Michael Uledi
Senior Member
- Mar 29, 2023
- 132
- 322
George Michael Uledi.
Kyela, Mbeya.
July 23,2023.
CHADEMA wanafanya kila linalowezekana kutaka kuipasua nchi kwa sasa, walianza na ajenda mbaya ya Uzanzibari na Utanganyika bahati mbaya watu wameikataa katakata hasa kwenye suala la Uwekezaji wa Bandari ya Dar es Salaam kwa DP World.
Bahati mbaya kwenye hilo wameshindwa kabisa kuwagawa Watanzania kwa misingi ya Uzanzibar na Utanganyika. Baada ya kuona ajenda hiyo haina mashiko kwa watu ukizingatia baadhi ya Viongozi wa Juu wa CHADEMA kama Salum Mwalimu anatoka Zanzibar, hivyo ajenda hiyo ingeweza kupasua chama chao katika pande mbili za Bara na Visiwani.
The next agenda setting at ajenda ya Udini kwa kutaka kuwagawa Watanzania kwa msingi wa Udini. Angalia list ya wasemaji wao wa leo pale Temeke Viwanja vya Buriaga. Wachungaji na Maaskofu wamepangwa na wao wakapangika kwelikweli bila kujali wajibu wao kwa Taifa wajibu wa kusimamia Umoja wa Kitaifa na amani ya Nchi hii.
Yaani Maaskofu wameamua kutumika na CHADEMA kutaka kuwagawa Watanzania kwa dini zao? What if Zitto Kabwe na yeye akaamua kuitisha Mkutano wake wa ACT-Wazalendo kwa kumua kuwaita Masheikh na viongozi wengine wa kiislam kwa lengo la kuusemea Mkataba wa Bandari na DP World Dubai, itakuwaje? Hapo vipi?
Hizi movement za CHADEMA na watu wao kamwe hazipaswi kufumbiwa macho hata kidogo. Mpaka leo hii, hakuna Askofu wa Sheikh ambaye kasimama kwenye Jukwaa la Siasa la CCM kuanza kuutetea Mkataba huu na CCM inafahamu implications za maamuzi hayo kwa Taifa letu.
Hivi CHADEMA wana ajenda ipi kwa watu wao? Je, ni Katiba Mpya, Udini au ni Ubara na Uzanzibar? Vyombo vya Ulinzi na Usalama na hata mabaraza ya Vyama vya Siasa Nchini vinapaswa kuchukua hatua haraka sana hasa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa.
Soon jamii ya Watanzania pia itaanza kuwadharau watu wa dini kwa kuwa sehemu ya wanaharakati wa Siasa za Bandari. Siasa za Bandari hazijaanza leo Duniani, tuache ushamba.
Bunge la Congress la Marekani liliwahi kuikataa Kampuni hiyo hiyo ya DP World Dubai kuwekeza kwenye Bandari zake kwa sababu za kisiasa na sababu za kiulinzi. DP World Dubai sio mara ya kwanza kupingwa hapa Tanzania na huko kwingine ishu haikuwa ubovu wa Mkataba la hasha.
Mwaka 2020 Bunge la Somalia lilivunja Mkataba wa IGA na DP World Dubai kwa sababu ya Siasa za Bandari wala sio jipya kwa watu ambao wanafatilia masuala haya ya Uwekezaji wa Bandari. Wakati Wabunge wa Bunge la Congress wanapinga Uwekezaji wa DP World Dubai Nchini Marekani hakukuwa na matumizi ya Maaskofu wala Masheikh kwenye Mikutano ya Kisiasa.
Haya mambo ya udini ya CHADEMA yanatoka wapi sasa? Mkutano wa Buruaga Temeke leo unapaswa kufutwa, kwani hauna maslahi kwa Taifa langu la Tanzania.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Kyela, Mbeya.
July 23,2023.
CHADEMA wanafanya kila linalowezekana kutaka kuipasua nchi kwa sasa, walianza na ajenda mbaya ya Uzanzibari na Utanganyika bahati mbaya watu wameikataa katakata hasa kwenye suala la Uwekezaji wa Bandari ya Dar es Salaam kwa DP World.
Bahati mbaya kwenye hilo wameshindwa kabisa kuwagawa Watanzania kwa misingi ya Uzanzibar na Utanganyika. Baada ya kuona ajenda hiyo haina mashiko kwa watu ukizingatia baadhi ya Viongozi wa Juu wa CHADEMA kama Salum Mwalimu anatoka Zanzibar, hivyo ajenda hiyo ingeweza kupasua chama chao katika pande mbili za Bara na Visiwani.
The next agenda setting at ajenda ya Udini kwa kutaka kuwagawa Watanzania kwa msingi wa Udini. Angalia list ya wasemaji wao wa leo pale Temeke Viwanja vya Buriaga. Wachungaji na Maaskofu wamepangwa na wao wakapangika kwelikweli bila kujali wajibu wao kwa Taifa wajibu wa kusimamia Umoja wa Kitaifa na amani ya Nchi hii.
Yaani Maaskofu wameamua kutumika na CHADEMA kutaka kuwagawa Watanzania kwa dini zao? What if Zitto Kabwe na yeye akaamua kuitisha Mkutano wake wa ACT-Wazalendo kwa kumua kuwaita Masheikh na viongozi wengine wa kiislam kwa lengo la kuusemea Mkataba wa Bandari na DP World Dubai, itakuwaje? Hapo vipi?
Hizi movement za CHADEMA na watu wao kamwe hazipaswi kufumbiwa macho hata kidogo. Mpaka leo hii, hakuna Askofu wa Sheikh ambaye kasimama kwenye Jukwaa la Siasa la CCM kuanza kuutetea Mkataba huu na CCM inafahamu implications za maamuzi hayo kwa Taifa letu.
Hivi CHADEMA wana ajenda ipi kwa watu wao? Je, ni Katiba Mpya, Udini au ni Ubara na Uzanzibar? Vyombo vya Ulinzi na Usalama na hata mabaraza ya Vyama vya Siasa Nchini vinapaswa kuchukua hatua haraka sana hasa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa.
Soon jamii ya Watanzania pia itaanza kuwadharau watu wa dini kwa kuwa sehemu ya wanaharakati wa Siasa za Bandari. Siasa za Bandari hazijaanza leo Duniani, tuache ushamba.
Bunge la Congress la Marekani liliwahi kuikataa Kampuni hiyo hiyo ya DP World Dubai kuwekeza kwenye Bandari zake kwa sababu za kisiasa na sababu za kiulinzi. DP World Dubai sio mara ya kwanza kupingwa hapa Tanzania na huko kwingine ishu haikuwa ubovu wa Mkataba la hasha.
Mwaka 2020 Bunge la Somalia lilivunja Mkataba wa IGA na DP World Dubai kwa sababu ya Siasa za Bandari wala sio jipya kwa watu ambao wanafatilia masuala haya ya Uwekezaji wa Bandari. Wakati Wabunge wa Bunge la Congress wanapinga Uwekezaji wa DP World Dubai Nchini Marekani hakukuwa na matumizi ya Maaskofu wala Masheikh kwenye Mikutano ya Kisiasa.
Haya mambo ya udini ya CHADEMA yanatoka wapi sasa? Mkutano wa Buruaga Temeke leo unapaswa kufutwa, kwani hauna maslahi kwa Taifa langu la Tanzania.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app