Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,962
- 32,344
- Thread starter
- #21
Mkuu hiyo cd ilikuwa ni mtiririko wa ufunguzi wa Tawi la CDM huko nyororo sasa Kama kifo kilitokea wakati wa ufunguzi unataka isiwe ni sehemu ya tukio kwenye video Yao? Mbona hamhoji video za zinazouzwa za ufunguzi wa matawi mengine ambavyo Vifo havikutokea?
Hakuna ufunguzi wa tawi lolote Nyororo, labda nikuulize marehemu alikuwa mfuasi wa Chadema? Kama sio mfuasi wa Chadema mliwasiliana na mjane wa marehemu kuhusu kuonyesha mauaji ya mume wake? Au kuna fungu lolote anapata kutokana na mauzo ya hiyo CD?