Wee nshakwambia unatumia akili kidogo nguvu nying....tatizo la kisheria kudai maboresho ya daftar la wapiga kura ni nin? Watu kuandamana kuonyesha hisia za kwa jambo fulan tatzo liko wap hapo?Sure mkuu chadema ni chama cha walaghai na wanaharakati kazi yao kushinda barabarani kuandamana na kukimbizana tu.