PostGE2025 CHADEMA walitoa sadaka ya kujimaliza Oktoba 29, hawainuki tena

PostGE2025 CHADEMA walitoa sadaka ya kujimaliza Oktoba 29, hawainuki tena

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
16,247
Reaction score
16,169
Waliaandaa mpango ambao walikuwa na uhakika nao kuwa utaua vijana wengi wasio na hatia. Vijana walipewa pesa na ahadi lukuki kama watakubali kujitoa mhanga kuiangusha serikali. Waliwadanganya vijana kuwa jeshi litakuwa nao bega kwa bega huku wakijua kuwa wanawalaghai vijana.

Vijana walikufa, waliumia na wengine kushikiliwa na vyombo vya usalama. Hii ilisababisha nchi nzima kuichukia chadema kutokana na kupoteza watu wao na kuvuruga utaratibu mzima wa watanzania kwenye utoaji na utafutaji huduma. Usafiri, biashara, ajira, elimu, matibabu na masoko vyote vilivurugwa na chadema kwa muda mfupi nchi nzima. Uzalishaji ulisimama kwa siku kadhaa hivyo watu nchi nzima na nchi jirani zinazoitegemea tz walipata hasara na kuilani chadema.

Kule mbagala waliusubiri usafiri wa mwendokasi kwa muda mrefu sana ili kupunguza adha ya usafiri wa daladala. Walichukia sana chadema kuchoma mwendokasi na kusababisha adha ya uafiri wa daladala kurejea tena.

Wapo watu walipoteza wapendwa wao kwa ukosefu wa huduma za afya kutokana na vurugu za chadema, wapo wakulima ambao mazao yao yaliharibikia shambani kwa kukosa wanunuzi, na wako wafanyabiashara ambao bidhaa zao za mazao ziliozea kwenye malori kwa kushindwa kufika sokoni waliko wateja.

Vijana waliokufa na mateso ya wananchi yaliyosababishwa na chadema vinaifanya chadema kufa ghafla, ni kama vile wametoa sadaka ya kujimaliza wenyewe. Imekufa sasa na hata milele.
 
we kweli mpunbavu wa ccm wa mwisho.Chadema ilifungiwa ,wale walikataa tanzania nzima walikuwa nani na uchaguzi weni feki wa milioni 32.

Weka picha yako tukutumie salamu za rambi rambi sisi wanazengo
 
Mwachieni simba muone amsha amsha, why mmeshikilia sasa kama walijimaliza? Mmeifungia na kiongozi wake mmemfunga miezi mingi kabla ya mauaji yenu lkn hamna amani hadi leo

Msitafute justification ya mauaji yenu, kila siku kujilizaliza tu hapa huyu mama yenu hili analo kijana/mzee ni suala la muda tu hata muweke mabandiko mjaze server hapa hamtamsafisha kwa namna yoyote sanasana mnazidi kumchafua kwa uharo wa namna hii kila siku.

Hamlali usingizi mnawaza kuishambulia chadema kuanzia mama yenu, mwengulu, makame, msajili, majaji, mahakimu, hadi yule changu na kundi lake la wakatoliki feki, kila kona chadema chadema, mahakamani, mikutanoni, jf, misikitini, maofisini, hili chama wandugu ni kama maji yani, usipoyanywa utayaoga, usipoyaoga utapikia, usipopikia utaoshea k, usipooshea utamwagilia mchicha wako.
 
Ujinga ni kama urefu au ufupi haujifichi kabisa .

Yaani ukiwa mjinga , zezeta , tabula rasa na mengineyo kuna namna fulani tu tutakujua.

Bado najiuliza na kutafuta hapo kiongozi wa CHADEMA akiwa na bunduki anaua watu.

Bado natafuta kiongozi wa CHADEMA aliyetoa amri internet izimwe ili kusudi video za mauaji zisifike katika ulimwengu kwa wakati.

Bado natafuta kujua Heche na Lissu waliokuwepo gerezani tarehe 29 walitoa vipi amri watu wapigwe risasi hadi majumbani.

Hakika ujinga ni mzigo, na hapa kubwa jinga limekuja kujianika bila kujua ni kubwa jinga sisi wengine ndio tunaona ujinga wake.
20251126_012459.jpg
20251126_034823.jpg
20251126_034653.jpg
20251104_120304.jpg
 
Mwachieni simba muone amsha amsha, why mmeshikilia sasa kama walijimaliza? Mmmeifungia na kiongozi wake mmemfunga miezi mingi kabla ya mauaji yenu lkn hamna amani hadi leo

Msitafute justification ya mauaji yenu, kila siku kujilizaliza tu hapa huyu mama yenu hili analo kijana/mzee ni suala la muda tu hata muweke mabandiko mjaze server hapa hamtamsafisha kwa namna yoyote sanasana mnazidi kumchafua kwa uharo wa namna hii kila siku.
Hizi taka taka nikuzi ignore tu
 
Ujinga ni kama urefu au ufupi haujifichi kabisa .

Yaani ukiwa mjinga , zezeta , tabula rasa na mengineyo kuna namna fulani tu tutakujua.

Bado najiuliza na kutafuta hapo kiongozi wa CHADEMA akiwa na bunduki anaua watu.

Bado natafuta kiongozi wa CHADEMA aliyetoa amri internet izimwe ili kusudi video za mauaji zisifike katika ulimwengu kwa wakati.

Bado natafuta kujua Heche na Lissu waliokuwepo gerezani tarehe 29 walitoa vipi amri watu wapigwe risasi hadi majumbani.

Hakika ujinga ni mzigo.
View attachment 3526631View attachment 3526632View attachment 3526633View attachment 3526634
Hawa jamaa balaa
 
Waliaandaa mpango ambao walikuwa na uhakika nao kuwa utaua vijana wengi wasio na hatia. Vijana walipewa pesa na ahadi lukuki kama watakubali kujitoa mhanga kuiangusha serikali. Waliwadanganya vijana kuwa jeshi litakuwa nao bega kwa bega huku wakijua kuwa wanawalaghai vijana.

Vijana walikufa, waliumia na wengine kushikiliwa na vyombo vya usalama. Hii ilisababisha nchi nzima kuichukia chadema kutokana na kupoteza watu wao na kuruga utaratibu mzima wa watanzania kwenye utoaji na utafutaji huduma. Usafiri, biashara, ajira, elimu, matibabu na masoko vyote vilivurugwa na chadema kwa muda mfupi nchi nzima. Uzalishaji ulisimama kwa siku kadhaa hivyo watu nchi nzima na nchi jirani zinazoitegemea tz vilisimama vyoote na kuilani chadema.

Kule mbagala waliusubiri usafiri wa mwendokasi kwa muda mrefu sana ili kupunguza adha ya usafiri wa daladala. Walichukia sana chadema kuchoma mwendokasi na kusababisha adha ya uafiri wa daladala kurejea tena.

Wapo watu walipoteza wapendwa wao kwa ukosefu wa huduma za afya kutokana na vurugu za chadema, wapo wakulima ambao mazao yao yaliharibikia shambani kwa kukosa wanunuzi, na wako wafanyabiashara ambao bidhaa zao za mazao ziliozea kwenye malori kwa kushindwa kufika sokoni waliko wateja.

Vijana waliokufa na mateso ya wananchi yaliyosababishwa na chadema vinaifanya chadema kufa ghafla, ni kama vile wametoa watu sadaka ya kujimaliza wenyewe.
Nilichokiona kwenye Jamii forumn majina ya watu huwa yanaakisi kile kilichomo kichwani mwao,yaani utaijua akili ya mtu kutokana na avatal yake na kile alichokiandika,mfano wewe unaitwa kavulata akili yako sawa na nguruwe
 
Waliaandaa mpango ambao walikuwa na uhakika nao kuwa utaua vijana wengi wasio na hatia. Vijana walipewa pesa na ahadi lukuki kama watakubali kujitoa mhanga kuiangusha serikali. Waliwadanganya vijana kuwa jeshi litakuwa nao bega kwa bega huku wakijua kuwa wanawalaghai vijana.

Vijana walikufa, waliumia na wengine kushikiliwa na vyombo vya usalama. Hii ilisababisha nchi nzima kuichukia chadema kutokana na kupoteza watu wao na kuruga utaratibu mzima wa watanzania kwenye utoaji na utafutaji huduma. Usafiri, biashara, ajira, elimu, matibabu na masoko vyote vilivurugwa na chadema kwa muda mfupi nchi nzima. Uzalishaji ulisimama kwa siku kadhaa hivyo watu nchi nzima na nchi jirani zinazoitegemea tz vilisimama vyoote na kuilani chadema.

Kule mbagala waliusubiri usafiri wa mwendokasi kwa muda mrefu sana ili kupunguza adha ya usafiri wa daladala. Walichukia sana chadema kuchoma mwendokasi na kusababisha adha ya uafiri wa daladala kurejea tena.

Wapo watu walipoteza wapendwa wao kwa ukosefu wa huduma za afya kutokana na vurugu za chadema, wapo wakulima ambao mazao yao yaliharibikia shambani kwa kukosa wanunuzi, na wako wafanyabiashara ambao bidhaa zao za mazao ziliozea kwenye malori kwa kushindwa kufika sokoni waliko wateja.

Vijana waliokufa na mateso ya wananchi yaliyosababishwa na chadema vinaifanya chadema kufa ghafla, ni kama vile wametoa watu sadaka ya kujimaliza wenyewe.
Wewe ni mpumbavu waambie mabosi wako kuwa watanzania hatudanganyiki tunajua aliyeua ni Samia na genge lake na wenyewe watakufa kwa sababu damu hulipwa kwa damu.ona comments zote humu utajua watanzania tunajua ukweli.
 
Pole sana. Magufuli aliapa Chadema kingekufa kabla ys2020. Chadema hakijafa, yeye ametangulia. Naona wewe umejirithisha jukumu la kuuwa Chadema, pambana.
 
Waliaandaa mpango ambao walikuwa na uhakika nao kuwa utaua vijana wengi wasio na hatia. Vijana walipewa pesa na ahadi lukuki kama watakubali kujitoa mhanga kuiangusha serikali. Waliwadanganya vijana kuwa jeshi litakuwa nao bega kwa bega huku wakijua kuwa wanawalaghai vijana.

Vijana walikufa, waliumia na wengine kushikiliwa na vyombo vya usalama. Hii ilisababisha nchi nzima kuichukia chadema kutokana na kupoteza watu wao na kuruga utaratibu mzima wa watanzania kwenye utoaji na utafutaji huduma. Usafiri, biashara, ajira, elimu, matibabu na masoko vyote vilivurugwa na chadema kwa muda mfupi nchi nzima. Uzalishaji ulisimama kwa siku kadhaa hivyo watu nchi nzima na nchi jirani zinazoitegemea tz vilisimama vyoote na kuilani chadema.

Kule mbagala waliusubiri usafiri wa mwendokasi kwa muda mrefu sana ili kupunguza adha ya usafiri wa daladala. Walichukia sana chadema kuchoma mwendokasi na kusababisha adha ya uafiri wa daladala kurejea tena.

Wapo watu walipoteza wapendwa wao kwa ukosefu wa huduma za afya kutokana na vurugu za chadema, wapo wakulima ambao mazao yao yaliharibikia shambani kwa kukosa wanunuzi, na wako wafanyabiashara ambao bidhaa zao za mazao ziliozea kwenye malori kwa kushindwa kufika sokoni waliko wateja.

Vijana waliokufa na mateso ya wananchi yaliyosababishwa na chadema vinaifanya chadema kufa ghafla, ni kama vile wametoa watu sadaka ya kujimaliza wenyewe.
Chadema ni magaidi,tena chini ya lissu wanapanga kuchoma majengo ya serikali katk wilaya nyingi nchini,tuo macho na tutawashughulikia ipasavyo
 
Pole sana. Magufuli aliapa Chadema kingekufa kabla ys2020. Chadema hakijafa, yeye ametangulia. Naona wewe umejirithisha jukumu la kuuwa Chadema, pambana.
Wewe kwa akili yako chadema iko hai?
 
Wenzetu waliona mbali mpaka wakaanzisha tuzo ya rais DHALIMU na hapa tungekuwa na tuzo ya mapoyoyo ungeshika namba moja.
 
Huyu ni mbunge wa jimbo gani, mbona anaongea kama ni wa hospitali ya Mirembe?
 
Mwachieni simba muone amsha amsha, why mmeshikilia sasa kama walijimaliza? Mmeifungia na kiongozi wake mmemfunga miezi mingi kabla ya mauaji yenu lkn hamna amani hadi leo

Msitafute justification ya mauaji yenu, kila siku kujilizaliza tu hapa huyu mama yenu hili analo kijana/mzee ni suala la muda tu hata muweke mabandiko mjaze server hapa hamtamsafisha kwa namna yoyote sanasana mnazidi kumchafua kwa uharo wa namna hii kila siku.

Hamlali usingizi mnawaza kuishambulia chadema kuanzia mama yenu, mwengulu, makame, msajili, majaji, mahakimu, hadi yule changu na kundi lake la wakatoliki feki, kila kona chadema chadema, mahakamani, mikutanoni, jf, misikitini, maofisini, hili chama wandugu ni kama maji yani, usipoyanywa utayaoga, usipoyaoga utapikia, usipopikia utaoshea k, usipooshea utamwagilia mchicha wako.
Kama tulikuwa hatujui ilipo nyeti ya kuku hadi pale upepo ulipovuma. Kwasasa kafungiwa lwaajili ya usalama wake. Chadema imekufa nadhani. Hata zile vurugu zao iliwalazimu waende Kenya kuchukua mamluki.
 
Wewe ni mpumbavu waambie mabosi wako kuwa watanzania hatudanganyiki tunajua aliyeua ni Samia na genge lake na wenyewe watakufa kwa sababu damu hulipwa kwa damu.ona comments zote humu utajua watanzania tunajua ukweli.
Chadema walipanga mauaji ya vijana, hata Lissu alisema hivyo wakati anatangaza kukinunisha siku ya uchaguzi. Au nikuwekee clip yake kuthibitisha hilo?
 
Back
Top Bottom