kamanda wa kamanda
Senior Member
- Oct 12, 2013
- 191
- 75
Chadema ni wapinga maendeleo.
Huyu meya wa mbeya ambaye ana elimu ya standard four, ndiye mkwamishaji mkubwa wa maendeleo ya Jiji la Mbeya. Chuki yake kwa vijana ndiyo iliyosababisha hata vurugu kubwa Jijini Mbeya iliyosababisha shughuli za kiuchumi na kijamii kusimama kwa siku mbili.
Kzi yake ni kuishambulia CHADEMA kila siku na hata maeneo ambayo vijana wanafanya biashara zao, amekuwa akiwatshia kuwahamisha, kisa tu, waaunga mkono CHADEMA. Hiki kitu kilipelekea hata CCM kupoteza jimbo la Mbeya Mjini.
Suala la Chuo cha Mzumbe liko wazi, huwezi kuruhusiwa kuendeleza eneo ulilopewa offer bila kukamilisha masharti ya offer,ambayo ni pamoa na kulipia eneo husika. Hajui sharia za nchi, kama anajua anataka zivujwe kwa makusui, ambayo ni ufisadi.
Hao Mzumbe wanatakiwa kumalizia hiyo pesa ndipo waendelee kujenga chuo.Hata viwanja walijiuzia pale Iwambi hawajalipa tayari wameanza kuendeleza.
katika mkakati wake wa kukwamisha maendeleo ya wananchi na Taifa kwa Ujumla, inaripotiwa kuwa Madiwani wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika Halmashauri ya Jiji la Mbeya wamekwamisha ujenzi wa Chuo Kikuu Cha Mzumbe katika eneo la IWAMBI jijini Mbeya. Imedaiwa kuwa licha ya chuo hicho kulipa sh. bilioni moja kati ya mbili zinazotakiwa na Halamashauri ili kukipa ardhi ya kujenga chuo hiko, bado madiwani wa Chadema wamekuwa mstari wa mbele kupinga kuanza kwa ujenzi wa chuo hicho wakidai mpaka kimalize fedha yote iliyosalia. .
Huijui mbeya,humjui kapunga,unasema ana ugomvi na vijana kwa lipi?ulitaka waendelee kuuza kwenye ile barabara ya makunguru,ilihali soko linajengwa?na pia unajua kuwa hao unaowaita vijana ndio kawapa ajira kwenye timu ya mbeya city fc,
UNAPOKUWA UNAONGEA KITU,KAA UTAFAKARI,SIO UNAKURUPUKA KA UMEKULA BAMIA MBICHI
Kwa taarifa yako hii ndio mbeya cityView attachment 126038View attachment 126039
Elimu yako NDOGO SANA,nahisi hata hiyo mechi hukuwepo,
Hivi unajua mkubwa wa halmashauri ni nani KIITIFAKI,?jibu rahisi tu,nenda kwenye PARKING ZA PALE NDANI,angalia kwenye vibao vya majina juu za Dali la parking parking,ndio utajua nani ni mkubwa kiutumishi pale MCC
tukirudi kwenye suala la mbeya city fc,inamilikiwa na halmshauri ya jiji mbeya,ambayo kiongozi wake mkuu ni KAPUNGA,ni moja wapo ya watu wakubwa wanaohamasisha vijana kujituma kwenye kila jambo
So usiwe unaropoka ropoka tu,ww una picha mm nina video ya hiyo mechi nzima na mkuu wa tawi la Rasmi la kwanza la mbeya city,na ni Shabiki Damu pia
I know MCCFC than how I know my family,so shout your F*Mouth
Wana chadema wao ni malaika hawafanyi makosa, mleta mada kaeleza vyema lkn wachangiaji wanavuruga kwa kuwa hawana hoja, usipoendana nao baadhi ya mambo utaitwa msaliti, mhaini, kila aina ya majina utapewa ww ona sasa mnavyotoa koment km hivi: Yani kwanza nyie ccm msahau kabisa kuja kutawala tena mbeya msijisumbue:::: Kapunga ndio mpiga dil namba moja wa Ccm mbeya ni mwizi alie kubuu kwa akika atabanwa hadi nafasi ya mwisho::::: Acha kuandika utumbo humu kati ya CHADEMA na CCM nani wakwamishaji wa maendeleo?:: Mungu awasaidie
cc. wanacdm hai wte
Huijui mbeya,humjui kapunga,unasema ana ugomvi na vijana kwa lipi?ulitaka waendelee kuuza kwenye ile barabara ya makunguru,ilihali soko linajengwa?na pia unajua kuwa hao unaowaita vijana ndio kawapa ajira kwenye timu ya mbeya city fc,
UNAPOKUWA UNAONGEA KITU,KAA UTAFAKARI,SIO UNAKURUPUKA KA UMEKULA BAMIA MBICHI
Kapunga ni mjinga sana yeye ana walazimisha madiwani wawasamee Mzumbe bilioni 1.3 ambazo ni pesa za halmashauli ya jiji la mbeya wakati huo huo almashauli ya jiji la mbeya iliasha kopa crdb bilion 1.5 kwa ajili ya kuwalipa fidia wananchi wa maeneo hayo sasa basi iyo ni akili au matope? Mtu unadaiwa arafu wewe unae mdai unamsamehe hii niakili kweli maana mzumbe ni moja ya vyuo vikuu vikongwe hapa tanzania na wanapewa ruzuku nyingi toka Serikarin sasa iweje wachukue bule adhi ya halmashauli? Huu ni wizi na sisi kama chadema hatuta kubali kama anataka kupiga dili yeye kapunga na wenzake
Mkuu security guard , linaonekana kuwa ni tatizo dogo, lakini kuchagua ma-F4F ambao hata thamani ya elimu hawaijui ni kujiletea majanga katika maendeleo.katika mkakati wake wa kukwamisha maendeleo ya wananchi na Taifa kwa Ujumla, inaripotiwa kuwa Madiwani wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika Halmashauri ya Jiji la Mbeya wamekwamisha ujenzi wa Chuo Kikuu Cha Mzumbe katika eneo la IWAMBI jijini Mbeya. Imedaiwa kuwa licha ya chuo hicho kulipa sh. bilioni moja kati ya mbili zinazotakiwa na Halamashauri ili kukipa ardhi ya kujenga chuo hiko, bado madiwani wa Chadema wamekuwa mstari wa mbele kupinga kuanza kwa ujenzi wa chuo hicho wakidai mpaka kimalize fedha yote iliyosalia. Meya wa Jiji la Mbeya Athanas Kapunga alisema hayo jana alipokuwa akizungumza na wakazi wa Jiji hilo katika mkutano wa hadhara uliofanyika eneo la soko Matola jijini hapa. Alisema mkoa wa Iringa unaongoza kwa kuwa na vyuo vikuu vingi, lakini Mbeya ina matawi ya vyuo vikuu huku kukiwa na vyuo vikuu kamili viwili ambavyo ni cha sayansi na teknolojia Mbeya (MUST) na kile cha Teofilo kisanji (TEKU) kwa mujibu wa Kapunga Mzumbe Kujenga Chuo kikuu eneo la Iwambi watakuwa wanazidi kuliboresha jiji hilo. Pia watasaidia kutoa ajira kwa wakazi wa jiji hilo na vitongoji vyake. Aidha alisema Halmashauri ya jiji itanufaika na ukusanyaji wa kodi ya majengo yatakayojengwa huku mamlaka ya Maji safi na Usafi wa mazingira jiji la Mbeya, Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) mkoa wa Mbeya nao wataweza kuongeza wateja hivyo kuinua zaidi uchumi wa jiji hilo. Meya huyo alisema CHADEMA kupitia madiwani wao, wanakwamisha kuanza kwa ujenzi huo, kwa madai kuwa jiji linataka kutoa eneo bure kwa Chuo hicho ama kuwauzi akwa bei nafuu.
katika mkakati wake wa kukwamisha maendeleo ya wananchi na Taifa kwa Ujumla, inaripotiwa kuwa Madiwani wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika Halmashauri ya Jiji la Mbeya wamekwamisha ujenzi wa Chuo Kikuu Cha Mzumbe katika eneo la IWAMBI jijini Mbeya. Imedaiwa kuwa licha ya chuo hicho kulipa sh. bilioni moja kati ya mbili zinazotakiwa na Halamashauri ili kukipa ardhi ya kujenga chuo hiko, bado madiwani wa Chadema wamekuwa mstari wa mbele kupinga kuanza kwa ujenzi wa chuo hicho wakidai mpaka kimalize fedha yote iliyosalia. Meya wa Jiji la Mbeya Athanas Kapunga alisema hayo jana alipokuwa akizungumza na wakazi wa Jiji hilo katika mkutano wa hadhara uliofanyika eneo la soko Matola jijini hapa. Alisema mkoa wa Iringa unaongoza kwa kuwa na vyuo vikuu vingi, lakini Mbeya ina matawi ya vyuo vikuu huku kukiwa na vyuo vikuu kamili viwili ambavyo ni cha sayansi na teknolojia Mbeya (MUST) na kile cha Teofilo kisanji (TEKU) kwa mujibu wa Kapunga Mzumbe Kujenga Chuo kikuu eneo la Iwambi watakuwa wanazidi kuliboresha jiji hilo. Pia watasaidia kutoa ajira kwa wakazi wa jiji hilo na vitongoji vyake. Aidha alisema Halmashauri ya jiji itanufaika na ukusanyaji wa kodi ya majengo yatakayojengwa huku mamlaka ya Maji safi na Usafi wa mazingira jiji la Mbeya, Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) mkoa wa Mbeya nao wataweza kuongeza wateja hivyo kuinua zaidi uchumi wa jiji hilo. Meya huyo alisema CHADEMA kupitia madiwani wao, wanakwamisha kuanza kwa ujenzi huo, kwa madai kuwa jiji linataka kutoa eneo bure kwa Chuo hicho ama kuwauzi akwa bei nafuu.
Nashauri wawalipe pesa zao that is business .Wao mwanafunzi akiwa hana pesa hurudishwa tu nyumbani .Now get it clean and clear lipa pesa anza ujenzi do not play siasa hata pasipo na sababu .Business unalipa una achana na kudaiwa .