Chadema walitaka kuichafua Arusha.
Unafahamu jambo usilolijua ni kama usiku wa kiza,mambo ambayo yangetokea kama maandamano yangefanyika yangelipelekea Chadema kufutwa na pia wengi wa viongozi kuishia gerezani.
Majanga ambayo yangetokea kusingelikuwa na wa kumshika isipokuwa wahusika wangelikuwa ni Chama cha Chadema.Ni vizuri Chadema kutafuta ni habari gani polisi walikuwa nazo na ni akina nani walitayarisha mipango hiyo ya hatari,Je ni UVCCM au Ni WaChadema.
Habari za kiintelijensia ambazo polisi wamesema wanazo au walizipata bila ya wasiwasi wowote ule zingehatarisha usalama wa raia wengi kuliko inavyofikiriwa ,nionavyo ndio maana polisi wakalazimika kuzima maandamano kwa njia yeyote ile alimuradi nia ya waliokusudia uovu kutumia maandamano hayo zisifanikiwe.
Inawezekana kabisa habari hizo zikawa na ukweli au zikawa ni rummors zisizo na uthibitisho wowote ule, sasa inakuja kuja hali ya kudhibiti ni pale tunaposema ni bora kukinga kuliko kutibu,polisi wamekinga.
Ingawa kuna watu humu watakuja na ujuwaji kulivyo wanavyojua,hao huwa nawaweka mkono wa kushoto na ni watu wa kupuuzwa,changamoto iliyopo ni uongozi wa juu kutafuta hizo habari za kiupelelezi kutoka kwa jeshi la polisi na kuwajua wabaya wao waliotaka kujichomeka ndani ya maandamano ili kujua ukweli wa mambo.Tugange yajayo yaliopita si ndwele ndivyo waswahili tusemavyo.
Mwiba,
Matatizo yako tuyaite "CHADEMA Shock"; umekuwa mwoga sana na Chadema, na wasiwasi wako mkubwa ni ile growth ya Chadema, yaani baada ya miaka 5 tu imeifunika CUF, in more than five years sijui itakuwaje, kwa taarifa yako utapata ugonjwa wa moyo kwa kujilinganisha na kubeza Chadema. Growth ya CUF ishakwisha, PEMBA ni sawa na Mkoa wa Ilala au nusu yake; na Zanzibar CUF isha-fikisha limit.
Fikiria CHADEMA itazidi kukua Bara kote, ARUSHA ni mojawapo ya stragetical places Kilimanjaro, sasa hujaenda Mwanza, Mbeya, Iringa, Bukoba, Tabora, Shinyanga, Mara kote huko. Usibeze jabari> Your Shoch is imminent, I can see it and I understand you, but you are wrong because you're showing your true weakness!
Kama alivyosema Dr. Slaa viongozi wa CCM karibu nusu ni Chadema, and they feel it, you can see them, the only issue they are afraid of is their bread, because most of them are paid by CCM. Wapo kwenye payroll ya CCM.
You have to read the TIMES!! CHADEMA is a big shoch to both CUF and CCM. Kama kweli CUF mngekuwa genuine ilibidi mfurahie CHADEMA na maendeleo yake.
mambo yapo mahakamani hatuwezi kuingilia kati,ila kama upo nje ya nchi basi tega sikio na tupia macho jf kila wakati ,tupo mbioni kuyatafuta ,chadema walitaka kuichafua arusha.
WanaJF,
Post ya mwiba inatafsiriwa kama "Crap" na wengi wa wachangiaji, mimi naoana ametumia kejeli kidogo kuwasilisha ujumbe mzito.
Amesema analaani mauaji ya raia wasio na hatia. Hili halina shaka limo kwenye post yake...pia amekwenda mbali kusema wakati 2001 wapemba waliuwawa na hawa hawa Polisi wa serikali inayoilinda CCM na si wananchi. walipofanya mauaji wengi wa watu walifurahia waliona ni sawa tu waliyofanya Polisi wakati huo.
Vyama vyengine vinapoandamana, maoni yanayotolewa humu Jf yanaweza kukufanya ujiulize masuali mengi na usipate jawabu..wengine husema "vunja miguu", "vunja mikono hao", washikishe adabu hao nk.
Waswahili husema "ukimuona mwenzako ananyolewa, wewe tia maji!"
Kwa hiyo, wakati tunauchungu, tunaomboleza vifo vya Watznia wenzetu, pia tutafakari zaidi kuwa ushabiki wa kichama pekee, unatupeleka pabaya, kuna mambo ambayo yanamgusa kila raia, aliye Arusha, aliye Lindi, aliye Tanga, aliye Mbeya, aliye Pemba na kwa hivyo, linapotokea kama hili la Arusha inapasa tushikamane na kudai haki zetu.
kama nimemfahamu vyema Mwiba ni kuwa kama jamii ya Tz ingesimama kidete kutetea, kuunga mkono na kutetea haki za Raia waliouwawa Pemba 2001 leo Polisi na serikali ya CCM isingekuwa na jeuri hii waliyoifanya Arusha.
Badala ya kutupiana matusi, tuutafakari ujumbe wa Mwiba na tuufanyie kazi.
Tushikamane! na Haki ya Raia inapokanyangwa sote, tuhisi kuwa tumeonewa na tudai haki hiyo.
Na CCM na serikali yake haitaishia hapo,itaendeleza kumpiga nyundo kila ambaye anatishia maslahi yao.
kauli za NCCR, CUF nk ni mwanzo mzuri, vyama vinaanza kuona ukweli na taasisi nyengine za kiraia pia. sasa isiwe kwa hili tu.
Unafahamu jambo usilolijua ni kama usiku wa kiza,mambo ambayo yangetokea kama maandamano yangefanyika yangelipelekea Chadema kufutwa na pia wengi wa viongozi kuishia gerezani.
Majanga ambayo yangetokea kusingelikuwa na wa kumshika isipokuwa wahusika wangelikuwa ni Chama cha Chadema.Ni vizuri Chadema kutafuta ni habari gani polisi walikuwa nazo na ni akina nani walitayarisha mipango hiyo ya hatari,Je ni UVCCM au Ni WaChadema.
Habari za kiintelijensia ambazo polisi wamesema wanazo au walizipata bila ya wasiwasi wowote ule zingehatarisha usalama wa raia wengi kuliko inavyofikiriwa ,nionavyo ndio maana polisi wakalazimika kuzima maandamano kwa njia yeyote ile alimuradi nia ya waliokusudia uovu kutumia maandamano hayo zisifanikiwe.
Inawezekana kabisa habari hizo zikawa na ukweli au zikawa ni rummors zisizo na uthibitisho wowote ule, sasa inakuja kuja hali ya kudhibiti ni pale tunaposema ni bora kukinga kuliko kutibu,polisi wamekinga.
Ingawa kuna watu humu watakuja na ujuwaji kulivyo wanavyojua,hao huwa nawaweka mkono wa kushoto na ni watu wa kupuuzwa,changamoto iliyopo ni uongozi wa juu kutafuta hizo habari za kiupelelezi kutoka kwa jeshi la polisi na kuwajua wabaya wao waliotaka kujichomeka ndani ya maandamano ili kujua ukweli wa mambo.Tugange yajayo yaliopita si ndwele ndivyo waswahili tusemavyo.
WanaJF,
Post ya mwiba inatafsiriwa kama "Crap" na wengi wa wachangiaji, mimi naoana ametumia kejeli kidogo kuwasilisha ujumbe mzito.
Amesema analaani mauaji ya raia wasio na hatia. Hili halina shaka limo kwenye post yake...pia amekwenda mbali kusema wakati 2001 wapemba waliuwawa na hawa hawa Polisi wa serikali inayoilinda CCM na si wananchi. walipofanya mauaji wengi wa watu walifurahia waliona ni sawa tu waliyofanya Polisi wakati huo.
Vyama vyengine vinapoandamana, maoni yanayotolewa humu Jf yanaweza kukufanya ujiulize masuali mengi na usipate jawabu..wengine husema "vunja miguu", "vunja mikono hao", washikishe adabu hao nk.
Waswahili husema "ukimuona mwenzako ananyolewa, wewe tia maji!"
Kwa hiyo, wakati tunauchungu, tunaomboleza vifo vya Watznia wenzetu, pia tutafakari zaidi kuwa ushabiki wa kichama pekee, unatupeleka pabaya, kuna mambo ambayo yanamgusa kila raia, aliye Arusha, aliye Lindi, aliye Tanga, aliye Mbeya, aliye Pemba na kwa hivyo, linapotokea kama hili la Arusha inapasa tushikamane na kudai haki zetu.
kama nimemfahamu vyema Mwiba ni kuwa kama jamii ya Tz ingesimama kidete kutetea, kuunga mkono na kutetea haki za Raia waliouwawa Pemba 2001 leo Polisi na serikali ya CCM isingekuwa na jeuri hii waliyoifanya Arusha.
Badala ya kutupiana matusi, tuutafakari ujumbe wa Mwiba na tuufanyie kazi.
Tushikamane! na Haki ya Raia inapokanyangwa sote, tuhisi kuwa tumeonewa na tudai haki hiyo.
Na CCM na serikali yake haitaishia hapo,itaendeleza kumpiga nyundo kila ambaye anatishia maslahi yao.
kauli za NCCR, CUF nk ni mwanzo mzuri, vyama vinaanza kuona ukweli na taasisi nyengine za kiraia pia. sasa isiwe kwa hili tu.
Acha kututisha kwamba una mkuu, kwa uwezo mdogo wa kufikiria wewe ukiwa na mgambo wa mtaa unahisi uko na mkubwa. Pole. Huyo mkubwa anafanya nini jf kama haongei kituWekeni pembeni matusi,hapa nilipo nipo na mkuu tena wa ngazi za juu kabisa,amesema kipo kitu ilikuwa kitokee na kama sio polisi kuingilia kati basi ana uhakika Chadema wangetwishwa mzigo wa lawama.
Nyie wengine mpo kusubiri habari tu,hebu ingieni deep kwenye hili jambo ili mjue ni kipi hicho walichokuwa nacho polisi ???
Wekeni pembeni matusi,hapa nilipo nipo na mkuu tena wa ngazi za juu kabisa,amesema kipo kitu ilikuwa kitokee na kama sio polisi kuingilia kati basi ana uhakika Chadema wangetwishwa mzigo wa lawama.
Nyie wengine mpo kusubiri habari tu,hebu ingieni deep kwenye hili jambo ili mjue ni kipi hicho walichokuwa nacho polisi ???
Mwiba,
Watanzania usiwageuze zezeta na wala kuendelea kuwapotosha wasio jua kilichokuwa kinaendelea. Hakuna cha taarifa ya inteligentia bali ni hofu tupu ya serikali iliyomfanya kumshinikiza IGP kutoa amri ambayo kwa mujibu wa SHERIA hakuwa na mamlaka yao. Serikali na kwa serikali ninamaanisha JK aliingiwa hofu kuwa Chadema itatumia nafasi hiyo kuzungumzia masuala mazito ya kitaifa(jambo ambalo ni haki
yetu kikatiba). Usalama uliohofiwa si wa Taifa bali wa JK na kundi lake, na kwa hofu hiyo tu wamepelekea umwagaji wa watanzania wasio na hatia. si kitu damu hiyo italia kwa Mwenyezi Mungu na hataacha kusikiliza kilio hicho kwa njia itakayompendeza YEYE.