CHADEMA wanavyowapumbaza Watanzania

CHADEMA wanavyowapumbaza Watanzania

Sina chama chochote mkuu maana hakuna chama chenye lengo thabiti la kuleta mabadiliko kwa mwananchi wa kawaida.

Mmmh!! Jiangalie moyoni kwako ikiwa jibu hili ni sahihi au uwongo.

Wasio na chama/vyama tupo wachache sana kwenye mitandao....ulichoandika sio kwa uhuru wako, bali ni mahaba ya upande mmoja wa shilingi.

Hata hivyo, watanzania (including me) tunao ufahamu mdogo sana juu ya siasa, elimu ya siasa, uraia na maendeleo yetu ya kijamii kwa ujumla. Tulichojaliwa ni kelele, majungu, uvivu, n.k

Ni nani atatuokoa kutoka katika hali hii?
 
CHADEMA tangu kuzaliwa kwake haijawahi kushinda vitongoji,mitaa na vijiji vingi na kuongoza halmashauri nyingi kama walivyoshinda katika uchaguzi uliopita.Ina maana kuwa nalo hilo ni lazamani siyo jipya?.
Wanaccm wamechanganyikiwa maana kila wanalofanya kuiua CDM inashindikana, Wasira alijaribu akashindwa, ZZK na wapambe wake ameshindwa, what next.... ni kuchukua dola!
 
Ukiwa ni mchambuzi au hata mfatiliaji wa siasa utagundua CHADEMA hawana jipya kwa sasa.mission yao iliishia 2010 sasa wamebakia kutapatapa na kuwapumbaza watanzania kwa hoja na matukioa yasio na maana kama tuhuma za kuuwawa kwa Dr. Slaa.

Wengi wa wafuasi wa CHADEMA shule yao ndogo na hata waliooenda shule upeo wao wa kutafakari ni finyu sana wapo kishabiki zaidi ndo maan lolote atakalosema slaa,mbowe au lissu ulichukua kama lilivo bila kuhoji.

CHADEMA inatembelea nyota ya UKAWA kwa sasa hawana jipya wanahitaji hisani ya wananchi kwa kuzusha mambo ambayo hayapo kabisa.

CHADEMA ya Bob Makani na Chacha Wangwe ishakufa iliyopo sasa n CHADEMA ya walafi na wasaka dola kwa mbinu za ovyo ovyo.

wewe una mtindio wa ubongo na utakalia hayo hayo nchi inaenda.unaowasapoti hao magamba hawana jipya.miaka 50 hakuna kilichobadilika
 
Sina chama chochote mkuu maana hakuna chama chenye lengo thabiti la kuleta mabadiliko kwa mwananchi wa kawaida.

Maccm huwa yanaogopa kujitambulisha hadharani kwa kuwa chama chao kinanuka Mav.i!
 
Sina chama chochote mkuu maana hakuna chama chenye lengo thabiti la kuleta mabadiliko kwa mwananchi wa kawaida.

basi ni bora uende jukwaa la MMU ukafundishwe kula kasa, pweza na dawa ya nguvu za kiume!
 
Umaarufu wa CDM ulianza kupungua baada ya watu kushtukia kwamba chama kina malengo ya siri..fukuza fukuza isiyo na msingi..ukitofautiana mawazo na wachaga unaonekana msaliti n.k .Sasa na hii mbinu waliyokuja nayo ya kuanzisha mambo ili waemdelee kutajwa na media ndio inawamaliza kabisa
 
Ukiwa ni mchambuzi au hata mfatiliaji wa siasa utagundua CHADEMA hawana jipya kwa sasa.mission yao iliishia 2010 sasa wamebakia kutapatapa na kuwapumbaza watanzania kwa hoja na matukioa yasio na maana kama tuhuma za kuuwawa kwa Dr. Slaa.

Wengi wa wafuasi wa CHADEMA shule yao ndogo na hata waliooenda shule upeo wao wa kutafakari ni finyu sana wapo kishabiki zaidi ndo maan lolote atakalosema slaa,mbowe au lissu ulichukua kama lilivo bila kuhoji.

CHADEMA inatembelea nyota ya UKAWA kwa sasa hawana jipya wanahitaji hisani ya wananchi kwa kuzusha mambo ambayo hayapo kabisa.

CHADEMA ya Bob Makani na Chacha Wangwe ishakufa iliyopo sasa n CHADEMA ya walafi na wasaka dola kwa mbinu za ovyo ovyo.

Matusi ya kukosa weledi katika kuona mambo. Wakiwa katika mikusanyio yao, wakichangia hapa JF au walio na kadi za chama umewa-assess ukaona elimu yao ndogo?! Ulafi walionao vyama vyetu kama CCM hajauona? kweli umelewa ushabiki.
 
Ukiwa ni mchambuzi au hata mfatiliaji wa siasa utagundua CHADEMA hawana jipya kwa sasa.mission yao iliishia 2010 sasa wamebakia kutapatapa na kuwapumbaza watanzania kwa hoja na matukioa yasio na maana kama tuhuma za kuuwawa kwa Dr. Slaa.

Wengi wa wafuasi wa CHADEMA shule yao ndogo na hata waliooenda shule upeo wao wa kutafakari ni finyu sana wapo kishabiki zaidi ndo maan lolote atakalosema slaa,mbowe au lissu ulichukua kama lilivo bila kuhoji.

CHADEMA inatembelea nyota ya UKAWA kwa sasa hawana jipya wanahitaji hisani ya wananchi kwa kuzusha mambo ambayo hayapo kabisa.

CHADEMA ya Bob Makani na Chacha Wangwe ishakufa iliyopo sasa n CHADEMA ya walafi na wasaka dola kwa mbinu za ovyo ovyo.

Wewe ni Mshe.n.zi kabisa, hapo kwenye nyekundu na-justify upuuzi wako. Unapojenga hoja, jenga ukiwa hauko biased. Badae unasema hauna chama, wewe si inaonesha kabisa ni gamba? CCM ndo imewapumbaza waTZ kwa muda mrefu, at least sasa wameamka kujua hatima ya maisha yao nchini mwao. Wewe endelea kulala. Hauna tofauti na Mingoi aliyesema humu jf kuwa katiba pendekezwa miaka 50 ijayo inamuwashia nini mzee Warioba. Hajui hata maana ya sustainable development (Maendeleo endelevu, tafsiri isiyo rasmi), ni pamoja na wewe hujui maana ya nini upinzani imefanya hadi leo hii.
 
basi ni bora uende jukwaa la MMU ukafundishwe kula kasa, pweza na dawa ya nguvu za kiume!

Hahahah, umemaliza mzee, hii kali kabisa. Aende huko akafunzwe na kufundisha jinsi ya kutongoza pia, maana huku hawezi
 
Ukiwa ni mchambuzi au hata mfatiliaji wa siasa utagundua CHADEMA hawana jipya kwa sasa.mission yao iliishia 2010 sasa wamebakia kutapatapa na kuwapumbaza watanzania kwa hoja na matukioa yasio na maana kama tuhuma za kuuwawa kwa Dr. Slaa.

Wengi wa wafuasi wa CHADEMA shule yao ndogo na hata waliooenda shule upeo wao wa kutafakari ni finyu sana wapo kishabiki zaidi ndo maan lolote atakalosema slaa,mbowe au lissu ulichukua kama lilivo bila kuhoji.

CHADEMA inatembelea nyota ya UKAWA kwa sasa hawana jipya wanahitaji hisani ya wananchi kwa kuzusha mambo ambayo hayapo kabisa.

CHADEMA ya Bob Makani na Chacha Wangwe ishakufa iliyopo sasa n CHADEMA ya walafi na wasaka dola kwa mbinu za ovyo ovyo.[/QUOKTE]

Kuna mawili, ama wewe ni punguani hivyo unahitaji kupuuzwa tu, ama ni miongoni mwa wale mafisadi wanaowaumiza watanganyika. Mtu huru na mwenye akili zake Romaní anajua nini Cdm imefanya. Kipindi cha miaka mitano iliyopita Cdm umekuwa kuliko wakati mwingine wowote. Pole
 
Ukiwa ni mchambuzi au hata mfatiliaji wa siasa utagundua CHADEMA hawana jipya kwa sasa.mission yao iliishia 2010 sasa wamebakia kutapatapa na kuwapumbaza watanzania kwa hoja na matukioa yasio na maana kama tuhuma za kuuwawa kwa Dr. Slaa.

Wengi wa wafuasi wa CHADEMA shule yao ndogo na hata waliooenda shule upeo wao wa kutafakari ni finyu sana wapo kishabiki zaidi ndo maan lolote atakalosema slaa,mbowe au lissu ulichukua kama lilivo bila kuhoji.

CHADEMA inatembelea nyota ya UKAWA kwa sasa hawana jipya wanahitaji hisani ya wananchi kwa kuzusha mambo ambayo hayapo kabisa.

CHADEMA ya Bob Makani na Chacha Wangwe ishakufa iliyopo sasa n CHADEMA ya walafi na wasaka dola kwa mbinu za ovyo ovyo.
Wewe ndiyo bure kabisa wakati chuoni mtu ukiwa na uwezo wa kuunda hoja vizuri unaitwa CHADEMA na wale ambao watoa sauti bila hoja huku mishipa ya shingo imekakamaa na povu jingi mdomoni kama wewe wanaitwa chichiem.HATUNA MDA WA KUPOTEZA NA GAMBAZ nendeni vijiji hko kwa wasiojua kusoma wala kuandika watawaelewa vizuri.
 
hameez yawezekana hatuna ELIMU YA KUTOSHA,na kama tumekwenda shule zimetufanya tusiwe na ufahamu yawezekana pia ukawa uko sahihi lakini kimoja kikubwa tunakitu muhimu sana,UAMUZI WA KUMCHAGUA kiongozi bora na au tumtakaye.

Uamuzi wa kuwa mwanachama wa chama gani ni mtu mwenyewe nasidhani kama uamuzi wake unatakiwa kudhihakiwa.Pole lakini
 
Umaarufu wa CDM ulianza kupungua baada ya watu kushtukia kwamba chama kina malengo ya siri..fukuza fukuza isiyo na msingi..ukitofautiana mawazo na wachaga unaonekana msaliti n.k .Sasa na hii mbinu waliyokuja nayo ya kuanzisha mambo ili waemdelee kutajwa na media ndio inawamaliza kabisa
Akili punje siyo kosa lako.
 
Back
Top Bottom