CHADEMA wabwagwa na wafadhili wa nje

CHADEMA wabwagwa na wafadhili wa nje

East African Eagle

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2013
Posts
3,759
Reaction score
2,209
Baada ya ripoti ya ukaguzi wa CAG kutoka na mahesabu ya CHADEMA kuwa mabaya na kutoonyesha baadhi ya hela nyingi ambazo wafadhili walitoa lakini hazionekani katika hesabu hizo wafadhili wakuu wa nje wamekuja juu na kuzira kuendelea kuipa msaada CHADEMA.

Ndio kisa cha CHADEMA kuinuka haraka haraka kuitisha harambee za kuchangiwa na MPESA n.k kwenye ITV baada ya kuona hawana hela za uchaguzi wa serikalki za mitaa baada ya kutafuna hata zile za ruzuku.

Kwa ufupi CHADEMA kiko mahututi kifedha na wale mliokuwa mkiona helikopta za CHADEMA angani zikikata mbuga sahauni kuziona.CHAMA Kiko mahututi kifedha.
 
Kwa hiyo!!!!!!!!
Baada ya ripoti ya ukaguzi wa CAG kutoka na mahesabu ya CHADEMA kuwa mabaya na kutoonyesha baadhi ya hela nyingi ambazo wafadhili walitoa lakini hazionekani katika hesabu hizo wafadhili wakuu wa nje wamekuja juu na kuzira kuendelea kuipa msaada CHADEMA.Ndio kisa cha CHADEMA kuinuka haraka haraka kuitisha harambee za kuchangiwa na MPESA n.k kwenye ITV baada ya kuona hawana hela za uchaguzi wa serikalki za mitaa baada ya kutafuna hata zile za ruzuku.

Kwa ufupi CHADEMA kiko mahututi kifedha na wale mliokuwa mkiona helikopta za CHADEMA angani zikikata mbuga sahauni kuziona.CHAMA Kiko mahututi kifedha.
 
Mungu amesikia kilio cha Watanzania.

CHADEMA walikuwa waiingize Tanzania kwenye vita.
 
Mkuu.
Unaweza kutuwekew chanzo cha hii habari yako ama umeandika kwa hisia tu?

JF tunaendeshwa na utaratibu. Tuwekee source yako ili tuchangie vizuri hapa. Wafadhili waitosa chadema?
 
Baada ya ripoti ya ukaguzi wa CAG kutoka na mahesabu ya CHADEMA kuwa mabaya na kutoonyesha baadhi ya hela nyingi ambazo wafadhili walitoa lakini hazionekani katika hesabu hizo wafadhili wakuu wa nje wamekuja juu na kuzira kuendelea kuipa msaada CHADEMA.Ndio kisa cha CHADEMA kuinuka haraka haraka kuitisha harambee za kuchangiwa na MPESA n.k kwenye ITV baada ya kuona hawana hela za uchaguzi wa serikalki za mitaa baada ya kutafuna hata zile za ruzuku.

Kwa ufupi CHADEMA kiko mahututi kifedha na wale mliokuwa mkiona helikopta za CHADEMA angani zikikata mbuga sahauni kuziona.CHAMA Kiko mahututi kifedha.
na serikali ya ccm jee?tatizo ccm kuanzia mwenyekiti wenu mnawaza tuu misaada toka nje
 
CCM mnazusha sana mbona CDM haijaanza kuchangisha pesa kwa wananchi leo na pia mbona kuna taarifa za Mbowe kuzunguka baadhi ya sehemu na chopa?unavyotunga uongo kidogo jaribu kutunga unaofanana na ukweli mtu wangu unatupotezea muda kusama uchafu wako
 
mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmh mbona hizo ni hisia zako
 
Baada ya ripoti ya ukaguzi wa CAG kutoka na mahesabu ya CHADEMA kuwa mabaya na kutoonyesha baadhi ya hela nyingi ambazo wafadhili walitoa lakini hazionekani katika hesabu hizo wafadhili wakuu wa nje wamekuja juu na kuzira kuendelea kuipa msaada CHADEMA.Ndio kisa cha CHADEMA kuinuka haraka haraka kuitisha harambee za kuchangiwa na MPESA n.k kwenye ITV baada ya kuona hawana hela za uchaguzi wa serikalki za mitaa baada ya kutafuna hata zile za ruzuku.

Kwa ufupi CHADEMA kiko mahututi kifedha na wale mliokuwa mkiona (helikopta za CHADEMA angani zikikata mbuga sahauni kuziona).CHAMA Kiko mahututi kifedha.

Mkuu mbowe ataanza soon kutembea kwa chopa kuelimisha umma juu ya katiba yao na atakuwa na BAVICHA…!!!

Alafu kuhusu issue ya kuanda ile issue ya kuchangia pesa kwa njia ya simu si ya siku 1 au 2…! Ina mchakato mrefu na ndio maana unaona pale wengine walikiwa bado hawajakamilisha uandaaji wake (Tigo, Airtel) alafu mbona Chadema wameanza zaman kuchangisha hasa kwenye mikutano ya hadhara ufanyaga? au walikuwa bado hawajapata wafadhiri?
 
Kwani wafadhili ndio walioanzisha chadema? Chadema ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo. CCM mmezoea misaada ndio maana mnaogopa, eti chadema kimekwisha? mnajifariji tu.
 
we kweli kichwa box, ni ln utaacha kua toilet paper ya nape? hv una mke? nahc mkeo anaakili kulko ww, toa uchafu wako
 
Natamani ningepata tusi kali nikutukane ila Jiheshimu achana na chadema, chadema siyo mama yako, Kwani mahesabu yakikaa vibaya wewe inakuhusu nini?
 
CDM huwa inajiendesha yenyewe. Watu wanaenda mikutanoni kwa nauli zao wenyewe. Michango ya kitaifa inasaidia kununua vifaa vya chama!
 
Back
Top Bottom