mtamanyali
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,161
- 613
chadema wamesababisha posho za walimu wapya zichelewe kufika kwenye halmashauri chadema bwana!!
Na nimesikia sasa hivi (kutoka reliable person ndani ya chama) kuwa chadema wanaandaa mgomo wa wenye maduka ya madawa wafunge maduka. Eti kwa nini madaktari hawaendi kazini kuwaaandikia wagonjwa waende kununua dawa kwenye maduka yao (FAMASI)...lol
CHADEMA watu wabaya sana..wamemshinikiza pinda awatishe madaktari na kupiga marufuku mikutano yao ktk ukumbi ambao walikuwa wameshaulipia
Chadema noma, mpaka PC yangu imezima hapa kwenye screen inaandika People's Power. CHADEMA Nomaaaaaaaaaaaaa!