CHADEMA wamfunga mdomo LUDOVICK

Duh...lisilowezekana Duniani,Tanzania linawezekana....
Hatimaye tumepata wakili.....!
 

Ujinga nao ni kipaji, we si umesema ni WAKILI!? afu unatamani Ludo apate wakili..!
 
Kama nimekusoma vizuri umesema ww ni wakili kwa nini usijitoe kumsaidia? Msaidie ili ukalipwe ujira wako pale L.

 

Hawa ndugu zetu wanasheria huwa wanajiita Learned Brothers....Nafikiri wewe kama kweli ni wakili basi ni kinyume chake.

 
Hata mimi naamini post hii si ya wakili ni muhuni mmoja tu.
 
umetumwa .boc wako wewe anatibiwa mwananyamala?je wewe unatibiwa wapi?acha kupotosha umaaa.....akili ndogo.
 
TRUJILLO;
Join Date : 22nd July 2013
Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes Given0

Ndugu "wakili" So umejiunga JF kwa ajili ya kuweka hii post?

Huyo ni kibaraka au kapeti la CCM,kama alivyo Lukosi.
 
[FONT=comic
sans ms]kama wewe ni wakili na unamuhurumia mtuhumiwa huyu kwa nini
usijitolee uwe wakili wake??[/FONT]

Umemkamata patamu huyu wakili njaa. Yaani kwenye uzi wake anashauri Ludovick atafutiwe wakili ili asionewe maana anamuonea huruma. Mimi nashangaa kwa nini asijitolee tu!
 
Umejitahidi kujidhalilisha. LOOK AT YOU

Join Date : 22nd July 2013
Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes Given0




S.T.U.P.I.D

Kama sio Mimibaba nadhani ningekua naendelea kusoma hii thread ila sasa inatosha.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mawakili hujitambulisha kama learned people. Sasa huyu wakili ni wa namna gani huyu? Mimi naona anadhalilisha hii taaluma. Au ni wale wa vyeti?


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

Ni wakili wa viti maalum.
 
Mwanasheria gani anae tumia m.a.t.a.k.o kufikiri!! "By Dr. Ma------ quote me right". Napendekeza grade za kuingia kwenye kada hii ziongezwe c hawa wachumia tumbo/ pungufu wa kufikiri. Cjui kukoswa kesi au nn?? Njoo uoshe magari huku.


Bwana Yesu asifiwe
 
Na wewe mkaanga sumu ni bora ungenyamaza tu make unajitekenya na kucheka mwenyewe yani wewe ni kituko hasa.

Acha kubwabwaja kama mlevi wa gongo hapa,hebu tuambie huyo ni wakili au sio wakili?halafu utueleze na chuo alichosoma,hata kama ni ch Nchemba tueleze.
 
TRUJILLO;
Join Date : 22nd July 2013
Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes Given0

Ndugu "wakili" So umejiunga JF kwa ajili ya kuweka hii post?

Ludovick mwenyewe huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…