Chadema wakishinda Urais 2015 ina maana wakuu wa Wilaya na Mikoa, wote kubadilishwa?


Mkuu Richard, Mameya na madiwani wa miji wanachaguliwa (wote huanza na udiwani) . Hivyo tutakuwa tunaharibu hata zaidi kuweka watu wa chama kwenye kazi ya kiserikali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…