CHADEMA waifungulia CUF njia…


ndege wote walie akilia bundi uchuro mwigulu alipowachana mbowe na slaa uliziba masikio eeeh!
 
Hamad Rashid aliuongoza vizuri zaidi upinzani Bungeni.
 



Hoja ya hovyo kabisa
 
PLEASE UWE MAKINI,ushije ukaingizwa kwenye target ya MASHUSHU,shushu mwingine kashatangaza khari ya hatari ukanda wa Pwani..usije ukang'olewa kucha na macho,USIONE WANASEMA WANAKUOMBEA UFE UKAJUA NIMAOMBI KWELI,HIZO NI TARGET ILI PALE WATAKAPOKUWEKA MIKONONI NA KUKUTOA KUCHA WAJE WASEME NIMAOMBI
 

Hivi CUF wameacha kuagiza makontena ya Visu?
 
TIMU YA MAKOPOLO ILIKUWA CCM kumsapoti JK kwa misingi ya UDINI karibu sasa inarudi CUF 2015!..
 
Ni vema kusoma thread na kuelewa kabla ya kujibu.
Usiwe kama Sugu.


CHADEMA imechoka kiasi kwamba Mh. Sugu anachangia pumba bungeni na Mh. Nassari yeye hajui umuhimu wa Nyuki, kwa kweli 2015 CUF njia nyeupe kwao ya kuwa chama kikuu cha upinzani.

Kwahiyo kufanya vurugu bungeni ndio jambo linalofaa?

Mtu yeyote akiangalia hii video ataona kuwa chadema inafanya bunge kama genge la magumzo!!!


Hamad Rashid mara nyingi tu ameshazungumzia masuala yanayohusu Tanzania Bara.

Umeshawahi kusikia Mbowe anazungumzia swala la Pemba?

Mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kupiga kura yake kuipeleka CHADEMA ikulu kwa sababu zifuatazao
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ifai-hata-kidogo-kuwa-chama-cha-upinzani.html

Chama kinachoshindwa kuplay role ya chama kikuu cha upinzani Bungeni ni dhahiri kuwa hakwezi kusimamia dola...

Hapa nyinyi hamfanyi siasa ila mnapigania dini ya kiislamu!!.. Mchana mko SISIEMU kwa sababu ya kuwepo kwa JK lakini usiku mpo CUF kwa HOFU kuwa 2015 atagombea mkristo - LOWASA!!!
 
Ni vema kusoma thread na kuelewa kabla ya kujibu.
Usiwe kama Sugu.


CHADEMA imechoka kiasi kwamba Mh. Sugu anachangia pumba bungeni na Mh. Nassari yeye hajui umuhimu wa Nyuki, kwa kweli 2015 CUF njia nyeupe kwao ya kuwa chama kikuu cha upinzani.

Kwahiyo kufanya vurugu bungeni ndio jambo linalofaa?

Mtu yeyote akiangalia hii video ataona kuwa chadema inafanya bunge kama genge la magumzo!!!


Hamad Rashid mara nyingi tu ameshazungumzia masuala yanayohusu Tanzania Bara.

Umeshawahi kusikia Mbowe anazungumzia swala la Pemba?

Mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kupiga kura yake kuipeleka CHADEMA ikulu kwa sababu zifuatazao
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ifai-hata-kidogo-kuwa-chama-cha-upinzani.html

Chama kinachoshindwa kuplay role ya chama kikuu cha upinzani Bungeni ni dhahiri kuwa hakwezi kusimamia dola...

Mawazo yako yanavumiliwa kadri yanavyostahili.

Hata hiyo hoja ni jinsi vurugu za chadema bungeni zinavyoipa mwanya CUF kisiasa...

Chama cha kuchana viongozi wa serikali kweli kinaongozwa na wala ganja wengi.
Suguuu sura kaa chuma

Anzisha mada yako kuhusu CUF. Hapa tunaijadili CHADEMA. Inaonekana shule ulikuwa unafeli sana wewe kwa ajili ya kushindwa ku concentrate kwenye kitu kimoja :smile-big:

Mkuu umechambua hoja kwa umakini mkubwa Chadema inaelekea walipo UMD.

Chadema ikiwa peke yake ni vurugu tupu kama unavyoona. Mijadala ya kitaifa inafeuzwa ngonjera!!!

Mlikuwa CUF kabla ya 2010, mkaingia sisiem ambayo mtaitetea hadi 2015 mwanzoni huku mkikijenga chama chenu - CUF... Hivi mapanga ya kuchinjia watanzania aliyosema IGP MAHITA mmeyaingiza toka uarabuni yako wapi?!! Sera ya JINO kwa JINO na NGANGARI iko wapi?
 

.....Wewe unapaswa kufa kabisa kwenye nchii hii kwa sababu hakuna nchi unajenga watu wamekatwa mikono wakachomewa nyumba wakavunjwa miguu,wakapigwa risasi,wakafurumishwa matumbo wakitaka mabadiriko wewe kwa kalamu yako na nyanja yako kuwa kwenye siasa unavuruga mstakbali wa demokrasia huru, unapenda sana kuisema bavicha na kuunganisha wana jf na bavicha au chadema kwa sababu ndio hila zako na mission zako unachotaka kwa sababu unakaa kwenye vikao vyenu unakuja hapa kushusha juhudi za chama chako huna aibu ,hupaswi kuishi msaliti mkubwa

Trend ya post zako hazijawahi kuwa za kujenga nchi ni zakukandamiza demokrasia
unahasira sana na bavicha ulitoa gari ili uweze kuwacontrol umeshindwa gari wanatumia na umiliki wa bavicha umeyeyuka ulidhani utakuwa ridhiwani anavyotawala uvccm umekaushiwa mission imekwenda na maji ya mafuriko umehonga viongozi wa bavicha eti millioni tano, ulidhani zitawazuzua ukiwa tanga eti kilimo cha mkonge hujaongea tena kuhusu mkonge mission ya kuhonga ilivoshindwa
Watanzania wengi wanakuombea ufe kiongozi wewe wa chama chako unachokiasi ili hesabu isiwepo ya kwako wakati huna mssada zaidi ya kubomoa

lete mada hapa za mikataba ya wachina 17 tujadili badala ya kila siku unataka tujadili chadema umeambiwa hapa ni baraza la wadhamini la chadema unabore


...youtong upo?
 
Naibu katibu wangu kwa tamaa za madaraka unatisha.kwanini kila nafasi ya uongozi unaitaka wewe?unawatia watu mashaka sana kwa hii tabia.na kumbuka kiongozi bora huonwa na kupewa nafasi sio kulazimisha nafasi,zitumikie vizuri nafas ulizonazo uone kama hutopewa nafas zingine bila hizi kampen za kijinga,kizuri chajiuza.siamin kama kiongoz wako bungeni kama anafanya mambo bila kukushirikisha,na ninaamini una nafas kubwa ya kushauriana nae binafsi na hata kwenye vikao vyenu vya maamuzi.fanyeni kazi kama timu sio kurushiana maneno nje ya vikao namna hii,wananchi tuwaeleweje?
 

.....Wewe unapaswa kufa kabisa.
Watanzania wengi wanakuombea ufe....

wengi tunakuombea usiku na mchana ufe tujue tumedondosha msaliti mmoja



Rais Kikwete aliposema kuna watu wamemuombea AFE kuna watu walishangaa.

Sasa haya mnayoandika hapa yanadhihirisha kuwa kweli watu wa namna hiyo mpo.

Hizi ni hulka mpya kabisa mnazozileta vijana wa bavicha kwenye siasa!!!

Inasikitisha sana kwa sababu lengo la kunzishwa kwa bavicha na jinsi ilipo sasa na inakoelekea ni tofauti kabisa.
Bavicha siku hizi inatumiwa kama organ ya kuwasababishia watu vifo - INASIKITISHA...
 
Hamad Rashid aliongoza vizuri upinzani Bungeni kuliko Mbowe...

umeulizwa cuf wameshaàcha kuagiza visu vilivyofungwa bendera ya chama chao na je si chama cha waislam tena...hivi ni wakati ganibaraza la mawaziri limebomolewa na kufanyiwa marekebisho mara kwa mara na ni kwanini..je hujui matokeo ya katiba ingawa kuna magumashi lakini ilitokana na kususiwa hotuba yake bungeni au hujui nini madai ya chadema wakati wakisusia hotuba ya mzee wa kuhongwa suti..
 
cuf haiwezi kuwa chama kikuu kwani hakuna kinachofanya bungeni zaidi ya kuwaunga mkono sisemu na kuwaponda wapinzani wenzake. ukiona chama cha upinzania kinapinga wapinzani wenzake wanapofanya harakati ya kuiondoa c.c.m madarakani ujue chama hicho ni sehemu ya chama tawala. cuf jipambanueni kama wenzenu awa nccr mageuzi. watanzania wamechoshwa na sisiemu. cuf itakuwa na nguvu kidogo zanzibar lakini hata hivyo ADC itawmaliza zanzibar kwasababu ya chuki zenu hasa kwa hamad rashid ambaye ni mkweli kuliko ninyi.
 
cuf ilikuwa inasusia vikao zanzibar kwa muda mrefu mpaka mkaunda serikali ya mseto. soma historia chuki yako haikuokoi na mission yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…