CHADEMA wamkana Zitto

Zitto mwenyewe mgonga dili kama wenzake tu kwenye vyama jamani aturudishie lori letu alotumia kumwaga makokoto kwenye barabara ya mwandiga ambayo sasa inawekwa viraka kwa kushika tenda mbovu kabisa aliyojineemesha

Si ukamshtaki kama unaushahidi mbona kunleta mipovu huku?.
 
Ninaamini kamati kuu ya Chadema ina watu makini, siku jina la Zitto likifikishwa mezani kwaajili ya uenyekiti, naamini kwa moyo wangu wote, yule atakae lileta itabidi ale mikwaju kwanza kabla ya kumpiga chini huyu mwehu mwenyewe,
Bavicha sounds.
 


hapo kwenye red, kwa mfano mtu akienda kwenye vyombo vya habari na kukutuhumu kuwa wewe ni mwizi je, utaenda polisi kuthibitisha au kukanusha kama wewe si mwizi au utaenda kwenye vyombo hivyohivyo alivyotumia aliyekutuhumu ?
 

Kweli nyani haoni kundule.
 
Tangu Zitto atake hesabu za Chadema zikaguliwe, chama chake kimemjengea uadui wa ghafla. Kwani hesabu kukaguliwa kuna ubaya gani? mnaficha nini kwenye hivyo vitabu?

Hapa mtasema mengi, muhimu ni kujua kuwa hajasimamia ukaguzi wa matumizi na mapato ya vyama kama naibu katibu mkuu wa CDM hata kama uadilifu katika kuisimamia serikali ni moja ya sera za CDM.
 
zito na chadema yake wote wanafiki tu hawana cha maana hata chembe.
 


sio zito bali cag na msajili ndo wenye matatizo kwa kumdanganya mwenyekiti na wajumbe wa pac
 
Si ukamshtaki kama unaushahidi mbona kunleta mipovu huku?.
ehe inauma eeh kasha jishitaki mwenyewe humuoni alivyo mwehu hajui anafanya nini wmana saccos yule atulidishie lori letu la fedha alizojineemesha toka halmashauri kumwaga mikokoto nusunusu
 

tATIZO LA PAC NI APPROACH WALIYOINGIA NAYO kwenye media.Wangeonekana bold kwa kumcharge CAG na msajiri lakini siyo vyama.Ina maana hata hao akina zitto wanafuata utendaji wa kina mzee cheyo wa kumuogopa CAG na msajiri na wameona wapumulie vyama.ridiculous motion
 
Kiongozi hilo nalo neno. Zitto kiongozi wa ngazi ya juu sana ndani ya CDM lakini inanishangaza kuona kama hajui hata hesabu za chama chake kama zimeshakaguliwa. Huo ni unafiki wa hali ya juu sana.

kiongoz by virtual_kwan hamjui mikakati yenu wachaga dhidi ya watu wenye akili? mengi yameshazungumzwa hapa juu ya CDM na itikadi zenu na WTZ wote sasa tunawajua wala hamtusumbui, muda wa uchaguzi 2015 ndo tutaoneshana fitina mwanzo mwisho
 
namuunga mkono ZITTO haya mambo ni kwa mujibu wa sheria ni lazima vyama vyote vikaguliwe CCM mnaogopa nini?heri CHADEMA wametoa nyaraka zote kuonyesha kuwa walisha kaguliwa nyinyi mnatatizo gani>nape mnauye ahahaha
 
Nina wasiwasi ile millioni mia moja na arobaini aliyokula Dr.W.Slaa na demu wake Josephine mshumbusi hawajairudisha ndio maana kuna kurukaruka kwingi na kuweweseka kwa chadema.
 
Last edited by a moderator:
ehe inauma eeh kasha jishitaki mwenyewe humuoni alivyo mwehu hajui anafanya nini wmana saccos yule atulidishie lori letu la fedha alizojineemesha toka halmashauri kumwaga mikokoto nusunusu

Unajitahidi kugeuza nyeupe kuwa nyeusi ila mwisho pumzi itawaisha na watumwa wenzako.
 
hili ni tatizo au aibu deputy accounting officer wa CHADEMA ajui kama hesabu za chama chake zimekaguliwa?au Antony Komu anaudanganya umma?nani mkweli hapa?????????????
 
Nina wasiwasi ile millioni mia moja na arobaini aliyokula Dr.W.Slaa na demu wake Josephine mshumbusi hawajairudisha ndio maana kuna kurukaruka kwingi na kuweweseka kwa chadema.

Utabadili sana ID lakini mwisho wake utachemsha tu kama ulivyochemsha mengine.
 
Last edited by a moderator:
ni aibu sana kwa mtu mzima kujifanya mwehu,dr slaa katoa tamko wapi la kuchukizwa na suala la ukaguzi ambalo kimsingi lipo kisheria? utakuwa umevurugwa si bure!
babu alishikwa na butwaa aliposikia kijana mwenye hoja na kipenzi cha vijana akidai vyama vya siasa havijakaguliwa. babu noma alianza kupika data ila hazijakubali kwa kuwa anaongoza kutumia pesa za ruzuku vibaya.
 
Kakuambia tayari yeye ni maarufu hiyo attention itamsaidia nini? Sema kijana anatishia ulaji wa wanasaccoss wenu wa chadema.

Kwani kaitaja CDM tu?mbali na hivyo washatoa vielelezo vyote
 
Penye haki, HAKI IAMUE bila kuangalia sura ya chama..... Huwezi kufuga uzembe badae yatakuwa ni majanga
 
Hapa mtasema mengi, muhimu ni kujua kuwa hajasimamia ukaguzi wa matumizi na mapato ya vyama kama naibu katibu mkuu wa CDM hata kama uadilifu katika kuisimamia serikali ni moja ya sera za CDM.
si kweli sera za Zitto na Cdm ni vitu viwili tofauti kabisa, Zitto anasimamia haki ya msingi ya Mtanzania wakati Cdm wakiongozwa na Dr Slaa wanaongozwa na lugha nyepesinyepesi za ulaghai na za kinafki kinoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…