidi ndo maan lolote atakalosema slaa,mbowe au lissu ulichukua kama lilivo bila kuhoji.

CHADEMA inatembelea nyota ya UKAWA kwa sasa hawana jipya wanahitaji hisani ya wananchi kwa kuzusha mambo ambayo hayapo kabisa.

CHADEMA ya Bob Makani na Chacha Wangwe ishakufa iliyopo sasa n CHADEMA ya walafi na wasaka dola kwa mbinu za ovyo ovyo.

na CCM ya akina NYERERE,KAMBONA imekufa sasahivi kuna CCM kikundi cha wezi na wahujumu uchumi laiti SOKOINE leo afufuke mtajichimbia makaburi wenyewe!
 
Kambona alikuwa CCM? kweli jukwaa limevamiwa na wajinga wa kila sampuli.
 
Wewe ni Mshe.n.zi kabisa, hapo kwenye nyekundu na-justify upuuzi wako. Unapojenga hoja, jenga ukiwa hauko biased. Badae unasema hauna chama, wewe si inaonesha kabisa ni gamba? CCM ndo imewapumbaza waTZ kwa muda mrefu, at least sasa wameamka kujua hatima ya maisha yao nchini mwao. Wewe endelea kulala. Hauna tofauti na Mingoi aliyesema humu jf kuwa katiba pendekezwa miaka 50 ijayo inamuwashia nini mzee Warioba. Hajui hata maana ya sustainable development (Maendeleo endelevu, tafsiri isiyo rasmi), ni pamoja na wewe hujui maana ya nini upinzani imefanya hadi leo hii.
Umethibitisha jinsi Chadema fanatics walivyo loose nuts
 
Back
Top Bottom