CHADEMA wamfunga mdomo LUDOVICK

CHADEMA wamfunga mdomo LUDOVICK

Kama wewe kweli ni wakili na unaandika habari namna hii basi Tanzania imekwisha!
Hawa ndiyo walipata digrii za kukariri na madesa tu mkuu na kichwani ni pumba tu. wakili gani anaandika pumba kama hizi? Wakili wa maana hawezi kuandika ----- huu. Huyu ni agent tu wa magamba ametumwa kupima joto hapa. Watanzania tumechoka na vipima joto hovyo vyao.
 
Kama wewe ni wakili, hata taratibu za mahakama huzijui. Hakuna yeyote anayeruhusiwa kuzungumzia jambo lolote ambalo liko mahakamani hadi hapo litakapotolewa maamuzi. Msaidie Ludovick kupata wakili
 
Ni wapumbavu wenzio tu ndio wataelewa upumbavu ulioandika hapa,kuandika tu hujui huo uwakili uliupata wapi!!! CCM ni kapu la wapumbavu kama wewe.
 
Wakili gani unaandika bila spacing wala paragraph bana....vipi mkuu mbona unaaibisha taaluma ya sheria....lakini pia unataka kusema mahakama iliyofuta kesi ya ugaidi...ILIKOSEA...? naona pia kama unataka kurudisha ule mjadala wa zamani na wa kijinga...ambao CCM haitaki hata kuusikia wa kuhusu ule MKANDA..!!! kwamba ni kwel au si wakweli...??....Mzee hii taaluma ya sharia hapa bongo mbona haieleweki...?
Mawakili hujitambulisha kama learned people. Sasa huyu wakili ni wa namna gani huyu? Mimi naona anadhalilisha hii taaluma. Au ni wale wa vyeti?


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Chadema ni wanyama pole sana ludovick mungu atasimama upande wako tu.
 
Mawakili hujitambulisha kama learned people. Sasa huyu wakili ni wa namna gani huyu? Mimi naona anadhalilisha hii taaluma. Au ni wale wa vyeti?


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Na wewe mkaanga sumu ni bora ungenyamaza tu make unajitekenya na kucheka mwenyewe yani wewe ni kituko hasa.
 
Unainajisi taaluma ya uanasheria kama kweli wewe ni mwanasheria.

Kwa hiyo spidi yote ya kujisajili leo na kuleta umbea wa mahakamani hapa ni ili tujadili kesi iliyoko mahakamani au unataka nini?
Kwa kitendo cha wanaCCM kumtetea LUDO inaashiria kuwa ni mtu wao.
 
Chadema ni wanyama pole sana ludovick mungu atasimama upande wako tu.
Hii ni aibu, LUDO si ni mtuhumiwa kama ilivyo kwa Lwakatare na akina Henry Kilewo?, kwa nini yeye anatetewa na wenzake wanakandiwa?
 
Itabidi ludovick ajiangalie sana hawa watu siyo wema watamuuwa ili kufuta ushahidi make wameua wengi sana mpaka hivi sasa.
 
Watu wengi hata hapa jamiiforums,walikuwa wakitaka Ludovick atoe UKWELI wa anachokijua kuhusu tuhuma zinazomkabili.amejaribu kuongea kule mabadiliko,tena hakuzungumza chochote juu ya kesi iliyo mahakamani.kila alipoulizwa swali,linalohusu mambo ya kanda ya lwakatare,alikataa na kusema hilo liko mahakamani.sasa tatizo limetokea.mawakili wa lwakatare,kwa kuhofia kuwa sasa ludovick anaweza kusema hadharani ukweli wa sakata hilo,Wamekimbilia kuomba mahakama imfunge ludovick mdomo.
Mimi ni wakili,na nilikuwepo mahakamani,wakati wakili mwenzangu anawasilisha malalamiko yake dhidi ya ludovick.ukweli kabisa,gazeti la mtanzania walilolipeleka mahakamani kama ushahidi,halikuwa limeandika chochote kinachoingilia kesi ya mahakamani,na wala mahojiano ya ludovick aliyoyafanya na mabadiliko,hayakuwa yanaingilia mahakama.nimeyasoma yote mawili.sasa wakili mwenzangu nyaronyo,akamdanganya hakimu,na kulalama kuwa jamhuri inahusika kupanga njama hizo ili ludovick aseme hicho wanachokiogopa chadema.
Baada ya kusema hayo,hakimu,bila kusoma gazeti kuona kama kweli kilichoandikwa kiliingilia kesi,wala kutaka kujua kama kweli mahojiano ya ludovick na mabadiliko yaliingilia mahakama,ndipo akatoa onyo alilolitoa kwa ludovick,na magazeti yenyewe.Binafsi nilimsikitikia ludovick kwa kuwa alifokewa tu kama mtoto, mdogo,wakati hakimu hakusoma gazeti liliandika nini.nikatamani kama ludovick angekuwa na mwanasheria,asingeonewa vile.
Kutokana na hayo,hata waandishi waliokuwepo,walisikiliza maoni ya nyaronyo huyohuyo,aliyepika uongo mahakamani na ndicho walichoandika leo.Nilimsikia Nyaronyo akiongea na mke wa lwakatare kuwa walitaka wasababishe dhamana ya ludovick ifutwe ili arudishwe gerezani,asije akaamua kutoboa kila kitu nje ya mahakama.isingekuwa huruma ya hakimu katemana,ludovick jana angerudishwa lupango.ikumbukwe kuwa chadema wameshaiaminisha jamii kuwa mkanda ule siyo halisi na umetengenezwa,na sasa wanawasiwasi kuwa ludovick anaweza kuwaharibia.
Isipokuwa chadema wamekuwa mabingwa wa kulaumu kuwa mahakama zimekuwa zinatumika kuziba watu midomo.sasa ni ajabu katika hili wao ndiyo wamekimbia mahamani kumziba ludovick mdomo.hatimaye,napendekeza ludovick apate wakili,kwani kwa nia hii ya chadema,wanaweza hata kutengeneza au ka hack e mail yake na kuandika kama yeye ili arudishwe lupango.kwa kweli nimemhurumia sana ludovick,ama hakika chadema ni wanafiki.

Kwanini wewe usiwe wakili wake kuliko kutuletea udaku hapa.Mijitu mingine kwa akili ndogo eti nawewe ni mwanasheria kweli hamnazo.
 
Back
Top Bottom