Anko Sam
JF-Expert Member
- Jun 30, 2010
- 3,254
- 908
Mungu amesikia kilio cha Watanzania.
CHADEMA walikuwa waiingize Tanzania kwenye vita.
Ki vipi?
Mungu amesikia kilio cha Watanzania.
CHADEMA walikuwa waiingize Tanzania kwenye vita.
Magamba na kiwanda chao cha kutengeneza uongo at work!Kiwanda kazini!!!
Mtakosa hela mtarudi kwenye fani zenu za mwanzoni (wizi na vitu kama hivyo) na Tanzania itaendelea kuwa nchi ya amani.
CDM huwa inajiendesha yenyewe. Watu wanaenda mikutanoni kwa nauli zao wenyewe. Michango ya kitaifa inasaidia kununua vifaa vya chama!
Linganisha gharama za safari za kikwete vs kukosekana madawa hospital,wanafunzi kukosa madawati,mfumuko wa bei,wakulima kukosa masoko ya mazaoHizo buku-buku zenu zitatosha kuwapeleka vimada wao U.S.A. na South Africa?
Baada ya ripoti ya ukaguzi wa CAG kutoka na mahesabu ya CHADEMA kuwa mabaya na kutoonyesha baadhi ya hela nyingi ambazo wafadhili walitoa lakini hazionekani katika hesabu hizo wafadhili wakuu wa nje wamekuja juu na kuzira kuendelea kuipa msaada CHADEMA.
Ndio kisa cha CHADEMA kuinuka haraka haraka kuitisha harambee za kuchangiwa na MPESA n.k kwenye ITV baada ya kuona hawana hela za uchaguzi wa serikalki za mitaa baada ya kutafuna hata zile za ruzuku.
Kwa ufupi CHADEMA kiko mahututi kifedha na wale mliokuwa mkiona helikopta za CHADEMA angani zikikata mbuga sahauni kuziona.CHAMA Kiko mahututi kifedha.
Wewe unaonekana ni mfuatiliaji sana wa wafadhili. Hebu tuambie na hili la wahisani kusitisha misaada yao kwa nchi yetu kutokana na ufisadi. Hilo la CDM ni dogo kwasababu ni la chama. Tuiangalie nchi kwanza wanaposema inaufisadi sijui kama wanaizungumzia CDM au chama na serikali iliyopo madarakani? Hili la nchi linatuhusu sote sisi tusio na vyama na ninyi wenye vyama vyetnuBaada ya ripoti ya ukaguzi wa CAG kutoka na mahesabu ya CHADEMA kuwa mabaya na kutoonyesha baadhi ya hela nyingi ambazo wafadhili walitoa lakini hazionekani katika hesabu hizo wafadhili wakuu wa nje wamekuja juu na kuzira kuendelea kuipa msaada CHADEMA.
Ndio kisa cha CHADEMA kuinuka haraka haraka kuitisha harambee za kuchangiwa na MPESA n.k kwenye ITV baada ya kuona hawana hela za uchaguzi wa serikalki za mitaa baada ya kutafuna hata zile za ruzuku.
Kwa ufupi CHADEMA kiko mahututi kifedha na wale mliokuwa mkiona helikopta za CHADEMA angani zikikata mbuga sahauni kuziona.CHAMA Kiko mahututi kifedha.
Kwa nini tuandikie mate wakati wino upo.Tusubiri tuone.
Baada ya ripoti ya ukaguzi wa CAG kutoka na mahesabu ya CHADEMA kuwa mabaya na kutoonyesha baadhi ya hela nyingi ambazo wafadhili walitoa lakini hazionekani katika hesabu hizo wafadhili wakuu wa nje wamekuja juu na kuzira kuendelea kuipa msaada CHADEMA.
Ndio kisa cha CHADEMA kuinuka haraka haraka kuitisha harambee za kuchangiwa na MPESA n.k kwenye ITV baada ya kuona hawana hela za uchaguzi wa serikalki za mitaa baada ya kutafuna hata zile za ruzuku.
Kwa ufupi CHADEMA kiko mahututi kifedha na wale mliokuwa mkiona helikopta za CHADEMA angani zikikata mbuga sahauni kuziona.CHAMA Kiko mahututi kifedha.
hapo kwenye maandishi makubwa mekundu ndugu,mbona una dharau sana dada zetu na mama zetu? Ina maana hakuna mabinti/wanawake/wadada wenye akili kushinda wewe? Ni dhambi kwa mwanaume kuwa na mke mweye akili kumzidi yeye (mume).we kweli kichwa box, ni ln utaacha kua toilet paper ya nape? hv una mke? nahc mkeo anaakili kulko ww, toa uchafu wako
Kwani wafadhili ndio walioanzisha chadema? Chadema ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo. CCM mmezoea misaada ndio maana mnaogopa, eti chadema kimekwisha? mnajifariji tu.