Mkurugenzi angetoa form mapema nani angeandamana. Polisi walitumia risas za nini? Kuwa ccm lazma uikane kwanza akili yako ujivike ujingaDamu ya yule binti ni laana kwa chadema kuvunja sheria na kuandamana kwenda ofisi ya mkurugenzi bila kibali swali? Je msingeandama kihuni namnaila mkaacha viongozi tu ndo wakaenda kungetokea vurugu kama zile LA kusababisha kifo mnalazimisha kupendwa wakati mmeshakataliwa na wananchi kila pembe.