OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
kimbunga usiwe mvivu kufikiria, tafuta manifesto ya TLP ulinganishe na ya CDM utajua kama ni tofauti au zipo sawa!mkisharkiana mkishakiondoa then ni sera zipi zitzongoza nchi za chadema inayotaka serikali za majimbo au za tlp inayotaka serkali tatu lakini chini muundo wa sasa wa mikoa??Mkuu kwani itikadi ya CDM na TLP ni tofauti? Ila sijasema kuungana na kuwa chama kimoja bali kushirikiana katika kuondoa chama tawala madarakani.
Raila unayemsema hivi sasa anataka kushirikiana na adui yake mkubwa bwana Ruto ili wapate ushindi!