CHADEMA wabwagwa na wafadhili wa nje

CHADEMA wabwagwa na wafadhili wa nje

Naam CDM,ukiona unasakamwa na watawala ujue umewashika pabaya.Ni wakati wa CDM kusemwa vibaya,kupakaziwa uongo na kadhalika.Hii nchi tunaijua,siasa zake ziko hivi.Mfano angalia kama hawa ccm wana muda na TLP au UDP.Vimekwisha ndio maana anaangaliwa sana CDM.Siku wakiacha kukutupia mawe nitajua CDM imekwisha sasa,kwa mwendo huu ni faraja kwetu wana CDM.Siku zote mti wenye matunda ndio hupigwa mawe so keep on trying team CCM.
kuhusu mtoa mada nina wasiwasi na uelewa wake,kama huna elimu na jambo fulani ni bora ukae kimya kuliko kupotosha,naona unashindwa kutofautisha kati ya hati yenye mashaka na hati chafu.Kapate msaada kwa wahasibu then rudi uedit post yako,period
 
asante kwa taarifa njema, wacha tuongeze jitihada za kukichangia chama chetu..MPESA NA TIGOPESA Zihusike zaidi,, hata Hayati Mwl. Nyerere aliendeleza mapambano kwa pesa toka kwa watanzania wenzake na si wahisani,, Tutachanga

Kwani nyie mnaendeleza mapambano na nani?
 
Chadema wanafiq wanaona mwaka huu watashindwa kisiasa ndo wanawakumbatia cuf na nccr wakati mwanzo waliwakataa.Si walisema cuf ni ccm b wakakataa kuwa kambi moja bungen na wakitaka kuiondoa ccm kwenye urais asimame Lipumba au Mbatia
 
  • Thanks
Reactions: gsu
chama kilishakufa hiki ndiyo maana wakakimbili kuungana na wazembe wenzao.
 
Chadema wanafiq wanaona mwaka huu watashindwa kisiasa ndo wanawakumbatia cuf na nccr wakati mwanzo waliwakataa.Si walisema cuf ni ccm b wakakataa kuwa kambi moja bungen na wakitaka kuiondoa ccm kwenye urais asimame Lipumba au Mbatia

chadema hawajitambui kwenye siasa.
 
Mkuu.
Unaweza kutuwekew chanzo cha hii habari yako ama umeandika kwa hisia tu?

JF tunaendeshwa na utaratibu. Tuwekee source yako ili tuchangie vizuri hapa. Wafadhili waitosa chadema?

Hilo ni Swali la Ukweli na stahiki, lakini tulipoletewa uzushi wa Kuugua kwa KINANA DUbai, wengi walirukia kumuombea kifo mwanadamu na Mtanzania mwenzetu, na hatukona aliyetaka ushahidi, km Maradhi, Ward na Chumba alicholazwa, Picha nk...

Na hili la chadema mimi naunga mkono tuletewe Ushahidi, haya maneno ya propaganda hayan msingi wala manufaa kwa mtanzania
 
Fukara wa fikra fukara wa mawazo umekaa pamoja na walioshika akili yko mmeona ngoja mje na uzushi wa kijinga nadhani umeongea kinyume chake walio nyimwa misaada kwa sababu ya ufisadi si unawajua ni ccm mbona unajikanyaga mtoto kabla hujatoa post soma inaonekana bado hujitambui.
 
Mtakosa hela mtarudi kwenye fani zenu za mwanzoni (wizi na vitu kama hivyo) na Tanzania itaendelea kuwa nchi ya amani.

Kwani wahisani wametoa zile fedha ambazo walisitisha kuchangia bajeti ya serikali ya mwaka 2014/2015 kutokana na sakata la ESROW & IPTL?
 
Ujerumani hawataki hata kuisikia Chadema, Kiongozi yoyote wa Chadema atakaeonekana Ujerumani ataishia jela
 
Kazi kufremu vichwa vya habari ndani ni uharo. Napita tuu
 
Tunajua chadema ilianza kama kikundi cha familia ya Mtei kuchangiana kwenye matatizo na furaha, kama vile misiba na harusi, wengine mmedandia gari kwa mbele.

Kama kilianzia kwenye familia na waka amua kushirikisha jamii kuna shida gani? Hata harusi huanza na watu wawili baadae familia za pande mbili mwisho jamii nzima. Sioni kama kuna la kushangaza, haya huko uliko unajua kulianzaje?
 
Baada ya ripoti ya ukaguzi wa CAG kutoka na mahesabu ya CHADEMA kuwa mabaya na kutoonyesha baadhi ya hela nyingi ambazo wafadhili walitoa lakini hazionekani katika hesabu hizo wafadhili wakuu wa nje wamekuja juu na kuzira kuendelea kuipa msaada CHADEMA.

Ndio kisa cha CHADEMA kuinuka haraka haraka kuitisha harambee za kuchangiwa na MPESA n.k kwenye ITV baada ya kuona hawana hela za uchaguzi wa serikalki za mitaa baada ya kutafuna hata zile za ruzuku.

Kwa ufupi CHADEMA kiko mahututi kifedha na wale mliokuwa mkiona helikopta za CHADEMA angani zikikata mbuga sahauni kuziona.CHAMA Kiko mahututi kifedha.

Reverse
 
Back
Top Bottom