Wanaukumbi.
Matokeo ya uchaguzi mkuu yanazidi kutoka kwa kasi na mwelekeo unaonyesha Chadema wanaelekea kufanya vibaya na kupoteza majimbo yao tofauti kama watu walivyotegemea.
Hii ni laana ya Dr.Slaa walichomfanyia hii ndiyo hukumu yao kwa yale waliomfanyia.
Natoa ushauri kwa Chadema kabla Chadema hawajasambaratika kama jumuhuri ya Urusi muombeni msamaha Dr.Slaa hawasemehe la sivyo mtapotea kabisa kwenye ulingo wa siasa.
Baada ya kudanganywa na Mbowe na Gwajima mkaanza kumtukana mnamuita Dr.wa mihogo haya haya sasa mabadiliko yapo wapi makamanda???
Unaongea kwa unyonge sana unaweza kunipa habari za Mwanza majimbo ya Ilemela na Nyamagana pamoja na Musoma Mjini.Jipe moyo maana mwaka huu utauza kila kitu
Unaongea kwa unyonge sana unaweza kunipa habari za Mwanza majimbo ya Ilemela na Nyamagana pamoja na Musoma Mjini.
Mnyoosho unaendelea, ukitoa Dar, Mbeya, arusha, moshi, manyara, kwingine kote ukawa wamepigwa vibaya mno
Rais Maalim Tunaimani Nawe Serikali Tatu Karibu Sana
Lowassa Rais Wa JMT
Kwa hiyo haya majimbo ya Ndanda na Bunda ndiyo mtaji wa Lowassa?Nipe kwanza habari za bunda na ndanda
Ila huu wizi wa fisiem ni wa digital ukawa mjipange jamaa ni wakali wa hizi kazi
Wewe kweli akili zako ni za ngiri hujui unaandika nini
Hivi CCM wamepoteza majimbo mangapi? Tanga, Bunda, Serengeti, Tarime, Buyungu, Tandahimba na kwingineko Hauoni? Aibu yako
Wanapoteza na Musoma Mjini
Wanaukumbi.
Matokeo ya uchaguzi mkuu yanazidi kutoka kwa kasi na mwelekeo unaonyesha Chadema wanaelekea kufanya vibaya na kupoteza majimbo yao tofauti kama watu walivyotegemea.
Hii ni laana ya Dr.Slaa walichomfanyia hii ndiyo hukumu yao kwa yale waliomfanyia.
Natoa ushauri kwa Chadema kabla Chadema hawajasambaratika kama jumuhuri ya Urusi muombeni msamaha Dr.Slaa hawasemehe la sivyo mtapotea kabisa kwenye ulingo wa siasa.
Zee la nyeti za kuku masikini ya Mungu kapigwa vibaya Kahama.