ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,279
- 7,681
- Thread starter
- #21
Sasa tangia lini kukawa na utofauti kati ya Cuf na ccm? Yani ulitaka tuwape ccmb uongozi?
Kwahiyo kufanya vurugu bungeni ndio jambo linalofaa?
Sasa tangia lini kukawa na utofauti kati ya Cuf na ccm? Yani ulitaka tuwape ccmb uongozi?
Nadhani UNAJIFUNZA SIASA... Haujui kuwa CUF ndio iliyoanza kuwa CHAMA CHA UPINZANI cha kwanza Halafu CHADEMA 2015 ndio Mara yake ya KWANZA?
HIVI Unaandika HOJA HIZI kiushabiki au KIUNAFIKI???
Kwahiyo kufanya vurugu bungeni ndio jambo linalofaa?
Ni bayana kuwa hujaelewa kilichoandikwa. Soma ukiwa umetulia...
[/COLOR][/SIZE][/B][/I]
Hakuna mwenye afadhali! Mnadhimu wao anawaongoza vibaya! angalia hapa:Vurugu Bungeni Februari 4, 2013 - YouTube
[/COLOR][/SIZE][/B][/I]
Hakuna mwenye afadhali! Mnadhimu wao anawaongoza vibaya! angalia hapa:Vurugu Bungeni Februari 4, 2013 - YouTube
Haya mama kazi uliyotumwa umeikamilisha, kakojoe ukalale mwenzio anakusubiri ukawajibike kwa ulichokula
Mtu yeyote akiangalia hii video ataona kuwa chadema inafanya bunge kama genge la magumzo!!!
Sawa kabisa ulichomsema ila hebu tukae chini tujiulize kweli uwezo wa Hamad Rashid na Mheshimiwa Mbowe wapi na wapi?
Mbowe sio mwanasiasa, nahisi ni hekima za baba mkwe tuu zinazotusumbua pale bungeni,i kulikuwa na sababu gani ya yeye kuwa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni wakati majembe yapo??
Kilichosemwa kwenye thread kina ukweli na unatuuma ila tuu itabidi tusiuonyeshe hadharani.
Ni bayana kuwa hujaelewa kilichoandikwa. Soma ukiwa umetulia...
Ukiangalia wakati HAMAD akikwa kiongozi ni MASUALA gani alikuwa anaongelea kuhusu kuhamasisha Masuala ya Tanganyika? Hakuna hata MOJA na Sasa hivi CUF ina NGUVU zaidi iko na ina share na serikali ya CCM huko Zanzibar na PEMBA...
CHADEMA imechoka kiasi kwamba Mh. Sugu anachangia pumba bungeni na Mh. Nassari yeye hajui umuhimu wa Nyuki, kwa kweli 2015 CUF njia nyeupe kwao ya kuwa chama kikuu cha upinzani.
Mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kupiga kura yake kuipeleka CHADEMA ikulu kwa sababu zifuatazao
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ifai-hata-kidogo-kuwa-chama-cha-upinzani.html