Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,973
- 32,367
Umesoma hayo maelezo na kuyaelewa?Shida hapo ni nini, kuingia kanisani kusali au? nini hasa unataka kusema?...
Umemjibu kama alivyohitajiHamna shida yeyote kamanda.
Hujui Bakwata inajengwa kwa fedha za SerikaliDah! Hapa ndipo CHADEMA wanapokosea. Inakuwaje masuala ya kisiasa wanaingiza kwenye nyumba za ibada? Na je wataenda na misikitini kufanya walichofanya kanisani? Au wafuasi wao ni wakristo tu?
Inaonekana CHADEMA wote mna akili za aina moja? Unakubaliana na wewe kwa CHADEMA kuimba nyimbo za UKUTA kanisani?Ni ajabu kwa mkristo kwenda kanisani? Ndiyo maana mzee Jumbe aliwafundisha jinsi ya kumheshim Alaah subhanahu wa ta'ala!
Umesoma hayo maelezo na kuyaelewa?
Fedha zipi za serikali zinazojenga BAKWATA?Hujui Bakwata inajengwa kwa fedha za Serikali
Ushawai kuwaona chadema misikitini?Ni ajabu kwa mkristo kwenda kanisani? Ndiyo maana mzee Jumbe aliwafundisha jinsi ya kumheshim Alaah subhanahu wa ta'ala!
Kuingia kanisani na mavazi ya chama, hali kuwa kuna waumini wa vyama mbalimbaliShida hapo ni nini, kuingia kanisani kusali au? nini hasa unataka kusema?...