nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,860
- 5,803
Hamad Rashid mara nyingi tu ameshazungumzia masuala yanayohusu tanzania Bara.
Umeshawahi kusikia Mbowe anazungumzia swala la Pemba?
Kweli wewe na Uelewa wako PEMBA ina Wawakilishi; Wabunge Wengi ki Mraba zaidi ya Tanganyika sasa unataka na huyo MBOWE bado aizungumzie PEMBA? sasa huo sio UKIRITIMBA ni nini?
Kweli haujui kuwa Tanganyika ina matatizo mengi zaidi ya PEMBA? na ina Utajiri lakini unachotwa na VIONGOZI wakuu wabovu wasiojua jinsi gani ni bora kutunza na kulinda Maliasili; Madini; Malighafi za nchi...
Kweli umenishitua...