CHADEMA wamfunga mdomo LUDOVICK


nenda kanye urudi humu.
 
Umejitahidi kujidhalilisha. LOOK AT YOU

Join Date : 22nd July 2013
Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes Given0




S.T.U.P.I.D

kwi kwi kwiiiiiiii! Yani hili lijamaa mumelikurupusha vizuri kweli hapo,Likifikiri halitagundulika,Watu muko makini kweli yani fasta tu mumelianika kweupeee Kwi kwi kwi kwiiiiiiiiiiii
 

Sasa umejiunga jana rasmi kwa ajili ya kutoa hilo ili tukusupport hapa JF?Kam wewe unajitambulisha kuwa ni wakili kwanini hukumwonea huruma Ludo kuwa wakili wake ili umtetee?Nani sasa amtetee kama wewe wakili tu umeshindwa kufanya hivyo?Wakili mwenzako!!Huna ishu wewe ni mnafiki pia.
 
Nilikuwa nataka kujiaminisha kuhusu hii thread lkn baada ya kuona BWANA lukosi kajibu fasta nikajua ni yake Yale ya kujitekenya afu unacheka mwenyewe! Nendeni lumumba mkachukue chenu!
 
Unainajisi taaluma ya uanasheria kama kweli wewe ni mwanasheria.

Kwa hiyo spidi yote ya kujisajili leo na kuleta umbea wa mahakamani hapa ni ili tujadili kesi iliyoko mahakamani au unataka nini?

Bado hajajua ku - reply....tumpe mda.
 
Ipo hivi, chadema ni wanyama, Ludovick ni mwanachadema, kwa hiyo Ludovick ni mnyama!
Mkuu, kinachowaponza hawa ndugu zetu, ni waongo halagu ni wasahaulifu, wamejaribu kuuaminisha umma kuwa Lwakatare na Ludo na CHADEMA lao moja, iweje tena leo wam exclude Ludo kwenye unyama wa CHADEMA?
 
kwa nn hamkumtetea mahakaman kama lwakatare
Kwa sababu ana watetezi wake ambao ndio nyie CCM, kinachomuumiza ni kwamba watetezi wake wanaogopa kumtetea hadharani kuwa itabainika.
 
Kwanini usijitolee kuwa mwanasheria wake!?au wewe pesa mbele!?kumbe huna huruma ni mnafiki,na inawezekana ni Mwigulu wewe na ID mpya.
 
sijajua kwanini wachangiaji wengi walio tangulia wameacha kuttolea maelezo juu ya mada husika na kukazana kwenye uhalali wa mtoa taharifa!

ingekuwa vizuri kama tungethibithisha yaliyosemwa kama yana walakini ama yapo sahihi>

maswala ya kujiunga leo au jana ya mleta mada hayana uhusiano wowote na mada iliyopo mezani. hembu tujadilini hii habari iliyoletwa, naamini we are good at it...

#tanzania ni yetu sote
 

Fani ya Uwakili kwa kweli ina najisiwa sana kama na wewe ni wakili
 
mkuu we ndo mnafiki wa daraja la kwanza. umejitambulisha kama wakili na unataka ludovick awe na wakili lakini hujipendekezi kuwa wakili wake bila shaka sbb ludovick hawezi kukugharamia viwango utakavyomtajia. then hukuwa na haki ya kuzungumzia hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…